06/08/2026
👉Kwanza kabisa fangasi ukeni husababishwa na Mvurugiko wa uwiano wa bakteria wazuri ukeni (Ph) kutokana na Mazingira...
Na hizi ndio njia za kufanya ili kujikinga na kuzuia maambukizi ya fangasi ukeni :-
➡️Tumia nguo za ndani zilizo tengenezwa na cotton (pamba)..
Kwasasabu hizi hazitengenezi joto sehemu za siri, wala sio rahisi kutengeneza michubuko..
➡️Usitumie Maji unayo yakuta chooni direct.. Hasa Yale yanawekwa kwenye vyombo k**a Jaba, ndogo nk...
Itakuwa vizur k**a utaingia na Maji yako au k**a kuna Bomba na Maji Yana tiririka itapendeza zaidi...
➡️Jikaushe kwa Tishu ukeni baada ya kujitawadha, usivae nguo ya ndani k**a bado una Unyevu nyevu..
➡️Anika nguo zako za ndani kwenye jua, k**a Mazingira haya ruhusu piga pasi nguo zako kabla ya kuvaa..
➡️Tumia sana mtindi au Yoghat badala ya Pepsi na juice... 🤏😎
Kwasasabu husaidia kulinda na kutengeneza bakteria wazuri ukeni, wanao tengeneza ute, joto na Hamu ya tendo la ndoa...
➡️Hakikisha haukosi REPROCARE ndani kwako au kwenye kibegi chako...
Hii ni kwa ajili ya usafi wako k**a Mwanamke, utaitumia kujisafisha sehem za siri kila unapo Maliza haja ndogo...
Itakusaidia kuondoa Miwasho inayo ambatana na harufu mbaya ukeni pamoja na uchafu, itakulinda dhidi ya maambukizi mapya ya fangasi na UTI..
_*K**a Ume elewa Sema Ameeen.... 🙏*_
Dr. Kilatenga
0746 846 891