Mr Nutrition

Mr Nutrition Tumia virutubisho leo kwaajili ya kutibu magonjwa pia kujikinga na maradhi pamoja na kurutubisha mwi

❇️▶️  MAMBO SITA AMBAYO MWANAMKE AKIWA NAYO NI VIGUMU KUSHIKA UJAUZITO..   ✅❇️➡️➡️  Leo  nitazungumzia dalili kuu sita a...
08/06/2021

❇️▶️ MAMBO SITA AMBAYO MWANAMKE AKIWA NAYO NI VIGUMU KUSHIKA UJAUZITO.. ✅❇️

➡️➡️ Leo nitazungumzia dalili kuu sita ambazo ni viashiria vya mwanamke kua mgumba au anaelekea kwenye ugumba

💎 1.KUPATA HEDHI INAYOBADILIKA BADILIKA.

usione ni kawaida kwa siku zako kutokua na mzunguko wa kawaida ambao mara nyingi ni siku 21 mpaka 35.kwa sababu hedhi inayobadilika badilika huashiria kua haupevushi mayai kila mwezi.hali hii inatakiwa kupatiwa ufumbuzi kwa sababu ili uweze kushika ujauzito unahitaji kupevusha yai kila mwezi.

♦️2.KUACHA KUONA SKU ZAKO GHAFLA.

K**a hujafikia menopause ,au sio mjamzito na hutumiii dawa zinasosababisha kubadilika kwa hedhi..ukiona hedhi zako zimekata ghafla maana ake ni kwamba haupevushi mayai .

➡️ 3.KUTOKWA DAMU NYINGI WAKATI WA HEDHI..

♦️4.MAUMIVU WAKATI WA TENDO LA NDOA.

☸️ 5.KUOTA VINYWELEO VISIVYO VYA KAWAIDA USONI.

✳️ 6.KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA.

🏵️ Unahitaji kufanya uchunguzi kwa kina kujua k**a unashida moja ya hizo kwa kufanya vipimo vya mwili mzima

🌹Inawezekana Ukawa Una Changamoto yoyote Ya Uzazi au Ya Kiafya Kwa Ujumla,
📲Tunatoa huduma ya vipimo vya mwili mzima

🌹KARIBUNI SANA

Tupigie Kwa Namba

📞 0748681830

🩸Au Wasiliana na Doctor kwa Njia ya Whatsapp kwa Ku gusa Link hapa Chini

https://wa.me/message/V7VT2SKFWLZVM1

Share ujumbe huu kwa wengine waondokane na changamoto za uzazi

Furaha ya mama ni kupata mtoto katika ndoaJe,furaha yako ni kupata mtoto wa jinsia gani?Ikiwa unasumbuka na matatizo ya ...
04/06/2021

Furaha ya mama ni kupata mtoto katika ndoa
Je,furaha yako ni kupata mtoto wa jinsia gani?
Ikiwa unasumbuka na matatizo ya uzazi na haulewi wapi uanzie basi wasiliana nami nitakupa ushauri,huduma za vipimo vya mwili mzima na matibabu

Namba ni 0748681830

Au gusa linki hapo chini kuwasiliana nami moja kwa moja kwa njia ya whatsapp
https://wa.me/message/V7VT2SKFWLZVM1

Share ujumbe huu kwa wengine

➡️⭕  MWANAMKE KUPATA PERIOD MARA MBILI AU ZAIDI NDANI YA MWEZI MMOJA SABABU NI  HIZI..⭕🔘➡️ Kwa Wanawake wengi mzunguko w...
23/05/2021

➡️⭕ MWANAMKE KUPATA PERIOD MARA MBILI AU ZAIDI NDANI YA MWEZI MMOJA SABABU NI HIZI..⭕🔘

➡️ Kwa Wanawake wengi mzunguko wa hedhi huwa ni wa siku 28. Ingawa wengine huwa na mizunguko kuanzia siku 21 hadi 35.

➡️ Kupata hedhi mara mbili kwa mwezi kunaweza kutokea iwapo siku hizo za mzunguko zitakamilika katika mwezi mmoja.
Kwa mfano, iwapo msichana anapata hedhi tarehe 1 mwezi wa saba, k**a mzunguko wake ni siku 26 msichana huyu atapata tena hedhi katika tarehe 27 ya mwezi wa saba.

➡️ Hivyo atakuwa amepata hedhi mara mbili katika mwezi mmoja. Vilevile, inatokea kwamba mwanamke anapata hedhi katikati ya mzunguko wake ( kwa mfano, baada ya siku 14 katika mzunguko wa siku 28 ).

⭕ Zipo sababu mbalimbali zinazoweza kumfanya mwanamke akarudia hedhi katika mwezi. Sababu hizi ni k**a

➡️ 1.mabadiliko ya hali ya hewa au mazingira.
2.uvimbe katika kizazi( uterine fibroid)
3.kujikondesha (anorexia nervosa)
4.matumizi ya uzazi wa mpango
5.Hormone kutobalance
6.kufanya mazoezi kupita kiasi
Ikumbukwe ni vigumu mwanamke kubeba ujauzito k**a period yake inabadilika badilika

🌹Inawezekana unapitia changamoto ya uzazi karibu katika ofisi zetu kwa kufanya vupimo vya mwili mzima

🌹KARIBUNI SANA

Wasiliana Kwa Namba

📞 0748681830

Au wasiliana na Doctor kwa njia ya WhatsApp kwa kugusa link hapo chini
https://wa.me/message/V7VT2SKFWLZVM1

Zingatia Afya yako jali afya yako usisubiri tatizo likawa kubwa ndio uanze kuhangaika Tatua changamoto yako ya uzazi hap...
21/05/2021

Zingatia Afya yako jali afya yako usisubiri tatizo likawa kubwa ndio uanze kuhangaika
Tatua changamoto yako ya uzazi hapa
Wasiliana nami kwa namba
0748681830

Au gusa link hapo chini uwasiliane nami kwa njia ya WhatsApp
https://wa.me/message/V7VT2SKFWLZVM1

Ushauri wa kiafya kwa mwanamke anayetamani kupata ujauzito ni jambo la msingi na muhimu sanaPata ushauri leo hapa k**a u...
20/05/2021

Ushauri wa kiafya kwa mwanamke anayetamani kupata ujauzito ni jambo la msingi na muhimu sana

Pata ushauri leo hapa k**a una changamoto ya uzazi kwa kupiga simu
0748681830

Au gusa linki hapo chini uwasiliane na Doctor kwa njia ya,WhatsApp
https://wa.me/message/V7VT2SKFWLZVM1

👏

🏵️ JE UMECHOSHWA PIA NA CHANGAMOTO YA KUKOSA MTOTO NA MASIMANGO YAKE?Nimekuwa nikitafutwa na wadada wengi mno wenye chan...
17/05/2021

🏵️ JE UMECHOSHWA PIA NA CHANGAMOTO YA KUKOSA MTOTO NA MASIMANGO YAKE?

Nimekuwa nikitafutwa na wadada wengi mno wenye changamoto za uzazi. Na mojawapo ya kitu ambacho nimekuja kuona kinaleta matokeo haraka kwako ni k**a tayari UMEDHAMIRIA kutoka moyoni. Wengi wanatafuta mtoto wakiwa hawako tayari kufanyia kazi watakachoshauriwa.

Kwa wewe mwanamke ambaye bado unahangaika kuhusu uzazi karibu nikuhudumie.

Tuma Ujumba au piga
📞 0748681830

Au gusa link hapo chini uwasiliane nami kwa njia ya WhatsApp

https://wa.me/message/V7VT2SKFWLZVM1

Tupo Dar es salaam na mikoani pia

🌹 KWA KUPATA USHAURI WA KIAFYA  🌹Wasiliana Nami kwa namba📞 0748681830Au kwa Njia Ya Whatsapp  Kwa Kugusa Link Hapa Chini...
16/05/2021

🌹 KWA KUPATA USHAURI WA KIAFYA 🌹

Wasiliana Nami kwa namba
📞 0748681830

Au kwa Njia Ya Whatsapp Kwa Kugusa Link Hapa Chini

https://wa.me/message/V7VT2SKFWLZVM1



Wizara ya Afya WIZARA YA AFYA ZANZIBAR

Siku moja utakuwa na familia. Mungu awabariki wote wanaotafuta watoto mwaka huu 2021 ukapate mtoto                      ...
15/05/2021

Siku moja utakuwa na familia. Mungu awabariki wote wanaotafuta watoto mwaka huu 2021 ukapate mtoto



Pata Elimu ya uzazi na ushari wa Afya ya    Leo Tunaendelea kusaidia wanawake wenye changamoto za kupata watoto kwa usha...
15/05/2021

Pata Elimu ya uzazi na ushari wa Afya ya Leo

Tunaendelea kusaidia wanawake wenye changamoto za kupata watoto kwa ushauri na huduma ya vipimo

Wasiliana nami kwa namba
0748681830

Au gusa link hapo chini uwasiliane nami kwa njia ya WhatsApp
https://wa.me/message/V7VT2SKFWLZVM1

Address


Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mr Nutrition posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

  • Want your business to be the top-listed Health & Beauty Business?

Share