08/06/2026
*UZAZI KWA MWANAMKE UTEGEMEA VIUNGO VIKUU VITANO*
*Ili mwanamke aweze kubeba ujauzito kiurahisi ni lazima hivi viungo vikuu Vitano vya Uzazi viwe vinafanya kazi Vizuri ikiwa kuna kiungo kimoja au viwili havifanyi kazi basi uwezekano wa kubeba ujauzito unapungua na hata ukibeba ujauzito unaweza Kuharibika*😞😞😞
*1: UKE ki kawaida mwanamke harusiwi kupata miwasho wala kutoka uchafu mweupe au wa njano ukeni ikiwa unapata au kutoka uchafu mweupe au wa njano basi uwezekano wa kubeba ujauzito unapungua*
*2: SHINGO YA KIZAZI k**a ukishiriki tendo la ndoa Damu inatoka au unapata maumivu makali basi shingo ya kizazi ina shida*
*3: TUMBO LA UZAZI K**a kila ukiingia period unapata maumivu yoyote ya Tumbo, mgongo, kiuno, nyonga basi kuna shida kikawaida period siyo ugonjwa so huruhusiwi kupata maumivu yoyote wala dalili zozote wakati wa period*
*4:MIRIJA YA FOLLOPIO ili ujue mirija yako imeziba au laah ni lazima ufanye Vipimo na kipimo*
*Hiki huitwa kwa kitaalamu Hysterosalpingography* *(HSG)*
*5: O***Y Kazi kubwa ya o***y ni kuzalisha mayai k**a unapata period kila mwezi na period inaenda siku Tano Basi o***y zako zinafanya kazi vizuri*
*Ikiwa viungo hivi vyote kwa pamoja vinafanya kazi Vizuri Basi utabeba ujauzito kiurahisi ikiwa kuna shida kwenye viungo hivi basi uwezekano wa kubeba ujauzito unapungua*
*Je kwa upande wako unahisi ninini kinakuchelewesha kubeba ujauzito*???
*Tupigie Leo Tutakusaidia uweze kubeba ujauzito mwaka huu Bonyeza hapo Dr Sebastian 0763199190*
SEBA Herbal clinic