29/04/2026
PATA INSOLES IMARA KWA AJILI YA WATU WAZIMA WENYE MIGUU BAPA.
Habari za Leo, kwa watu wazima ambao umri wao umesogea kiasi cha kushindwa kutatua changamoto ya miguu kukosa uvungu, tunawatelea insoles maalum kwa ajili ya kupunguza maumivu, kuuweka mguu sawa, kukuwezesha kuvaa aina zozote za viatu na kutembea umbali mrefu bila kuchoka.
Bei ya Pair Moja ni Tsh 20,000/-, kwa pair mbili ni Tsh 30,000/-.
Tunapatikana jet lumo mwisho wa lami, Temeke Dar es Salaam.
Watu wa mikoani tunawatumia.
Karibuni Sana.