25/08/2024
TEZI DUME INATIBIKA BILA KUFANYIWA UPASUAJI
𝗗𝗔𝗟𝗜𝗟𝗜 𝗭𝗔 𝗞𝗨𝗩𝗜𝗠𝗕𝗔 𝗞𝗪𝗔 𝗧𝗘𝗭𝗜 𝗗𝗨𝗠𝗘 👇
🍀 Kukojoa Mara kwa mara.
🍀 Kubakiza mkojo kwenye kibofu.
🍀 Kukojoa sana hasa Nyakati za usiku.
🍀 Maumivu wakati wa kukojoa na mkojo usioenda mbali.
🍀 Kupungukiwa nguvu za kiume.
🍀 UTI ya Mara kwa mara.
🍀 Mawe kwenye kibofu kutokana na Mrundikaniko wa Mkojo.
🍀 Figo kujaa maji.
🍀 Kupoteza fahamu.
🍀 Maumivu ya Mara kwa mara ya kiuno kwa nyuma ya mgongo na mapaja.
🍀 Uume kushindwa kusimama vizuri.
🍀 Kuwa na wakati mgumu wakati wa kukojoa na kuzuia mkojo.
𝗔𝗧𝗛𝗔𝗥𝗜 𝗭𝗔 𝗧𝗘𝗭𝗜 𝗗𝗨𝗠𝗘 𝗞𝗔𝗠𝗔 𝗛𝗔𝗜𝗧𝗔𝗪𝗔𝗛𝗜 𝗞𝗨𝗧𝗜𝗕𝗜𝗪𝗔 👇
✍️ Kushindwa kabisa kukojoa.
✍️ Kupatwa na maambukizi ya UTI.
✍️ Kupatwa na vijiwe kwenye kibofu.
✍️ Uharibifu wa kibofu unaweza kutokea.
✍️ Figo inaweza kuharibika.
✍️ Saratani ya Tezi Dume (Prostate Cancer)
✍️ Kifo 😥
𝗞𝗪𝗔 𝗧𝗜𝗕𝗔 𝗡𝗔 𝗨𝗦𝗛𝗔𝗨𝗥𝗜 𝗭𝗔𝗜𝗗𝗜
Tembelea Ofisi Zetu Zilizopo Nchi Nzima au Tupigie Sasa Kupitia
Wasiliana nami kwa namba 0763383250
By Dr.Asha Mvogogo