Tuongee Afya

Tuongee Afya NUTRITIONIST
✅UZAZI ME&KE
✅VIDONDA VYA TUMBO
✅ Ovarian cyst & Uvimbe
✅PID, U.T.I&FANGAS
✅UZITO
✅ AFYA YA WATOTO
MATOKEO BORA Whatsapp 0750933014

*Mwanamke hii nayo ni kitu ya kukosa?*Ukavu ndo sababu kubwa ya kutokufurahia tendo la ndoaUkiagiza dawa leo unaanza kup...
24/04/2026

*Mwanamke hii nayo ni kitu ya kukosa?*

Ukavu ndo sababu kubwa ya kutokufurahia tendo la ndoa

Ukiagiza dawa leo unaanza kupata ute kesho

*Faida za huo ute*

👉Ulinzi wa asili wa uke wako

👉Ladha raha na utamu wa tendo

👉Mimba inashima kwa haraka

👉 ukiwa na ute usio na rangi huwezi kupata uchafu mweupe

👉Huwezi kupata michubuko kwa babi

👉Mr Nae Lazima ataenjoy mtelezo

👉Ukiwa na ute mzuri huwezi kupaya harufu mbaya

👉K**a una uti pia inaondoa

Dawa yenye matokeo ya haraka inapatikana kwangu
piga au watsap👉 0750933014

22/04/2026

Hatimaye.....Tears of joy
K**a ujawahi kupitia kwenye hii situation huwezi kuelewa
Sio rahisi ila Mungu ndo anayeweza kukuvukisha
Miaka 5, 6,7,8 9 10, 11, 12, 15 hujapata mtoto....umeshahangaika adi umesema basiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Umeshakunywa Dawa za kila aina
Umeshaguswa na madaktari mpaka basiii
Umesemwa Mno na kuachika juuu kisa mtoto……
Umeshalia mwenyewe sanaaaaaa
Umeshaomba sanaaaaaaaa
Umeshakunywa dawa za kienyeji sana
Umeshazunguka sanaaaaaaa adi unawaza wengine wanafanikiwaje?
Unajiuliza kwani Mungu akuoni?
Umekata tamaaaa mnoooooo
Hutamani hata kusikia izo habari…..
Nikwambie yuko Mungu anaweza kusaidia watu just jaribu kwa Mara ya Mwishoooooooo njooo tuongeeee
Hata uyo dada alikua K**a wewe Leo analia na furaha yake ameipakata
Njoooo dear wewe unazaaaa

Call/Whatsapp 0750933014

22/04/2026

FAIDA KWA KILA CHANGAMOTO YA UZAZI WA MWANAMKE
Virutubisho vya nguvu vinavyosaidia kutibu chanzo cha matatizo ya uzazi kwa njia ya asili.

🔹 1. PID (Pelvic Inflammatory Disease)
✅ Husaidia kupunguza uvimbe na maambukizi ndani ya kizazi
✅ Huweka mazingira safi ya uzazi kwa ujauzito salama

🔹 2. HOMONI KUTOKUSAWAZIKA (Hormonal Imbalance)
✅ Husawazisha homoni k**a Estrogen na Progesterone
✅ Hurekebisha mzunguko wa hedhi na kuboresha mood

🔹 3. MIRIJA KUZIBA
✅ Husaidia kusafisha uchafu na sumu zinazoziba mirija
✅ Huongeza mzunguko wa damu kwenye mirija ya uzazi

🔹 4. MATATIZO YA HEDHI
✅ Hurekebisha hedhi zisizoeleweka, nyingi au chache
✅ Hupunguza maumivu ya hedhi na kurudisha hedhi iliyopotea

🔹 5. UKAVU UKENI
✅ Hurejesha unyevu wa uke kwa njia ya asili
✅ Huongeza hamu ya tendo la ndoa

🔹 6. MAAMBUKIZI YA FANGASI
✅ Hupambana na fangasi sugu (yeast infections)
✅ Huweka uwiano sahihi wa bakteria wazuri na wabaya ukeni

🔹 7. VAGINOSIS NA CHLAMYDIA
✅ Husaidia kutibu maambukizi ya bakteria ukeni
✅ Hurejesha hali ya kawaida ya uke na kuondoa harufu mbaya

🔹 8. KIZAZI KULEGEA
✅ Husaidia kuimarisha misuli ya uzazi
✅ Hurejesha nguvu ya uke na kizazi

🔹 9. KUTOPEVUSHA MAYAI
✅ Huchochea ukuaji na upevushaji wa mayai
✅ Huongeza nafasi ya kupata ujauzito

🔹 10. PCOS (Polycystic Ovarian Syndrome)
✅ Husafisha ovari na kuondoa uvimbe
✅ Husawazisha homoni zinazoharibu mzunguko wa hedhi

🔹 11. MIMBA KUHARIBIKA MARA KWA MARA
✅ Huimarisha mazingira ya mimba kushika na kukua salama
✅ Huongeza progesterone kwa ujauzito wenye nguvu

🔹 12. ENDOMETRIOSIS
✅ Hupunguza uvimbe ndani ya mfuko wa uzazi
✅ Husaidia kudhibiti maumivu makali ya tumbo

🔹 13. SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI
✅ Ina antioxidants zinazosaidia kupambana na seli hatari
✅ Husaidia kulinda seli za shingo ya kizazi dhidi ya mabadiliko

🔹 14. OVARIAN CYSTS
✅ Husaidia kuyeyusha cysts polepole kwa njia ya asili
✅ Huongeza afya ya ovari na uzalishaji wa mayai bora

K**a Unapitia Changamoto yoyote kati ya hizi Wasiliana nasi Kwa usaidizi wa karibu

Call/Whatsapp 0750933014

17/04/2026

Changamoto nyingi za Afya huanza kwenye vyakula tunavyokula.... Tukiweza kubadilisha ulaji wetu magonjwa yatapungua sanaaaa

Tunavyo Virutubisho ambavyo vinaziba gape la kile tunachokosa kwenye vyakula vyetu.

Njoo uniambie unahitaji kutatua Changamoto Gani?

Call/Whatsapp 0750933013

*MAMBO 10 YANAYOSABAISHA MIWASHO UKENI-TIBA YAKE* *Miwasho ni hali ya* kutamani kujikuna au kujikuna kwenye uke hali hii...
16/04/2026

*MAMBO 10 YANAYOSABAISHA MIWASHO UKENI-TIBA YAKE*

*Miwasho ni hali ya* kutamani kujikuna au kujikuna kwenye uke hali hii hupelekea hali ya kuhisi raha na baadae michubuko na maumivu wakativwa tendo la ndoa

*Kuna mambo kadhaa* yanayoweza kusababisha miwasho ukeni, ikiwa ni pamoja na

1. *Maambukizi ya Fangasi (Candidiasis)* Haya ni maambukizi ya kawaida yanayosababishwa na fangasi aina ya Candida, ambayo husababisha miwasho, uchafu mweupe.

2. *Maambukizi ya Bakteria (Bacterial Vaginosis)* Maambukizi haya husababishwa na kuongezeka kwa bakteria mbaya na hupatikana na dalili k**a vile harufu mbaya, miwasho, na uchafu wenye rangi ya kijivu.

3. *Magugu (Trichomoniasis)* Hii ni maambukizi ya zinaa yanayosababishwa na vimelea vinavyoitwa Trichomonas vaginalis. Husababisha miwasho, uchafu wa kijani au njano, na harufu mbaya.

4. *Ugonjwa wa Uchafu wa Mkojo (Urinary Tract Infection)* Ingawa hii ni maambukizi kwenye mfumo wa mkojo, inaweza kusababisha maumivu na miwasho katika maeneo ya karibu na uke.

5. *Matumizi ya Bidhaa Zenye Kemikali* Sabuni zenye harufu kali, sabuni za kuoshea uke, kuweka mate,mafuta ya kulainisha, na bidhaa nyingine za usafi zinaweza kusababisha mizio au miwasho.

6. *Mabadiliko ya Homoni* Wakati wa ujauzito, hedhi, au kukoma kwa hedhi, mabadiliko ya homoni yanaweza kusababisha uke kuwa kavu na kuwasha.

7. *Nguo za Ndani* Mavazi ya ndani yenye nyuzi za sintetiki(nylon)au zinazobana sana zinaweza kusababisha joto na unyevunyevu, ambayo ni mazingira mazuri kwa fangasi na bakteria kukua.

8. *Maambukizi ya Kingono* Maambukizi yanayotokana na mawasiliano ya kingono (STIs) k**a vile herpes, gonorrhea, na chlamydia yanaweza kusababisha miwasho.

9. *Alerji* Alerji kwa kondomu, shahawa za mwanaume, au hata baadhi ya dawa za kutuliza maumivu zinaweza kusababisha miwasho.

10. *Magonjwa ya Ngozi* Magonjwa ya ngozi k**a eczema, psoriasis, au lichen sclerosus yanaweza kuathiri eneo la uke na kusababisha miwasho.

piga au watsap no. 0750933014

We Glorify God 👏Package za Uzazi na Changamoto za Uzazi (PID,UTI, PCOS Na FANGAS) Zinapatikana Bamaga-Dar es salaam Piga...
16/04/2026

We Glorify God 👏
Package za Uzazi na Changamoto za Uzazi (PID,UTI, PCOS Na FANGAS) Zinapatikana
Bamaga-Dar es salaam
Piga simu nikuhudumie
Mikoani TUNATUMA Kwa UAMINIFU 👏
Karibu🤗

Popote Ulipo Tanzania Mzigo wako Unakufikia🔥🔥🔥🔥Tupigie 0750933014
16/04/2026

Popote Ulipo Tanzania Mzigo wako Unakufikia🔥🔥🔥🔥

Tupigie 0750933014

**DOSE YA KUPATA MIMBA(FERTILITY KIT) *Ni Package Maalum* Ya Products Za virutubisho Kwa Wanawake Wanaoshindwa Kubeba Uj...
14/04/2026

**DOSE YA KUPATA MIMBA(FERTILITY KIT)

*Ni Package Maalum* Ya Products Za virutubisho Kwa Wanawake Wanaoshindwa Kubeba Ujauzito,Ni nzuri kwa swala la uzazi,hata K**a umeshafanya vipimo vyote na huonekani kuwa na tatizo ningeshauri utumie hii

*Na mume pia* atapata kirutubisho chake cha kuboost uzalishaji na ubora wa sperms(sperm count,sperm motility,spermshape)

*KAZI ZA FERTILITY KIT*
1.Inasaidia kupevusha mayai ya Kike(Ovaries)

2.Inasafisha mirija,ready kabisa kupitisha Yai/mayai(kwa mapacha),na mbegu za kiume zinapita vizur kabisa

3.Inahuisha kizazi vizuri kabisa,ready kupokea mtoto

4.Unaweka PH ya uke,vagina ile nzur inafaa kupitisha mbegu za kiume bila kuziua

5.Inakufanya mwanamke upate ule UTE special unaovutika k**a ute mweupe wa mayai ukiwa siku za hatari,huu ute ni muhimu maana ndio ute special mbegu za kiume zinapitia kuingia ndani....

6.Zinaweka hormones Zikae sawa ka bisaaaaaa zinazofanya upevushe mayai,udake mimba na ukipata mimba,Isitoke.

7.INATIBU PID.inasafisha infection na uchafu wote Ukeni Na Njia Ya Uzazi
Na k**a imeonekana hupati Mimba,lakin shida haijaonekana,basi unahitaji sanaaaa sanaaaa hii FERTILITY KIT ,Nina Shuhuda Za Watu Niliowapa na Wakafanikiwa Kupata Watoto, Inawezekana Kwako pia

Gusa namba yangu wa.me/255750933014

Piga Simu- 0750933014

Vyakula Muhimu kwa Mwanamke MjamzitoWakati wa ujauzito, lishe bora ni msingi wa afya ya mama na ukuaji wa mtoto tumboni....
13/04/2026

Vyakula Muhimu kwa Mwanamke Mjamzito

Wakati wa ujauzito, lishe bora ni msingi wa afya ya mama na ukuaji wa mtoto tumboni. Chakula sahihi husaidia kupunguza matatizo wakati wa ujauzito, kujifungua, na hata baada ya kujifungua.

1. Vyakula vyenye protini nyingi
Samaki waliopikwa vizuri, kuku, nyama isiyo na mafuta, mayai, maharagwe na dengu.
Protini husaidia kujenga tishu za mtoto na kuongeza nguvu kwa mama.

2. Vyakula vyenye madini ya chuma (Iron)
Nyama nyekundu, maini (kwa kiasi kidogo), mboga za majani yenye kijani kibichi k**a sukuma wiki, spinachi na kunde.
Chuma husaidia kuongeza damu na kuzuia upungufu wa damu (anemia).

3. Vyakula vyenye folic acid (Folate)
Mboga za majani, ndizi, parachichi, viazi vitamu, karanga na dengu.
Folic acid huzuia matatizo ya mishipa ya fahamu ya mtoto (neural tube defects).

4. Vyakula vyenye kalsiamu
Maziwa, mtindi, jibini, mboga za kijani, samaki wadogo wanaoliwa na mifupa (k**a dagaa).
Kalsiamu inasaidia ukuaji wa mifupa na meno ya mtoto na pia hulinda mifupa ya mama.

5. Matunda na mboga mbichi
Embe, chungwa, papai, maembe, parachichi, karoti, nyanya, broccoli.
Hupatia mama na mtoto vitamini na madini muhimu kwa kinga ya mwili.

6. Wanga wenye afya

Mchele wa kahawia, ugali wa dona, viazi vitamu, mihogo, mtama, ndizi mbichi.
Hupatia nguvu kwa mama na kusaidia ukuaji wa mtoto.

7. Maji ya kutosha

Mama mjamzito anashauriwa kunywa angalau lita 2–3 za maji kwa siku ili kuzuia upungufu wa maji na kusaidia mzunguko mzuri wa damu.

Mambo ya Kuepuka

Vyakula visivyopikwa vizuri (hasa nyama na samaki) ili kuepuka maambukizi.

Pombe na sigara – huathiri moja kwa moja afya ya mtoto.

Kafeini nyingi (kahawa, soda za energy).

Vyakula vyenye chumvi na mafuta mengi.

🥭Kwa ufupi, mama mjamzito anatakiwa kula mlo kamili, wa kutosha, na unaojumuisha makundi yote ya vyakula: protini, wanga, mboga, matunda, na maji.

Tunavyo Package ya Virutubisho Kwa ajili ya Mama Mjamzito
Tupigie 0750933014

Mungu ni Mwema Sana 🙏Nataka nikuhakikishie unayehangaika na Changamoto ya Uzazi Maombi Yako yatajibiwa👏Tupigie tukuhudum...
13/04/2026

Mungu ni Mwema Sana 🙏
Nataka nikuhakikishie unayehangaika na Changamoto ya Uzazi Maombi Yako yatajibiwa👏
Tupigie tukuhudumie 0750933014

JINSI YA KUJIKINGA NA PID.PID maana yake ni maambukizi ya magonjwa katika via vya uzazi. ni maambuki yanayoathiri viungo...
13/04/2026

JINSI YA KUJIKINGA NA PID.

PID maana yake ni maambukizi ya magonjwa katika via vya uzazi. ni maambuki yanayoathiri viungo vya uzazi vya mwanamke. PID hakika hutokana na mchanganyiko mbalimbali wa magonjwa ya zinaa yasiyotibiwa vizuri mpaka yaishe kabisa. Ugonjwa huu unapokaa muda mrefu bila kutibiwa humfanya mwanamke kupatwa na ugumba.

Dalili za PID.
1. Maumivu ya tumbo chini ya kitovu.
2. Kutokwa na uchafu ukeni, hasa wenye rangi ya njano unaoelekea kuwa kijani kwa mbali ukiwa na harufu mbaya.
3. Kuhisi Maumivu ama hali ya kuungua wakati wa kukojoa.
4. Homa na uchovu.
5. Kuhisi kichefuchefu na kutapika.
6. Kuhisi Maumivu wakati wa tendo la ndoa ama kutokwa na damu wakati wa tendo la ndoa.
7. Kupata hedhi katikati ya hedhi, yaani waweza kupata hedhi mara 2 ndani ya mwezi 1.

USHAURI
1. Ni vema mwanamke ahakikishe anatibu magonjwa ya zinaa mpaka apone ili kuepuka kupata tatizo hili.
2. Ni vema mwanamke aonapo dalili za ugonjwa huu awahi kupata tiba kwani asipotibu mapema anaweza kupoteza uwezo wake wa kushika ujauzito.
3. Ni vema kuwa na mwenzi mmoja mwaminifu na kutumia kinga ili kuepuka maambukizi hatarishi

Comment PID au njoo DM unaweza kubonyeza link Apo juu kwenye bio itakuleta Whatsapp

K**a una PID ISIYOPONA kila siku
Nipigie au watsap 0750933014

OMEGA 3 SALMON – Linda Moyo Wako Leo Unajisikia uchovu mara kwa mara?Una matatizo ya presha au unataka kulinda moyo wako...
12/04/2026

OMEGA 3 SALMON – Linda Moyo Wako Leo
Unajisikia uchovu mara kwa mara?
Una matatizo ya presha au unataka kulinda moyo wako mapema? 🤔
👉 Suluhisho lipo hapa…
Omega 3 Salmon ni kirutubisho muhimu kinachosaidia:
✔️ Kulinda afya ya moyo ❤️
✔️ Kupunguza mafuta mabaya mwilini
✔️ Kuboresha kumbukumbu na akili 🧠
✔️ Kupunguza uchovu na kuongeza nguvu ⚡
💡 Mwili wako hauzalishi Omega 3… unahitaji kuipata kutoka nje!
Usisubiri mpaka matatizo yaanze… anza kujilinda mapema 💪
💰 Bei:
👉 60,000/=
👉 120,000/= (offer kubwa zaidi)
📞 0750933014
📩 Niandikie sasa uanze safari ya afya bora

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00

Telephone

+255788138816

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tuongee Afya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share