afya wanawake tz

afya wanawake tz Pata ushauri bure kuhusu afya uzazi kwa wanawake(PID,UTI,FIBROID)n.k

24/03/2026

MADHARA YA PID isiyotibiwa
-Mvurugiko wa homoni za uzazi.
-Kupoteza hamu ya tendo la ndoa.
-Mimba kuharibika.
-Kuziba kwa mirija ya uzazi.
-Saratani ya shingo ya kizazi.

24/03/2026

DALILI ZA PID(Pelvic Inflamatory Disease)
1.Maumivu ya nyonga,kiuno na mgongo.
2.Maumivu wakati wa kufanya tendo la ndoa.
3.kutokwa na uchafu ukeni.
4.Maumivu makali chini ya kitovu wakati wa hedhi
5.Uke kuwa mkavu.
6.Kukosa raha ya tendo la ndoa.

Baada ya kujichunguza umegundua tatizo?Pata Ushauri bure .

​5.co.uk 5.uk appliance.repair asithappens.com bnpl.claims cmc.claims compare.loans cs.claims customer.services dow.today finger.co.uk hp.claims internet.services limited.company ltd.company merchant.services news.today not.today online.school panda.express password.management pcp.claims ppc.claim...

24/03/2026

Hujachelewa # Getruda Lutta

23/03/2026

PID (Pelvic Inflammatory Disease) ni maambukizi ya viungo vya uzazi vya mwanamke, ikiwa ni pamoja na mji wa mimba (uterasi), mirija ya uzazi na ovari, mara nyingi husababishwa na bakteria kutokana na maambukizi ya zinaa (STI). Ugonjwa huu husababisha maumivu ya tumbo la chini, uchafu ukeni usiyo wa kawaida na homa, na unaweza kusababisha utasa usipotibiwa kwa wakati.

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when afya wanawake tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share