27/04/2026
Matatizo mengi ya afya yameanzia kwenye ulaji mbovu na kutumia madawa kihorela na si bahati mbaya.
Kuna wakati tunabadilisha ulaji wetu na vitu tunavyokunywa siyo kwa sababu tunapenda, bali kwa sababu afya inatulazimisha kupenda.🍇🍍🥭🥬🥦🍉🐟
Samaki hasa sato, sangara au yeyote hasa wabichi wakitumika mara kwa mara wanaweza kusaidia:
1. Kuboresha homoni.
2. Kuupa mwili nguvu.
3. Kuimarisha afya ya uzazi.
4. Kuongeza nafasi ya kupata ujauzito.
5. Ni nzuri kwa Mjamzito kwa afya yake na mtoto tumboni.🤰👩🍼
Tumia k**a supu, mboga lakini nzuri zaidi usimkaange. Unaweza kuongeza viungo vingine kulingana na mahitaji na upatikanaji.