East Africa Records Awards

East Africa Records Awards hapa tutaweka record mbalimbli zilizofanywa na watu tofauti kutoka Africa mashariki na zile records ambazo zitavunjwa

🌳✨ REKODI MPYA YA DUNIA! ✨🌳🟢 Mwanamke jasiri kutoka Kenya – Truphena Muthoni ameandika historia baada ya kuweka rekodi y...
07/03/2026

🌳✨ REKODI MPYA YA DUNIA! ✨🌳

🟢 Mwanamke jasiri kutoka Kenya – Truphena Muthoni ameandika historia baada ya kuweka rekodi ya dunia kwa kukumbatia mti kwa saa 72 mfululizo.

🌍 Tukio hili lilifanyika kwa lengo la kuhamasisha watu kulinda mazingira na kupanda miti zaidi ili kuitunza dunia yetu.

💚 Kitendo chake kinaonyesha kuwa mapenzi kwa mazingira yanaweza kuleta mabadiliko makubwa duniani.

🏆 Hongera Truphena Muthoni kwa kuweka rekodi hii na kuwa mfano wa kuigwa katika kulinda mazingira!

🔵
🟢
🟡

Mwanariadha maarufu tanzania Gabriel geay akiendelea kuonyesha upendo wake wa dhati na nia ya kuwainua vijana katika sek...
07/12/2025

Mwanariadha maarufu tanzania Gabriel geay akiendelea kuonyesha upendo wake wa dhati na nia ya kuwainua vijana katika sekta ya michezo kitengo cha riadha ambapo kila mwaka huandaa mashindani ya mbio za km 2,4,8,na 10..zawadi hadi milioni moja hutolewa papo hapo kwa washindi..mbio zinazofanyika babati mkoani arusha...katika juhudi zake ameanzisha kambi kwa ajili ya vijana chipukizi na huwagharamia kila kitu...onyesha upendo kwa ndugu yetu

Michael Jackson ndiye mwanamuziki wa kiume aliyepata zaidi Grammy Awards katika usiku mmoja (male artist) — alipata 8 kw...
30/11/2025

Michael Jackson ndiye mwanamuziki wa kiume aliyepata zaidi Grammy Awards katika usiku mmoja (male artist) — alipata 8 kwa usiku mmoja mwaka 1984, na hilo bado ni rekodi ya kipekee. ..!f

Take note
30/11/2025

Take note

13/11/2024
Mkoa wa arusha nchini Tanzania kupitia mkuu wa mkoa Mh Paul makonda umeweka record ya kuwa nchi ya kwanza kuingiza magar...
16/10/2024

Mkoa wa arusha nchini Tanzania kupitia mkuu wa mkoa Mh Paul makonda umeweka record ya kuwa nchi ya kwanza kuingiza magari 300 aina ya landrover kwa wakati mmoja tukio lililofanyika tarehe13.10.2024 katika mbuga ya wanyama arusha..ambapo rekodi hii inaifanya tanzania kuwa nchi ya kwanza kufanya rekodi hii duniani..Jambo ambalo Tanzania inasubiri tuu tukio la kutangazawa kwake..

Mkuu wa mkoa wa Arusha mh Paul makonda ameweka  record ya kufanya msafara mrefu zaidi wa magari aina ya landrover yaliyo...
16/10/2024

Mkuu wa mkoa wa Arusha mh Paul makonda ameweka record ya kufanya msafara mrefu zaidi wa magari aina ya landrover yaliyopita katika Barabara za arusha nchini Tanzania kwa wakati mmoja tukio lililofanyika tarehe 12 had 14 October 2024 mkoani Arusha..Record hii inatarajiwa pia kuvunja record ya dunia ambayo kwa sasa inashikiliwa na mjerumani,ambapo Tanzania inasubiri tuu kutangazwa..

Address

Arusha

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when East Africa Records Awards posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share