Siraajul Muniyr - Tiba asili

Siraajul Muniyr - Tiba asili Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Siraajul Muniyr - Tiba asili, Medical and health, Dar es Salaam.

22/04/2026

INDIAN TAUSI JIKE.

Amebaki jike mzazi huyo ukimpenda tuwasiliane
0655821550

wa.me/255655821550

09/04/2026

LAHORE.
Quality inajieleza, ukiwapenda tuwasiliane.
0655921550

wa.me/255655821550

09/04/2026

INDIAN TAUSI.
Quality inajieleza, ukiwapenda tuwasiliane.
0655921550

wa.me/255655821550

09/04/2026

INDIAN TAUSI.
Jike.
Quality na rangi vinajieleza, ukiwapenda tuwasiliane.
0655921550

wa.me/255655821550

⚡KWA WENYE MATATIZO YA KUTOKUSHIKA UJAUZITO⚡👉Dawa hii ni nzuri sana kwa wasioshika ujauzito kwa sababu mbalimbali k**a k...
24/03/2026

⚡KWA WENYE MATATIZO YA KUTOKUSHIKA UJAUZITO⚡
👉Dawa hii ni nzuri sana kwa wasioshika ujauzito kwa sababu mbalimbali k**a kutokubalance kwa hormone na matatizo mengine....
👉Pia dawa hii hii watumie watu ambao akishika ujauzito unatoka.
👉Dawa hii usiitumie kwanza k**a una UVIMBE TUMBONI AMA MIRIJA YAKO YA UZAZI IMEFUNGA(IMEZIBA)
👉Nina maana ikiwa una uvimbe ama mirija imefunga TUMIA KWANZA DAWA ZA KUTOA UVIMBE NA KUZIBUA MIRIJA ndipo utumie dawa hii
👉Dawa hii si nyingine bali ni MIZIZI YA MKWAMBE

⚡Tafuta mizizi ya mkwambe ...mizizi nane igawanye fungu mbili upate minne minne

⚡Chukua fungu la kwanza chemsha kwa maji vikombe vitano vya 250ml. ...... yaani sawa sawa na lita moja na robo. .
Chemsha ichemke vizuri kabisa
⚡Kunywa kikombe kimoja kutwa mara moja
Hiyo dawa ulochemsha utakua unaipasha siku zinazofuata mpaka zitimie siku nne , hapo utachukua kifungu cha pili na utafanya k**a cha kwanza
Utakuwa umetumia dawa hiyo kwa siku nane tuu.

Kwa ushauri na tiba wasiliana nasi
wa.me/255656303019
*~Chief Sang'ida*

⚡UTOFAUTI KATI YA KANSA YA T**I NA UVIMBE WA KAWAIDA KWENYE T**I.⚡🍀Uvimbe ambao ni kansa ukuaji wake ni wa kasi sana uki...
28/02/2026

⚡UTOFAUTI KATI YA KANSA YA T**I NA UVIMBE WA KAWAIDA KWENYE T**I.⚡

🍀Uvimbe ambao ni kansa ukuaji wake ni wa kasi sana ukilinganisha na uvimbe wa kawaida.
Mfano:Anaweza kuja rafiki yako anakueleza huu uvimbe upo hapo tangu miaka 5 iliyopita huwa unaongezeka lkn kidogo mno. Hapo utajua sio kansa ni uvimbe wa kawaida tu.
Lakini pia rafiki yako anaweza kuja anakueleza nina uvimbe hapa akifunua unakuta t**i limevimba sana na limekuwa kubwa ukimuuliza tangu lini huu uvimbe mbona unatisha...atakwambia umenianza miezi kumi tu uliopita ila linakuwa kwa kasi sana.
Huo uvimbe lazima ufikilie kuwa ni kansa labda uhakikishwe kwa vipimo vya maabara.

🍀Pia sio kila mtu anaye lalamika t**i limevimba ni cancer sio ukweli.
Inaweza kuwa amepata maambukizi ya bakteria tu na kusababisha kuvimba kwa t**i tunaita mast**is. Au inaweza kuwa ana jipu kwenye t**i (breast abscess)
Hivyo haya yote unatakiwa uhakikishe mgonjwa wako hana ili kuhakikisha kuwa yale unayofikilia kuwa ni kansa ya t**i kuwe na ukweli ndani yake.
🍀Pia unatakiwa kumuuliza chanzo cha t**i kukua au kuvimba kiasi hicho inaweza kuwa kuna ugomvi ulitokea ikapelekea mtu kupigwa na kuumizwa.
Hivyo usifikilie mbali tu kwamba kila uvimbe sasa unawaza huyu mtu ana kansa.

🍀Pia uvimbe wa kansa ukuaji wake ni kasi sana hata ukimuuliza mgonjwa atakusimulia historia fupi ya ugonjwa ukilinganisha na uvimbe mwingine ambao sio kansa.
Sasa nitajuaje kuwa uvimbe huu ni kansa na sio kansa bila vipimo?
Napenda nikwambie kuwa leo basi ukizingatie elimu hii unaweza ukawa tabibu mzuri wa familia yako kupitia elimu hii.
Pia uvimbe ambao ni kansa mwanzoni huwa hauna maumivu kabisa lakini ukisha fika hatua mbaya utakuwa na maumivu makali sana.
Sasa nasema haya kwa sababu ukitaka kujua hii sio kansa mwanzo ni KUTUMIA DALILI YA MAUMIVU.
Unakuta t**i linauma na limeng'aa hapo moja kwa moja utajua kuwa inaweza kuwa ana maambukizi tu yani mast**is au ana jipu kwenye t**i breast abscess.
wa.me/255655821550
Hivyo basi kwa hatua za mwanzo uvimbe wa kansa huwa hauna maumivu yoyote.
Na ukikuta unapata dalili zenye maumivu makali na una kauvimbe na ni siku chache tu kametokea usianze kuhangaika na kupatwa na msongo wa mawazo kuwa una uvimbe k**a

🌱 *FAHAMU KUHUSU KOMAMANGA* 🌱 Tunda la *komamanga* (kwa Kiingereza *pomegranate*, jina la kisayansi huitwa: *Punica gran...
19/02/2026

🌱 *FAHAMU KUHUSU KOMAMANGA* 🌱
Tunda la *komamanga* (kwa Kiingereza *pomegranate*, jina la kisayansi huitwa: *Punica granatum*) ni tunda lenye nguvu kubwa ya kiafya na hutumika sana katika tiba za asili.

🌿 *Maradhi Ambayo Komamanga Hutibu* 🌿

👉1. *Tezi dume (Prostate health):*
- Juisi ya komamanga hupunguza uvimbe na kusaidia kupambana na saratani ya tezi dume.

👉2. *Shinikizo la damu (High blood pressure):*
- Inasaidia kupunguza shinikizo kwa kuboresha mzunguko wa damu.

👉3. *Sukari (Diabetes):*
- Hupunguza kiwango cha sukari mwilini na kuimarisha usikivu wa insulin.

👉4. *Saratani (Cancers):*
- Antioxidants zake huzuia kuenea kwa seli hatari, hasa saratani ya mat**i na tezi dume.

👉5. *Moyo (Heart health):*
- Huzuia mishipa ya damu kuziba na kupunguza cholesterol mbaya.

👉6. *Vidonda vya tumbo (Ulcers):* Tumbo kujaa gesi, pia asidi na kuhara damu
- Maganda yake husaidia kuponya vidonda vya tumbo.

👉7. *Nguvu za uzazi:*
- Huongeza uzalishaji wa shahawa na nguvu kwa wanaume, pia husaidia mzunguko wa hedhi kwa wanawake na kupevusha mayai.

👉8. Kutibu mawe kwenye figo, minyoo aina ya tegu
👉9. Hutibu uvimbe wa wengu (spleen) , pia homa ya ini.
👉10. Huondoa sumu za kemikali mbalimbali katika mwili

*Namna ya Kutumia*

⚡1. *Juisi ya tunda:*
- Kunywa glasi 1 kila siku, hasa asubuhi kabla ya chakula.

⚡2. *Maganda yaliyokaushwa:*
- Saga maganda na chemsha kijiko 1 kwenye kikombe cha maji.
- Kunywa mara 2 kwa siku kwa vidonda vya tumbo au matatizo ya mdomo.
⚡3. *Mbegu mbichi:*
- Tafuna au changanya na asali kwa nguvu za uzazi.

⚡4. *Mizizi:*
- Mizizi yake huchemshwa kwa kuondoa minyoo tumboni na kutuliza homa.

Je, una changamoto yeyote kuhusu afya tuweze kukusaidia??
Iwe changamoto ya kimwili ama kiroho,
0656303019

Kwa ushauri na tiba za maradhi mbalimbali wasiliana nami.
wa.me/255656303019
~ *Chief Sang'ida*

🌳 *KANSA YA TEZI DUME-PROSTATE CANCER* 🌳👉Saratani ya tezi dume ni ugonjwa unaowapata wanaume tu. Hutokana na uvimbe wa t...
18/02/2026

🌳 *KANSA YA TEZI DUME-PROSTATE CANCER* 🌳

👉Saratani ya tezi dume ni ugonjwa unaowapata wanaume tu. Hutokana na uvimbe wa tezi dume.
👉Siyo kila uvimbe wa tezi dume ni kansa bali ni uvimbe unaoanzia pale kwenye tezi na kuenea sehemu nyingine za mwili. Kwa kawaida kansa hutokea pale seli za mwili zinapojizalisha na kuongezeka bila kizuizi kwa namna isiyo ya kawaida.
👉Kansa hii huweza kuenea kwa taratibu kwa baadhi ya watu na kwa wengine huweza huenea kwa haraka zaidi.
👉Uwezekano wa kupata kansa hii huongezeka kwa kadri umri unavyoongezeka.
👉Kama kansa hii itagungulika ikiwa ndani ya tezi yenyewe ni rahisi sana kutibika na kuidhibiti kabisa kwa urahisi.
wa.me/255656303019

*CHANZO CHA KANSA/SARATANI YA TEZI DUME*
👉Madaktari wanakubaliana kuwa hakuna chanzo cha ugonjwa huu kilichobainishwa hadi sasa. Inafahamika tu kwamba kansa hii hutokana na kukua na kuongezeka kwa seli za tezi dume kwa namna isiyo ya kawaida. Kwa kadri seli hizi za kansa zinavyoongezeka hujikusanya na kutengeneza uvimbe (tumor). Seli hizi za kansa zilizotengeneza uvimbe huendelea kuongezeka na kugawanyika na hatimaye huanza kuenea sehemu zingine za mwili. Japo haifahamiki vyema sababu ya uvimbe huu kutokea,kuna sababu hatarishi au sababu sababishi za kutokea kwa saratani hii. Hebu tuzitazame;

⚡Umri mkubwa- uwezekano wa kupata saratani hii huongezeka kwa kadri umri unavyoongezeka. Kwa wanaume wenye miaka 50 au zaidi huwa katika hatari kubwa ya kupata kansa hii. Lakini zaidi ya 60% ya matatizo yote ya kansa ya tezi dume huwapata wanaume wenye umri wa 65 au zaidi.
⚡Historia ya familia- k**a unatokea kwenye familia yenye historia ya ugonjwa huu,mfano baba au kaka akiwa na ugonjwa huu, uwezekano wa kupatwa na saratani hii ni mara mbili zaidi.
⚡Rangi au asili- Wamarekani wenye asili ya Afrika,Wajamaika wenye asili ya Afrika na Waafrika wenyewe wana hatari kubwa ya kupatwa na aina hii ya kansa ya kiume. Watu wa Asia na Hispania kwa upande wao hawako katika hatari hii.
⚡Unene uliopindukia- Watu wanene sana pia wako katika hatari ya kuugua ugonjwa huu wa kansa kuliko watu wenye miili ya kawaida na wasiokuwa na unene mkubwa.
⚡Chakula- Ulaji wa vyakula vya nyama hasa nyekundu na mafuta kwa wi

🌳 *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* . 🌳 ⚡ *AL-MUNAWARA*⚡ *NI DAWA INAYOTIBU* , 👉1.GESI, KUSAFISHA MKOJO, KIFUA KUBANA, KI...
14/02/2026

🌳 *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* . 🌳
⚡ *AL-MUNAWARA*⚡
*NI DAWA INAYOTIBU* ,
👉1.GESI, KUSAFISHA MKOJO, KIFUA KUBANA, KIKOHOZI, MALARIA.
👉2.VIDONDA TUMBO, TYPHOID, UCHOVU WA MWILI, VIUNGO KUUMA, KICHOCHO
👉3.KASWENDE ,MAUMIVU YA TUMBO, MAUMIVU YA MIGUU.
👉4.MINYOO, AMIBA, FIGO, H. BP.
👉5.KIUNO, MGONGO, NGIRI, CHANGO LA AKINA MAMA.
🍀 *MATUMIZI* .🍀 ✍-KIJIKO CHA CHAKULA KUTWA MARA 3.
✍ - MTOTO KIJIKO CHA CHAI KUTWA MARA 3.
⚡⚡DOZI YA VIDONDA VYA TUMBO CHUPA 4.
⚡⚡MARADHI MENGINE CHUPA 2

☔ *ILI KUIPATA DAWA HII WASILIANA NASI** ☔
what's app/call
+255 655 821 550
Sulayman Sang'ida

Address

Dar Es Salaam
0656303019

Telephone

+255656303019

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Siraajul Muniyr - Tiba asili posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Siraajul Muniyr - Tiba asili:

Share