Mshauriwaafya

Mshauriwaafya Acha Kuteseka na magonjwa sugu ulionayo
Njoo unitulize chochote kuhusu afya yako
Nitakujibu BURR KABISA
MUNGU NI MWEMA SIKU ZOTE

CHOO KIGUMU, KUTOPATA CHOO(CONSTIPATION)✍🏽Hili ni Tatizo la kutopata choo Kwa Muda Mrefu au Kupata Mara ChacheLakini Kwa...
16/06/2022

CHOO KIGUMU, KUTOPATA CHOO(CONSTIPATION)

✍🏽Hili ni Tatizo la kutopata choo Kwa Muda Mrefu au Kupata Mara Chache

Lakini Kwa Shida Sana na Nguvu Kubwa huwa inatumika Katika Kuhakikisha Walau hicho Kidogo Kinatoka K**a Cha Mbuzi

Inasababishwa na mfumo mbovu wa mmeng'enyo wa chakula
Kwenye tumbo Na Utumbo kutokana na sumu tunazoingiza mwilini kila siku kutoka kwenye vinywaji , Chakula , Dawa , Hewa tunazovuta Pamoja na Mafuta tunayokula

DALILI ZA TATIZO
●Kutopata Choo Kila Siku Wakati Unakula milo 3 au Zaidi Kwa siku

●Kupata Choo Kigumu Sana,K**a Cha Mbuzi

●Kutumia Muda Mrefu chooni, kutumia nguvu Sana

●Kupata Gesi,mingurumo tumboni Au Kujamba Na Harufu mbaya Sana inatoka

●kuhisi kijinyama,Kupata miwasho,maumivu sehemu ya haja kubwa

●Maumivu Ya Tumbo,miguu,mabega

●Kupungua Nguvu za Kiume,Kukosa Usingizi,

●Kukosa Hamu Ya Kula,Kupata Kiungulia,Harufu Mbaya Kinywani,

K**a Unashindwa kupata choo Angalau Mara moja baada ya Siku 2 Na Unakula Mara Tatu (3) Kwa Siku,Upo Kwenye Hatari Kubwa Ya Kupata Magonjwa Mengi mno

🔺🔺 SULUHISHO
Tafadhali K**a Wewe ni Muathirika wa Tatizo lolote kati ya Dalili Ulizoziona hapo Usiache Kuwasiliana nasi Kwa Msaada na Utatuzi wa Tatizo lako.Tuna Tibalishe zilizothibitishwa ubora wake kwenye kutatua Changamoto hio
Tupigie simu zetu kwa tiba elimu na ushauri

kwa ushauri na tiba Njoo WhatsApp: 0746525852

SALMON OIL1. Inaondoa mafuta mabaya (cholesterol) katika mishipa ya damu2. Husaidia afya ya moyo na mzunguko wa damu3. H...
09/05/2022

SALMON OIL

1. Inaondoa mafuta mabaya (cholesterol) katika mishipa ya damu

2. Husaidia afya ya moyo na mzunguko wa damu

3. Husaidia afya ya viungo (joints) kwa kuongeza ute ute (synovial fluid ) hata gouts

4. Hukukinga na shinikizo la moyo

5. Husaidia kuongeza kumbukumbu na kwa watoto pia husaidia

6. Hushusha pressure ya kupanda

7. Inasaidia afya ya ubongo

8. Inatibu kipanda uso ( migraine headaches )

9. Husaidia afya ya macho

10. Inasaidia ufanyaji kazi wa kongosho

11. Inaondoa rashes kwenye ngozi

12. Inazuia magonjwa ya kurithi iwapo itanywewa wakati wa ujauzito

13. Inapoza maumivu ( ant inflammatory effect )

14. Ikitumiwa na chelated zinc husaidia afya Prostate Gland hivyo huzuia kansa ya kibofu cha mkojo .

Call or whatsapp 0746525852

Chanzo Cha kutimiza Kila aina ya ndoto zako kipo Kwenye Afya NjemaKwa tatizo lolote linalokusumbua kiafya wasiliana nasi...
30/04/2022

Chanzo Cha kutimiza Kila aina ya ndoto zako kipo Kwenye Afya Njema
Kwa tatizo lolote linalokusumbua kiafya wasiliana nasi kwa Namba: +255746525852

Niulize chochote kuhusu afya yako nitakujibu
01/04/2022

Niulize chochote kuhusu afya yako nitakujibu

Njoo Tukusaidie+255746525852
08/02/2022

Njoo Tukusaidie
+255746525852

11/01/2022

Kampuni ya NEOLIFE International ni Kampuni ya kimataifa inayofanyakazi zaidi ya nchi 50 kwasasa imefanikiwa kuwepo Tanzania toka mwaka 1999 Hadi Leo
Tunaitaji vijana ambao wapo serious na kazi ili tuifanye nao kazi
Waombaji wanawake watapewa kipaumbele.

Asanteni sana Wana Kigoma kwa kuweza kuja kujifunza kuhusu afya zetu kwa ujumlaTuliweza kujifunza nini chanzo Cha magonj...
11/01/2022

Asanteni sana Wana Kigoma kwa kuweza kuja kujifunza kuhusu afya zetu kwa ujumla

Tuliweza kujifunza nini chanzo Cha magonjwa sugu tulionayo

Kwa mujibu wa maelezo ya shirika la Afya Dunia linatuambia chanzo chama magonjwa sugu mengi Dunia ni chakula hivyo tiba yake pia ni chakula hivyo tunaitaji kula mlo kamili Kila siku

Kwa wewe ambae upo Kigoma haukupata nafasi ya kuwepo pale NSSF Kigoma basi WASILIANA na 0746525852 kwa maelezo zaidi.



MAUMIVU MAKALI YA NYAYO NA KISIGINO (PLANTAR FASCIITIS/POLICEMAN HEELS); UGONJWA UNAOWALIZA WATU WENGI WAKATI WA ASUBUHI...
01/01/2022

MAUMIVU MAKALI YA NYAYO NA KISIGINO (PLANTAR FASCIITIS/POLICEMAN HEELS); UGONJWA UNAOWALIZA WATU WENGI WAKATI WA ASUBUHI.
Na Williams 0746525852.

Maumivu makali ya nyayo na kisigino(Plantar fasciitis /policeman heels) ni tatizo linalotokana na kuwepo kwa maambukizi yanayojumuisha kuvimba kwa bendi nene ya tishu ambayo hupatikana katika nyayo zetu miguuni,ambayo ndiyo inaunganisha mfupa wa kisigino na vidole vya miguu yetu (Plantar fascias).

Maambukizi katika bendi nene ya tishu zinazopatikana miguuni ambayo inaunganisha mfupa wa kisigino na vidole vya miguu yetu husababisha maumivu makali ya nyayo na kisigino(Plantar fasciitis).

maumivu makali ambayo mara nyingi hutokea asubuhi pale muhusika anapoamka na anapoweka miguu yake chini na kuanza kupiga hatua zake za kwanza asubuhi,maumivu huwa makali sana ambayo hupungua kadri anavyopiga hatua lakini pia hali ya maumivu huweza kurudi baada ya muda mrefu wa kusimama au unaposimama baada ya kukaa.

maumivu makali ya nyayo na kisigino (Plantar fasciitis) huweza kuwapata watu wa rika zote ingawa hutokea zaidi kwa watu wanaofanya mazoezi ya kukimbia sana kadhalika watu ambao ni wenye uzito mkubwa sana na wale ambao huvaa viatu visivyo na visigino na wale wanaovaa viatu vyenye visigino virefu mara kwa mara.

CHANZO CHA MAUMIVU MAKALI YA NYAYO NA KISIGINO

Inakadiriwa kuwa wanawake na wanaume walio katika umri wa miaka 40_70 wapo katika hatari kubwa ya kupata tatizo hili la maumivu makali ya nyayo na kisigino (plantar fasciitis), kadhalika wanawake wameonekana ndio wahanga wa kubwa wa tatizo hili la maumivu makali ya nyayo na kisigino ( plantar fasciitis) kuliko wanaume pia wanawake wajawazito nao wamekua wakisumbuliwa na tatizo hili vipindi vya mwisho vya ujauzito.

Mpendwa msomaji ili uweze kuelewa chanzo cha tatizo hili napenda kukujuza kua katika miguu yetu kuna tishu nyembamba ndefu inayopatikana katika maunganio ya nyayo na kisigino ambayo iko moja kwa moja chini ya miguu yetu,tishu hii inasaidia upinde wa mguu wako na kutusaidia hasa wakati tunapotembea au kusimama.

Lakini Iwapo kutatokea mvutano na msukumo mkubwa juu ya mishipa, mvutano au msukumo huo mkubwa huharibu tishu hiyo na kupelekea kupatikana maambu

JE UNAFAHAMU AINA ZA VIDONDA VYA TUMBO NA DALILI ZAKE?WASILIANA NASI KWA NAMBA 0746525852AINA ZA VIDONDA VYA TUMBO.Kuna ...
20/11/2021

JE UNAFAHAMU AINA ZA VIDONDA VYA TUMBO NA DALILI ZAKE?

WASILIANA NASI KWA NAMBA 0746525852

AINA ZA VIDONDA VYA TUMBO.
Kuna aina 3 za vidonda vya tumbo k**a ifuatavyo,

1 OESOPHAGAEL ULCERS.hivi ni vidonda vya tumbo ambavyo hutokea kwenye koo.

2 DOUDNUM ULCERS.ni vidonda kwenye utumbo mdogo.

3 GASTRIC ULCERS.Ni vidonda ambavyo hutokea kwenye mfuko wa chakuka yaani tumbo.

DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO.

👆🏽 Tumbo kujaa gesi.

👆🏽 Maumivu ya tumbo.

👆🏽 kupungua uzito.

👆🏽 kushindwa kula kwa sababu ya maumivu.

👆🏽 kichefuchefu na kutapika.

👆🏽 kushiba kwa mda mfupi.

👆🏽 Kucheua na uchachu.

👆🏽 kiungulia.

👆🏽 Choo cheusi.

👆🏽 Tumbo kuunguruma.

👆🏽 Upungufu wa damu.

👆🏽Choo chenye damu

👆🏽kutapika damu.

TUNAJALI AFYA YAKO.
*
*
*
*
*
*
*
*
*
*
*
*
*
*
*
*
*
*
*
*
*
*
*
CC
#0746525852

Leo nikujuze juu ya bawasiri.Bawasiri ni mojawapo ya matatizo ambayo mara nyingi inapotokea humfanya muathirika kuwa na ...
19/10/2021

Leo nikujuze juu ya bawasiri.

Bawasiri ni mojawapo ya matatizo ambayo mara nyingi inapotokea humfanya muathirika kuwa na aibu kuelezea au kwenda hospitali ili kupata tiba.Bawasiri husababishwa na kuvimba kwa mishipa ya damu aina ya VENA katika eneo la mfereji wa haja kubwa.

NINI KINASABABISHA BAWASIR ?

01. Tatizo sugu la kuharisha
02. Kupata haja kubwa(kinyesi)kigumu
03. Uzito ao unene kupita kiasi( )
04. Kufanya mapenzi kinyume na Maumbile
05. Ukosefu wa nyuzinyuzi (fibers) kwenye mlo wa kila siku
06. Kujizuia kwenda Haja kubwa kwa Wakati
07. kukaa chini (ofisini) kwa mda mrefu
08. Utu Uzima
09. Ujauzito
10. Kutumia vyoo vya kukaa

DALILI ZA BAWASIRI

~>Muasho sehemu za haja kubwa
~>Maumivu wakati wakujisaidia haja kubwa
~>Maumivu makali na kushindwa kukaa vizuri
~>Hali ya kujisikia haja kubwa lakini haitoki
~>Harufu mbaya na kali wakati wa kujisaidia
~>Uvimbe ao kinyama kujitokeza sehemu ya tundu la haja kubwa (inaweza kutoka kwa NDANI ao kwa NJE

ATHARI ZA BAWASIR
-Upungufu wa damu mwilini(ANEMIA)
-STRAGULATED HEMORRHOID
-Kinyesi kutoka na kuvuja bila kujitambua na kusababisha kunuka kinyesi saa zote.
-Kukupunguzia morali ya kufanya kazi kutokana na maumivu hasa watu wanaokaa muda mrefu maofisini.
-Kuathirika kisaikolojia
-Kukosa hamu ya tendo la ndoa.
-Kupungukiwa nguvu za kiume. kwa msaada zaidi .

Je unapatwa na hizo dalili??? K**a ndiyo Basi suluhisho la tatizo lako lipo.

NB.operation siyo suluhisho la tatizo HILI.



Tunajali afya yako.



✍️✍️

Address

Sekei
Arusha

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00

Telephone

+255746525852

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mshauriwaafya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Mshauriwaafya:

Share