17/08/2026
Unywaji wa maji haufanani, hutofautiana kati ya mtu na mtu kutokana na halijoto ya mazingira yake na shughuli anazofanya ikiwa humtoa jasho sana au la, sikiliza Bingwa Bobezi wa Magonjwa ya Figo, Dkt. Oswin Mwemezi akifafanua uhitaji sahihi wa maji kulingana na uhalisia wa mtu husika.
Video: Sekoutourerrh