Dr. J. Mkelo

Dr. J. Mkelo health is my priority Always at your service

23/10/2025

"Siku zako hazipaswi kuwa mateso! ๐Ÿ’ƒ๐ŸŒน Dawa ya Double Red Rose imeundwa kwa virutubisho asilia vinavyosaidia kukata maumivu makali ya hedhi:
โœจ Iron โ€“ hurudisha damu iliyopotea na kupunguza uchovu.
๐ŸŒฟ Vitamin B6 & Magnesium โ€“ hupunguza mikazo ya misuli ya tumbo.
๐Ÿ‹ Vitamin C & Rose Extract โ€“ huboresha mzunguko wa damu na kupunguza uvimbe.

Kwa pamoja, husaidia mwili wako kupumzika, kurudi kwenye nguvu, na kufurahia siku zako bila maumivu! ๐Ÿ’–
"**

**TANGAZO MAALUM!****ETERNAL HEALTH CARE** inakuletea ofa kabambe ya **FULL BODY CHECK-UP** kwa bei ya punguzo ya **Shil...
09/09/2024

**TANGAZO MAALUM!**

**ETERNAL HEALTH CARE** inakuletea ofa kabambe ya **FULL BODY CHECK-UP** kwa bei ya punguzo ya **Shilingi 15,000 tu!**

Pata huduma za vipimo vyote muhimu vya afya yako, ukiwemo:
โœ”๏ธ Upimaji wa shinikizo la damu
โœ”๏ธ Vipimo vya sukari
โœ”๏ธ Ukaguzi wa moyo
โœ”๏ธ Vipimo vya uzito na urefu
โœ”๏ธ Upimaji wa viwango vya cholesterol
โœ”๏ธ Na vipimo vingine vingi!
โœ”๏ธ Vipimo vya mfumo wa uzazi
โœ”๏ธ Ushauri na saa na Daktari
Afya yako ni kipaumbele chetu, hivyo basi tunakukaribisha kuchukua hatua muhimu kwa afya bora kwa gharama nafuu kabisa.

โฐ **Muda wa Ofa:** kuanzia tareh 10/9/2024 adii 24/9/2034
๐Ÿ“ **Mahali:** ETERNAL HEALTH CARE, DAR ES SALAAM ( MBEZI JUU )
๐Ÿ“ž **Wasiliana nasi:** Piga simu 0678652187
Kwa maelezo zaidi au kufanya booking.

Afya ni utajiri, chukua hatua leo!

https://wa.me/message/ZGWAEFQCBP2JK1

PID (Pelvic Inflammatory Disease) ni ugonjwa wa maambukizi katika viungo vya uzazi vya mwanamke. Unasababishwa na bakter...
03/08/2024

PID (Pelvic Inflammatory Disease) ni ugonjwa wa maambukizi katika viungo vya uzazi vya mwanamke. Unasababishwa na bakteria wanaoweza kuenea kutoka kwenye uke na kuingia kwenye mfuko wa uzazi, mirija ya uzazi, au maeneo mengine ya karibu. Hapa kuna bangalore la PID:

# # # **1. Chanzo cha PID**

- **Maambukizi ya Kijinsia:** PID mara nyingi husababishwa na maambukizi ya kijinsia k**a vile Chlamydia na Gonorrhea. Bakteria hawa wanaweza kuingia kwenye mfumo wa uzazi kupitia njia ya uke.
- **Kuingiza Vitu Ukeni:** Uwekaji wa vifaa k**a vile IUD (intrauterine device) bila usafi wa kutosha au matumizi mabaya ya vyombo vya k**e inaweza kuongeza hatari ya PID.
- **Matibabu au Taratibu za Upasuaji:** Upasuaji wa uzazi au taratibu za upasuaji katika eneo la uzazi zinaweza kusababisha PID ikiwa bakteria wataingia katika mfumo wa uzazi.
- **Ujauzito:** Baadhi ya wanawake wanaweza kupata PID wakati wa ujauzito kutokana na mabadiliko ya mfumo wa kinga.

# # # **2. Sababu za PID**

- **Bakteria:** Maambukizi ya bakteria k**a vile Chlamydia trachomatis na Neisseria gonorrhoeae ndiyo sababu kuu za PID.
- **Maambukizi Mengine:** Maambukizi ya bakteria mengine, ikiwa ni pamoja na Escherichia coli na Mycoplasma genitalium, yanaweza pia kusababisha PID.
- **Usafi Duni:** Kutumia vifaa visivyo safi au kutokutunza usafi wa maeneo ya siri kunaweza kuchangia PID.
- **Historia ya PID:** Kuwa na historia ya PID inaongeza hatari ya kupata tena maambukizi haya.

# # # **3. Madhara ya PID**

- **Utasa:** PID inaweza kusababisha uharibifu wa kudumu wa viungo vya uzazi, ikiwa ni pamoja na kuzuia mirija ya uzazi, hivyo kuzuia yai kukutana na mbegu za kiume na kusababisha utasa.
- **Mimba ya Mifuko ya Maziwa:** Kuwa na PID kunaongeza hatari ya kupata mimba inayotunga nje ya mji wa mimba (ectopic pregnancy), ambayo ni hali hatari inayohitaji matibabu ya haraka.
- **Maumivu ya Kudumu ya Tumbo:** Uharibifu wa viungo vya uzazi unaweza kusababisha maumivu ya kudumu ya tumbo, ambayo yanaweza kuwa makali au kuja na kuondoka.
- **Abscesses:** Mabonge yenye usaha yanaweza kutokea kwenye mirija ya uzazi au katika maeneo ya karibu, na kuhitaji matibabu ya haraka.

# # # **4. Hitimisho**

PID ni ugonjwa unaoweza kusababisha madhara makubwa ikiwa hautatibiwa mapema. Ni muhimu kwa wanawake kuepuka tabia hatarishi k**a vile kujamiiana bila kinga na kutunza usafi wa kibinafsi ili kupunguza hatari ya maambukizi. Pia, ni muhimu kwenda hospitali mara moja ikiwa kuna dalili za PID ili kupata matibabu sahihi.

(Oral Candida Infection) kwa watoto Maambukizi ya fungus za kinywa kwa mtotoDalili kuu ni mabaka (utandu)ya weupe weupe ...
12/12/2023

(Oral Candida Infection) kwa watoto

Maambukizi ya fungus za kinywa kwa mtoto
Dalili kuu ni mabaka (utandu)ya weupe weupe au rangi ya maziwa kwenye mdomo na ulimi.

Mabaka haya huletwa na fungus aina ya candida.
Candida ni aina ya fungus ambayo hupatikana kwenye ngozi na mdomoni lakini k**a watazidi kwa kiasi kikubwa huwa ni tatizo
K**a mtoto ana afya na kinga ya kutosha hili si tatizo kwake

Kundi lipi la watoto wapo kwenye hatari ya kupata fungus wa kinywa?

๐Ÿ‘‰๐Ÿผwatoto wanao tumia antibiotics kwa wingi
๐Ÿ‘‰๐Ÿผwatoto wanaotumia corticosteroids haswa wenye asthma
๐Ÿ‘‰๐Ÿผwatoto wenye upungufu wa kinga za mwili
๐Ÿ‘‰๐Ÿผwatoto wenye uzito mdogo
๐Ÿ‘‰๐Ÿผmtoto aliezaliwa na mama mwenye maambukizi ya fungus ukeni

Dalili kuu ni mtoto kulia lia sababu ya maumivu,kukosa hamu ya kula,kuvimba au kuwa na sehemu nyekundu baada ya kutoa ule utando mweupe

Ni muhimu mama mjamzito ujitibie k**a una infection yoyote kabla ya kujifungua
Mtoto pia ni muhimu apate tiba,
Mtoto mwenye uzito mdogo pia muhimu aangaliwe maana yupo kwenye risk pia ya kupata oral thrush
Kuna virutubisho vya watoto multivatimins na Omega vina faida zaidi ya 20 mwilini husaidia sana kukinga watoto na magonjwa ya mara kwa mara,mtoto mwenye shida ya kula uzito mdogo pia vinamsaidia
Kupata maelezo zaidi wasiliana nasi call 0678652187

29/09/2023

Ni kweli bia tamu lakini lini mara ya mwisho kufanya detox?
Swipe left kuona hatua za ini kufeli

Ini Ndio chujio la kwanza la mwili kila kitu unachokula Au kunywa lazima kupite kwenye ini kwanza Ndio kiingizwe mwilini

Baadhi ya vyakula na vinywaji vina athari ya muda mrefu ikiwa vitatumiwa kwa muda mrefu
Watu wengi wanywaji wa pombe ukisikia ana shida ya ini mara nyingi ni seli za ini zinabadilika na kuvimba(liver cirrhosis)

KAZI YA INI MWILINI

INI: Ini ni kiungo muhimu sana katika mwili wa mwanadamu. Ni kiungo ambacho kinahitaji kulindwa na kukingwa pamoja na kusafishwa mara kwa mara.

KAZI YA INI MWILINI
1. Ini lina kazi ya uchujaji wa sumu, inachuja sumu kwenye damu ambayo huingia kwa njia ya vyakula, vinywaji (bila kusahau vinywaji vikali), hewa tunayovuta, sigara, pamoja na dawa tunazotumia.

2. Vile vile, hutoa nyongo ambayo kazi yake kubwa ni kusaga mafuta na protini kutoka kwenye chakula tulacho.

3. Pia, ini hukibadilisha chakula na kufanya tupate nguvu mwilini.
Hivyo basi, tunahitaji kulilinda ini ili liweze kufanya kazi yake ya uondaji wa sumu na kusaga mafuta na protini k**a ilivyokusudiwa.

Mara nyingi imeonekana kwa mtu mwenye shida ya ini kuwa akijisikia uchovu mara kwa mara hata k**a hajafanya kazi za kuchosha.

Hii tutokea kwa kuwa ini limezidiwa na haliwezi kufanya kazi yake ya kuhakikisha mwili unapata nguvu.๏ฟฝ

Kwa maelezo zaidi tupigie 0678652187

*JINSI YA KUHESABU MZUNGUKO WAKO WA HEDHI NA KUFAHAMU SIKU SALAMA NA ZILE ZA HATARI UNAZOWEZA KUSHIKA MIMBA*Njia rahisi ...
13/09/2023

*JINSI YA KUHESABU MZUNGUKO WAKO WA HEDHI NA KUFAHAMU SIKU SALAMA NA ZILE ZA HATARI UNAZOWEZA KUSHIKA MIMBA*

Njia rahisi ya kushika.. Jua kwamba Mzunguko wa Hedhi huwa tunaugawa kwenye makumi MATATU MAKUU

*1. KUMI LA KWANZA*
Ile siku ya kwanza kuona Hedhi ndani ya mwezi iwekee alama na ihesabu k**a MOJA
Mfano k**a siku zako mwezi huu umeanza kuziona tarehe 3 basi hii tarehe unaihesabu k**a MOJA... K**a umeziona tarehe 20 basi tarehe ishirini unaihesabu k**a MOJA

*Endelea kuhesabu mpaka ufike 10.. Hizi ndizo siku salama ambazo huwezi shika ijauzito.*
Tukiendelea na mfano wetu, tulisema tarehe 20 tunaihesabu k**a moja, hivyo tarehe 21 itakua mbili, tarehe 22 itakua 3, usiache kuhesabu hata period ikikata endelea tu hivyo basi tarehe 29 itakua ndio siku ya kumi. Kwa maana nyi gi e tarehe 29 ndio Mwisho wa siku salama. Ndio maana watu wakifanya mapenz siku zao za hedhi hawashiki mimba sababu zipo ndani ya siku salama kabisa..
*HIVYO BASI KUMI LA KWANZA NI LA SIKU SALAMA NA SIKU ZA HEDHI HUANGUKIA HUMU,* k**a wewe hedhi yako huwa unaenda siku nyingi basi kwenye kumi hili utakua na siku chache za kukutana na mpenz wako. *MFANO* wewe unaenda hedhi siku saba, utabakiwa na siku tatu za kukutana na mpenz wako kwenye kumi hili.. Anayekwebda siku tatu anakua na siku saba za kujidai. *Jambo la kuzingatia hii siku ya kumi k**a sio lazima iache au ishia mchana maana ni mpakani mwa kumi salama na lile la uzazi*

Tuendelee....

*2. KUMI LA PILI (KUMI LA HATARI/ KUMI LA UJAUZITO*
Hapa tunaendelea kuhesabu kuanzia pale tulipoishia ambapo tuliishia siku ya kumi amvayo iliangukia tarehe 29, hivyo hapa tunaendelea kumi na moja itayoangukia tarehe 31, kumi na mbili itaangukia tarehe 1, kumi na tatu itaangukia tarehe 2, endelea mpaka siku ya 18 ambayo itaangukia tarehe 6. Mpaka hapa hizi ni siku za hatari au Ujauzito (kwa wale mnaotaka watoto hili ndio kumi muhimu sana kwenu hasa hizo siku za kati yani 13 na 14)

*3. KUMI LA TATU NA LA MWISHO _ KUMI SALAMA LA KUJIDAI*
Kuanzia siku ya 19 mpaka pale utapoona tena siku zako haap hata Mr amwage ndoo upo salama.

Ukiona tena siku zako mzunguko unaanza moja.. Hivyo kujua una mzunguko wa siku ngapi angali mpaka ila siku unayoona tena siku zako uliishia namba ngapi kuhesabu? Wengi wana mzunguko wa siku 28 huu ndio mfupi hivyo ukiwa chini ya hapa ni tatizo.. Na wnegine wana mzunguko wa siku hadi 32 au 35.

Wenye mzunguko wa siku 28 ni kawaida kuingia Hedhi mara mbili ndani ya mwezi... *mfano* K**a umeingia mwezini tarehe moha ya mwezi january inamaana kufikia tarehe 28 utakua umemaliza mzunguko tarehe 29 utegemee kuingia tena.

*KUMBUKA NJIA HII NI SALAMA KABISA NA HAITAKUHARIBU MFUMO WA HOMONI*
Kwa maswali wasiliana nasi 0678652187

*KWA WOTE AMBAO WANA UMRI KATI YA MIAKA 40-90, HAYA HAPA MAPENDEKEZO RAHISI NA YENYE UMUHIMU KWAKO.***ANGALIA DAIMA:*1. ...
08/09/2023

*KWA WOTE AMBAO WANA UMRI KATI YA MIAKA 40-90, HAYA HAPA MAPENDEKEZO RAHISI NA YENYE UMUHIMU KWAKO.*

**ANGALIA DAIMA:*
1. Shinikizo la damu yako
2. Sukari ya damu yako
3. Triglycerides zako (aina ya mafuta yaliyomo mwilini)
4. Cholesterol yako (aina ya mafuta yaitwayo lehemu)

*PUNGUZA:*
1. Chumvi
2. Sukari
3. Unga uliokobolewa
4. Bidhaa zitokanazo na maziwa
5. Bidhaa zilizosindikwa

*CHAKULA KINACHOHITAJIKA:*
1. Mboga
2. Kunde
3. Maharage
4. Karanga
5. Mayai
6. Mafuta yaliyokamuliwa katika hali ya baridi (mzeituni, nazi,โ€ฆ)
7. Matunda

*MAMBO MATATU UNAYOPASWA KUJARIBU KUSAHAU:*
1. Umri wako
2. Mambo yaliyopita
3. Malalamiko/manungโ€™uniko yako

*MAMBO MATATU MUHIMU UNAYOHITAJI KUYATHAMINI:*
1. Familia yako
2. Marafiki zako
3. Mawazo yako Chanya
4. Nyumba safi na yenye kukaribisha/kukuvutia .

*MAMBO MATATU YA MSINGI UNAYOHITAJI KUYAKUBALI:*
1. Daima tabasamu/cheka
2. Fanya mazoezi ya mwili mara kwa mara kwa kasi yako mwenyewe
3. Pima na kuudhibiti uzito wako

*MITINDO SITA MUHIMU YA MAISHA UNAYOHITAJI KUIFANYIA MAZOEZI:*
1. Usingoje hadi uwe na kiu ndipo unywe maji.
2. Usingoje hadi uwe mchovu ndipo upumzike.
3. Usingoje hadi uwe mgonjwa ndipo ufanye uchunguzi wa kimatibabu.
4. Usingojee miujiza ili umtumaini Mungu.
5. Usipoteze kamwe kujiamini kwako.
6. Kaa na mtazamo Chanya kila wakati na uwe na tumaini la kesho lilo bora zaidiโ€ฆ

*IKIWA UPO KATIKA UMRI HUU (MIAKA 40-90), TAFADHALI CHUKUA TAHADHARI.

04/09/2023

๐—ญ๐—ข๐—˜๐—ญ๐—œ ๐—Ÿ๐—” ๐—จ๐—–๐—›๐—จ๐—ก๐—š๐—จ๐—ญ๐—œ ๐—ช๐—” ๐—ž๐—œ๐—”๐—™๐—ฌ๐—” ๐—ž๐—ช๐—” ๐—ช๐—”๐—ง๐—จ ๐—ช๐—ข๐—ง๐—˜.

*WHATSAPP +225 678 652 187
*

๐—จ๐—ป๐—ฎ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐—บ๐—ผ๐˜๐—ผ ๐˜†๐—ผ๐˜†๐—ผ๐˜๐—ฒ ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐—ถ๐—ฎ๐—ณ๐˜†๐—ฎ ๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐˜†๐—ผ๐—ธ๐˜‚๐˜€๐˜‚๐—บ๐—ฏ๐˜‚๐—ฎ, ๐—ฎ๐˜‚ ๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐˜†๐—ผ๐—ธ๐˜‚๐—ธ๐—ฎ๐—ฏ๐—ถ๐—น๐—ถ ๐—ฎ๐˜‚ ๐—ธ๐˜‚๐—ธ๐˜‚๐—ธ๐—ผ๐˜€๐—ฒ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐˜‚๐˜€๐—ถ๐—ป๐—ด๐—ถ๐˜‡๐—ถ ๐—ฎ๐˜‚ ๐—ธ๐˜‚๐—ธ๐˜‚๐—ฝ๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐˜„๐—ฎ๐˜‡๐—ผ?

๐—จ๐—บ๐—ฒ๐˜„๐—ฎ๐—ต๐—ถ ๐—ธ๐˜‚๐—ณ๐—ฎ๐—ป๐˜†๐—ฎ ๐˜‚๐—ฐ๐—ต๐˜‚๐—ป๐—ด๐˜‚๐˜‡๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐—ถ๐—ป๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ ๐˜๐—ฎ๐˜๐—ถ๐˜‡๐—ผ ๐—น๐—ฎ๐—ธ๐—ผ?

๐—ž๐˜„๐—ฎ ๐˜€๐—ฎ๐˜€๐—ฎ ๐˜๐—ฎ๐—ฎ๐˜€๐—ถ๐˜€๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—˜๐˜๐—ฒ๐—ฟ๐—ป๐—ฎ๐—น ๐—ถ๐—ป๐˜๐—ฒ๐—ฟ๐—ป๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ผ๐—ป๐—ฎ๐—น ๐—ต๐—ฒ๐—ฎ๐—น๐˜๐—ต๐—ฐ๐—ฎ๐—ฟ๐—ฒ ๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐˜†๐—ผ๐—ท๐—ถ๐—ต๐˜‚๐˜€๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—ฎ๐—ณ๐˜†๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜๐—ผ๐—ฎ ๐—ต๐˜‚๐—ฑ๐˜‚๐—บ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐˜‚๐—ฐ๐—ต๐˜‚๐—ป๐—ด๐˜‚๐˜‡๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ด'๐—ผ๐—ป๐—ท๐˜„๐—ฎ ๐—บ๐—ฏ๐—ฎ๐—น๐—ถ๐—บ๐—ฏ๐—ฎ๐—น๐—ถ ๐—ถ๐—บ๐—ฒ๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ ๐˜‡๐—ผ๐—ฒ๐˜‡๐—ถ ๐—น๐—ฎ ๐˜‚๐˜๐—ผ๐—ฎ๐—ท๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐˜ƒ๐—ถ๐—ฝ๐—ถ๐—บ๐—ผ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ด๐—ต๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ๐—บ๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ๐—ณ๐˜‚๐˜‚ ๐˜€๐—ฎ๐—ป๐—ฎ.

๐—จ๐˜๐—ฎ๐—ณ๐—ฎ๐—ป๐˜†๐—ถ๐˜„๐—ฎ ๐˜‚๐—ฐ๐—ต๐˜‚๐—ป๐—ด๐˜‚๐˜‡๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐˜ƒ๐—ถ๐—ฝ๐—ถ๐—บ๐—ผ ๐—ธ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐—บ๐—ฎ๐—ฒ๐—ป๐—ฒ๐—ผ ๐—ต๐—ฎ๐˜†๐—ฎ;
โ€ข๐— ๐—ณ๐˜‚๐—บ๐—ผ ๐˜„๐—ฎ ๐—ฑ๐—ฎ๐—บ๐˜‚/๐—บ๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ถ๐—ฝ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ฑ๐—ฎ๐—บ๐˜‚(๐— ๐—ผ๐˜†๐—ผ ๐—ป๐—ฎ ๐˜‚๐—ฏ๐—ผ๐—ป๐—ด๐—ผ)
โ€ข๐— ๐—ถ๐—ณ๐˜‚๐—ฝ๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ๐—ฑ๐—ต๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐— ๐—ถ๐—ณ๐˜‚๐—ฝ๐—ฎ
โ€ข๐— ๐—ณ๐˜‚๐—บ๐—ผ ๐˜„๐—ฎ ๐˜‚๐˜†๐—ฒ๐˜†๐˜‚๐˜€๐—ต๐—ฎ๐—ท๐—ถ ๐—ป๐—ฎ ๐—บ๐—บ๐—ฒ๐—ป๐—ด'๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ผ ๐˜„๐—ฎ ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐—น๐—ฎ
โ€ข๐—”๐—ณ๐˜†๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐˜‚๐˜‡๐—ฎ๐˜‡๐—ถ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐—ถ๐—ป๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—บ๐—ฎ
โ€ข๐—”๐—ณ๐˜†๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ก๐—ด๐—ผ๐˜‡๐—ถ ๐—ป๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ๐—ฑ๐—ต๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ก๐—ด๐—ผ๐˜‡๐—ถ
โ€ข๐— ๐—ณ๐˜‚๐—บ๐—ผ ๐˜„๐—ฎ ๐—ณ๐—ฎ๐—ต๐—ฎ๐—บ๐˜‚
โ€ข๐—๐—ถ๐—ฐ๐—ต๐—ผ ๐—ป๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ๐—ฑ๐—ต๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ฐ๐—ต๐—ผ
โ€ข๐—”๐—ณ๐˜†๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐˜‚๐˜‡๐—ฎ๐˜‡๐—ถ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฏ๐—ฎ
โ€ข๐— ๐—ณ๐˜‚๐—บ๐—ผ ๐˜„๐—ฎ ๐˜‚๐—ฝ๐˜‚๐—บ๐˜‚๐—ฎ๐—ท๐—ถ.

๐—ญ๐—ฎ๐—ถ๐—ฑ๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐˜๐˜‚ 200 ๐—บ๐—ฝ๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ ๐˜€๐—ฎ๐˜€๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐—บ๐—ฒ๐—ฝ๐—ฎ๐˜๐—ฎ ๐—ต๐˜‚๐—ฑ๐˜‚๐—บ๐—ฎ ๐—ต๐—ถ๐—ถ ๐—ป๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ฝ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐˜„๐—ฎ ๐˜‚๐—ณ๐˜‚๐—บ๐—ฏ๐˜‚๐˜‡๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐˜๐—ถ๐˜‡๐—ผ ๐˜†๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐˜†๐—ผ๐˜„๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ๐—ฏ๐—ถ๐—น๐—ถ.

๐—•๐—ฎ๐—ฎ๐—ฑ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐˜‚๐—ฐ๐—ต๐˜‚๐—ป๐—ด๐˜‚๐˜‡๐—ถ ๐˜‚๐˜๐—ฎ๐˜„๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ ๐—ท๐˜‚๐—ฎ ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ผ ๐—–๐—ต๐—ฎ ๐˜๐—ฎ๐˜๐—ถ๐˜‡๐—ผ ๐—น๐—ฎ๐—ธ๐—ผ, ๐˜๐—ฎ๐˜๐—ถ๐˜‡๐—ผ ๐—น๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ๐˜„๐—ฒ ๐—ป๐—ฎ ๐˜‚๐—ด๐—ผ๐—ป๐—ท๐˜„๐—ฎ ๐—ป๐˜†๐—ฒ๐—บ๐—ฒ๐—น๐—ฒ๐˜‡๐—ถ.

๐—ฃ๐—ถ๐—ฎ ๐˜‚๐˜๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐˜๐—ฎ๐—ป๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐—ฎ๐—น๐—ฎ๐—บ๐˜‚ ๐˜„๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ๐—ผ ๐—ธ๐˜‚๐˜€๐—ถ๐—บ๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—ฎ, ๐—ธ๐˜‚๐—ธ๐˜‚๐˜€๐—ต๐—ฎ๐˜‚๐—ฟ๐—ถ, ๐—ป๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ธ๐˜‚๐˜€๐—ฎ๐—ถ๐—ฑ๐—ถ๐—ฎ

WASILIANA NASI WHATSAPP /โ˜Ž๏ธ +225 678 652 187

ETERNAL FOLIC ACID....Eternal folic acid ni aina virutubisho ambavyo vimetokana na mimea  asili ya Alfafa na GreenAlgae ...
20/08/2023

ETERNAL FOLIC ACID....Eternal folic acid ni aina virutubisho ambavyo vimetokana na mimea asili ya Alfafa na GreenAlgae pamoja na lishe inayo undea na madini k**a folic Acid,iron, calcium virutubisho hivi Husaidia kukinga mwili dhini ya magonjwa na kuhimarisha huzalishaji was seli za mwili
FOLIC ACID....Hibi virutubisho vyenye asilia ya vitamin B husaidia kulinda mwili dhidi ya homa na kuhimarisha Kinga ya mwili ,pia husaidia wakina mama wenye homa ,wajawazito,wanaonyonyesha,wanaotarajia kupata mtoto na Kwa wale wenye shida ya kuharibika au kutoka Kwa mimba

KAZI YA ETERNAL FOLIC ACID
*Husaidia kuondoa homa na maumivu ya viungo
*Husaidia kuhimarisha biungo vya uzazi aswa Kwa wakina mama wenye tatizo la mimba kuharibika
*Inahimarisha uhai wa seli za mwili
*Husaidia ku control hormones Kwa wanawakee

WATUMIAJI
*Wakina mama wajawazito
*Wakina mama wanao tarajia kupata mtoto
*Wazee
*Wenye shida ya moyo
*Wakina mama wanao nyonyesha
*Wanao sumbuliwa na maumivu ya kichwa ya mara Kwa mara
*Wenye Upungufu wa Kinga mwilini
Kwa maelezo zaidi piga Whatsapp 0678652187

๐ŸฉบDr.Mkelo

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr. J. Mkelo posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Dr. J. Mkelo:

Share