AFYA na Dr issa

AFYA na Dr issa tunatoa huduma ya vipimo na matibabu kwa magonjwa yasiyoambukiza kama vile moyo
Figo
sukari
uzazi

MAUMIVU YA TUMBO YANAKUSUMBUA MARA KWA MARA? USIYAPUUZE!Vidonda vya tumbo ni tatizo linalowapata watu wengi kimya kimya ...
10/05/2026

MAUMIVU YA TUMBO YANAKUSUMBUA MARA KWA MARA? USIYAPUUZE!
Vidonda vya tumbo ni tatizo linalowapata watu wengi kimya kimya bila kujua, na huanza kwa dalili ndogo ambazo watu wengi huzipuuza. Maumivu ya tumbo, kiungulia, kichefuchefu, gesi tumboni, au maumivu yanayoongezeka ukiwa na njaa au usiku — hizi zinaweza kuwa ishara za vidonda vya tumbo.
Vidonda hivi husababishwa na mambo k**a: • Bakteria aina ya H. Pylori
• Matumizi ya mara kwa mara ya dawa za maumivu (painkillers)
• Uvutaji sigara na matumizi ya pombe
• Vyakula vya kuchoma na vyenye msongo wa mawazo
Habari njema ni kwamba, kwa uchunguzi sahihi na tiba madhubuti, vidonda vya tumbo vinaweza kutibika kabisa.
Tunatoa: ✔️ Uchunguzi wa kitaalamu
✔️ Ushauri wa mtaalamu
✔️ Dawa sahihi na salama
✔️ Huduma ya kirafiki na faragha
Usisubiri maumivu yaongezeke. Chukua hatua leo.
Tuma neno AFYA kwenda 0749081081 na upate msaada wa haraka.
Jibu lako ni AFYA yako!

Address

Tabata
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA na Dr issa posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share