04/04/2025
DAWA YA KUTIBU CHANZO CHA KISUKARI
KISUKARI NI NINI?
Kisukari hutokea wakati mwili unaposhindwa kudhibiti sukari inayolundikana hadi kufikia viwango hatari katika damu.
Kupona kisukari ni lazima kujua kwamba hutakiwi kutibu tatizo bali unatakiwa kutibu chanzo ambacho ni kufufua kongosho irudi kwenye hali yake ya kawaida ya kuzalisha homoni au vichochezi vya insulin na glucagone, pia kuondoa chanzo kilicho sababisha kongosho kufa.
Hivi ulishawahi jiuliza mbona wazungu wanakula chocolate 🍫 zenye sukari, keki k**a breakfast, juice na vitu kibao vitamu, lakini sukari kwao ni tatizo? Jibu ni Hapana.
Visababishi vya kisukari ni k**a
1 Mafuta mengi kwenye mishipa: kuna watu ni wembemba lakini wana cholestral nyingi. Sisi tunatibu kwa kuondoa haya mafuta na kukuacha huru dhidi ya kisukari
2 Kumwagika nyongo nyingi tumboni acid reflux hii huwatatiza wengi anapopata dalili za acid reflux kuna elimu kubwa sana hapa https://wa.me/message/5SZPJ23FD44SM1 kwa elimu zaidi
3 Msongo wa mawazo k**a chanzo cha acid reflux kupelekea kuua kongosho. Tutakupatia dawa ambayo itaamsha tena kongosho yako.
4 Unene ulopitilia husababisha mishipa kusinyaa pia misuli kuwa na utunzaji mkubwa wa sukari na badae kupelekea mkanganyiko wa uchakataji wa sukari. Tutakupatia product ambayo itapunguza unene wako na kukuacha huru
5 Matatizo ya moyo, presha, ini na figo ni hatari sana na hupelekea kupata kisukari kwa asilimia kubwa pia. Tutapima na kuangalia k**a kati ya hayo una lipi? Tuna vifaa vya kisasa vya kuona mwili mzima.
6 Ulaji mbaya hapa wengi tunapoteana ambapo ukila vibaya utasababisha wanga na mafuta mengi kujilundika, pia kukosekana kwa virutubisho na madini yanayojenga na kulinda kongosho, kuharibu mmeng'enyo wa chakula. Nitakupatia vyakula sahihi vya kula dawa ya kurekebisha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula.
"Kwa kawaida hutokea kwa dalili kali. Aina ya kisukari cha 2 kawaida hutokea kwa watu wazima wenye umri wa zaidi ya miaka 40, kuhusiana na uzito mkubwa na ukubwa wa tumbo uliopimwa sentimita 80 kwa wanawake na sentimita 90 kwa wanaume.
Sukari wakati mwingine huhusishwa na shinikizo la damu na ini lenye mafuta
UKIJA KATIKA HOSPITAL YETU TUTAPIMA NA KUJUA KIASI CHA MAFUTA NA HALI YA INI KATIKA MWILI WAKO. TUTAKUPIMA KWA ELFU 30 TU. TUNAFANYA HUDUMA YA KUONDOA MAFUTA HAYO KWA TIBA LISHE NA KUKUACHA HURU.
NINI HUSABABISHA KISUKARI NAMBA 2?
Utafiti unaonyesha kuwa chanzo kikuu ni mafuta_mafuta kwenye chakula na mafuta mwilini.
Ndio maana sisi tunataka tukusaidie kuondoa chanzo cha kisukari ili upone mwezi mmoja tu.
NIFANYE NINI KUKIMBIA KISUKARI?
♡Unaweza kurekebisha kiwango cha sukari kwa kwa kufuata mlo rahisi wenye kiwango kidogo cha mafuta na kiwango kikubwa cha nyuzinyuzi pamoja na mazoezi kila siku.
♡Kula vyakula vya mimea visivyokobolewa (vyenye nyuzinyuzi nyingi).
♡Rekebisha uzito wa mwili
♤Dawa nitakayokupatia ni ile itakayoondoa chanzo cha sukari na kukuacha ukiwa huru kabisa
JE UNAMFAHAMU MTU YEYOTE ANAYEPAMBANA NA SUKARI BILA MAFANIKIO? MWAMBIE ANITAFUTE HARAKA KUPITIA NAMBA YA SIMU 0750352054 TUTAMFANYIA VIPIMO NA KUMPA DAWA SAMBAMBA NA KUMSIMAMIA APONE. DAWA ZETU NI TIBA LISHE KUTOKA CHINA. MUNGU KWANZA NA UPONYAJI HUANZA NA YEYE, HIVYO HATA UKIPEWA DAWA MUWEKE MUNGU WA KWANZA KABLA HATA YA MIMI DAKTARI WAKO. HAKIKA UTAPONA