16/06/2022
CHOO KIGUMU, KUTOPATA CHOO(CONSTIPATION)
✍🏽Hili ni Tatizo la kutopata choo Kwa Muda Mrefu au Kupata Mara Chache
Lakini Kwa Shida Sana na Nguvu Kubwa huwa inatumika Katika Kuhakikisha Walau hicho Kidogo Kinatoka K**a Cha Mbuzi
Inasababishwa na mfumo mbovu wa mmeng'enyo wa chakula
Kwenye tumbo Na Utumbo kutokana na sumu tunazoingiza mwilini kila siku kutoka kwenye vinywaji , Chakula , Dawa , Hewa tunazovuta Pamoja na Mafuta tunayokula
DALILI ZA TATIZO
●Kutopata Choo Kila Siku Wakati Unakula milo 3 au Zaidi Kwa siku
●Kupata Choo Kigumu Sana,K**a Cha Mbuzi
●Kutumia Muda Mrefu chooni, kutumia nguvu Sana
●Kupata Gesi,mingurumo tumboni Au Kujamba Na Harufu mbaya Sana inatoka
●kuhisi kijinyama,Kupata miwasho,maumivu sehemu ya haja kubwa
●Maumivu Ya Tumbo,miguu,mabega
●Kupungua Nguvu za Kiume,Kukosa Usingizi,
●Kukosa Hamu Ya Kula,Kupata Kiungulia,Harufu Mbaya Kinywani,
K**a Unashindwa kupata choo Angalau Mara moja baada ya Siku 2 Na Unakula Mara Tatu (3) Kwa Siku,Upo Kwenye Hatari Kubwa Ya Kupata Magonjwa Mengi mno
🔺🔺 SULUHISHO
Tafadhali K**a Wewe ni Muathirika wa Tatizo lolote kati ya Dalili Ulizoziona hapo Usiache Kuwasiliana nasi Kwa Msaada na Utatuzi wa Tatizo lako.Tuna Tibalishe zilizothibitishwa ubora wake kwenye kutatua Changamoto hio
Tupigie simu zetu kwa tiba elimu na ushauri
kwa ushauri na tiba Njoo WhatsApp: 0746525852