Amanani GCAT Clinic Dar es Salaam

Amanani GCAT Clinic Dar es Salaam Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Amanani GCAT Clinic Dar es Salaam, Medical and health, Sinza Palestine, Dar es Salaam.

Tunatoa Huduma ya (Tiba Lishe) Bora na Kupima Vipimo Vyote Vya Mwili
Tunapatikana 📍
Sinza Kumekucha
Wasiliana Nasi Kupitia : 0683614374
:0765848193

03/07/2026
02/07/2026

🔥 Coenzyme Q10 🔥

Bei Yake 🔥 : 97,000 Tshs
Bei Yake 🔥 : 97,000 Tshs
Bei Yake 🔥 : 97,000 Tshs

NB: haina madhara ni tiba lishe

Tunapatikana 📍
Sinza Kumekucha (Mashujaa)
Huduma ya Delivery 🚚 Inapatikana ✊

Call-Text-Whatsapp ☎️ : 0765848193
: 0683614374

Calcium And Protein Powder Dietary Supplement ✅Ina madini mengi ya chokaa yaani 'Calcium'✅Ina virutubisho muhimu kwa wah...
30/06/2026

Calcium And Protein Powder Dietary Supplement

✅Ina madini mengi ya chokaa yaani 'Calcium'

✅Ina virutubisho muhimu kwa wahanga wa ajali na waliofanyiwa upasua
✅Inasaidia kuzuia maradhi ya moyo na ubongo (k**a kisukari)

Watumiaji 📍

Ni lishe nzuri kwa watoto na umri wa kati ambao bado wanaendelea kukua na mahitaji ya lishe bora ni makubwa zaidi kwao.

Kwa wale wasiotumia nyama na wenye masharti ya vyakula, hii ni lishe kamili na salama kwa mahitaji ya mwili na yeyote anayehitaji kuboresha zaidi afya yake.

Ni nzuri pia ikutumia na kinamama wajawazito na wanaonyonyesha kwa ajili ya afya ya mtoto.

Inasaidia sana kuponyesha majeraha na vidonda haraka kwa wale waliotoka kufanyiwa upasuaji, au wahanga wa ajali.

Inaweza pia kutumiwa na wenye matatizo

ya tumbo pamoja na mfumo wa chakula

Ni nzuri ikitumiwa na wasio kinga na wanaoshindwa kula au hamu yhamula kabisakabisaahususaniowatotozee sana.

Angalizo 📍

Bidhaa hii si mbadala wa dawa.

enye ili na eyote

Watumiaji wanashauriwa wasizidishe kiwango cha kawaida cha matumizi yaliyopendekezwa.

ama ajili

Pia iwekwe mahali pakavu, pasipo na joto kali na pasipofikiwa na watoto kwa urahisi.

Bei Yake 🔥 : 120,000 Tshs
Bei Yake 🔥 : 120,000 Tshs
Bei Yake 🔥 : 120,000 Tshs

Tunapatikana 📍
Sinza Kumekucha (Mashujaa)
Huduma ya Delivery 🚚 Inapatikana ✊

Call-Text-Whatsapp ☎️ : 0765848193
: 0683614374

30/06/2026

🔥 Spiritual Tablets 🔥

Maelezo ya Bidhaa 📍

👉Lishe hii inatokana na unga wa Algae usiochanganywa na wanga. Inayeyuka haraka mwilini (up to 95%), haiharibiwi kirahisi na vitu k**a mionzi.
👉Ni lishe yenye madini mengi na muhimu zaidi katika mwili. Husaidia kuondoa taka mwilini na kusafisha mfumo wa chakula k**a tumbo na utumbo. Husaidia kuzuia uvimbe, kuondoa mabaka na mikunjo katika ngozi iliyosinyaa na kuifanya iwe ya kuvutia zaidi.
👉Husaidia kupunguza kiwango cha mafuta katika damu. Husaidia wagonjwa wa kisukari au wenye dalili za kisukari kupata nafuu kubwa.
👉Ni nzuri kwa wagonjwa wanaotibiwa kwa mfumo wa mionzi (mfano wagonjwa wa kansa), shinikizo la damu, wasio na lishe nzuri na wenye matatizo ya mfumo wa uyeyushaji chakula.

Watumiaji 📍

✅Watu wasio na kinga ya kutosha, wazee na wahanga wa ajali kusaidia kuponyesha majeraha kwa urahisi.

✅Inawasaidia wanaofanya kazi ngumu na za kutumia nguvu nyingi

✅Wanaosumbuliwa na tatizo la msukumo wa damu kwa kipindi kirefu

✅Wenye ukosefu wa lishe bora, wenye matatizo na mfumo wa uyeyushaji wa chakula na wanaosumbuliwa na homa ya ini na maumivu ya viungo mara kwa mara.

⚠️Angalizo⚠️

Bidhaa hii si mbadala wa dawa.

Watumiaji wanashauriwa wasizidishe kiwango cha kawaida cha matumizi yaliyopendekezwa.

Pia iwekwe mahali pakavu, pasipo na joto kali na pasipofikiwa na watoto kwa urahisi.

NB: haina madhara ni tiba lishe

Bei Yake 🔥 : 90,000 Tshs
Bei Yake 🔥 : 90,000 Tshs
Bei Yake 🔥 : 90,000 Tshs

Tunapatikana 📍
Sinza Kumekucha (Mashujaa)
Huduma ya Delivery 🚚 Inapatikana ✊

Call-Text-Whatsapp ☎️ : 0765848193
: 0683614374

30/06/2026

🔥 Natural Vitamin E Soft Capsules 🔥

Bei Yake 🔥 : 90,000 Tshs
Bei Yake 🔥 : 90,000 Tshs
Bei Yake 🔥 : 90,000 Tshs

NB: haina madhara ni tiba lishe

Tunapatikana 📍
Sinza Kumekucha (Mashujaa)
Huduma ya Delivery 🚚 Inapatikana ✊

Call-Text-Whatsapp ☎️ : 0765848193
: 0683614374

30/06/2026

🔥 Natural Vitamin E Soft Capsules 🔥

Bei Yake 🔥 : 90,000 Tshs
Bei Yake 🔥 : 90,000 Tshs
Bei Yake 🔥 : 90,000 Tshs

NB: haina madhara ni tiba lishe

Tunapatikana 📍
Sinza Kumekucha (Mashujaa)
Huduma ya Delivery 🚚 Inapatikana ✊

Call-Text-Whatsapp ☎️ : 0765848193
: 0683614374

29/06/2026

🔥 Eternal toothpaste 🔥
Hii ni dawa ya meno inayotokana na mimea tiba ya asili ambayo imechanganywa kwa pamoja na kuifanya kuwa dawa yenye nguvu zaidi na bora kuliko zote. Mimea tiba yake inaweza pia kusaidia kuboresha afya ya ngozi kwa mfano kwa wale wanaosumbuliwa na fangasi wa vidoleni au katika kucha.

✅Ni dawa nzuri ya kusafishia meno kwa ulinzi kamili wa meno yako na kinywa.

✅Inasaidia kukuweka 'fresh' na kuwa na harufu nzuri ya kinywa wakati wote.

✅Inasaidia kuua wadudu 'bacteria' wanaoeneza maradhi ya kinywa na meno.

✅Inasaidia pia kwa wale wanaosumbuliwa na ganzi ya meno na wenye meno mabovu inazuia yasiendelee kuharibika na kuliwa na wadudu.

✅Hufanya meno yako kuwa meupe zaidi na ya kuvutia hasa kwa wale ambao meno yao yameharibiwa na matumizi ya vitu k**a sigara

Bei Yake 🔥 : 20,000 Tshs
Bei Yake 🔥 : 20,000 Tshs
Bei Yake 🔥 : 20,000 Tshs

Tunapatikana 📍
Sinza Kumekucha (Mashujaa)

⚠️ Huduma ya Delivery 🚚 Inapatikana ✊

Call-Text-Whatsapp ☎️ : 0765848193
: 0683614374

Address

Sinza Palestine
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Amanani GCAT Clinic Dar es Salaam posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share