Afya Imara Hub

Afya Imara Hub Afya ya uzazi ya mwanaume
Mfumo wa mmeng'enyo wa chakula.

PROGRAM ITAKUWA NA MASOMO YAFUATAYO.PROGRAMME YA LISHE BORA – Tsh 10,0001)Utangulizi wa Lishe Bora2)Makundi Sita ya Viru...
06/06/2026

PROGRAM ITAKUWA NA MASOMO YAFUATAYO.

PROGRAMME YA LISHE BORA – Tsh 10,000

1)Utangulizi wa Lishe Bora

2)Makundi Sita ya Virutubisho Muhimu

3)Kazi za Virutubisho Mwilini

4)Uhusiano wa Lishe na Magonjwa Sugu

5)Hatari za Vyakula Vilivyosindikwa Sana

6)Jinsi ya Kusoma Nutrition Labels

7)Jinsi ya Kutengeneza Sahani Bora ya Chakula

8)Umuhimu wa Matunda na Mboga mboga

9)BMI (Body Mass Index) na Tathmini ya Uzito wa Mwili

10)Lishe na Udhibiti wa Uzito

11)Lishe kwa Kinga Imara ya Mwili

12)Maji na Umuhimu Wake kwa Afya

14)Jinsi ya Kubadili Tabia za Ulaji
kwa Mafanikio ya Muda Mrefu

15)Kuandaa Mpango Binafsi wa
Lishe Bora.

Kula smart ,ishi smart
maisha hayana spea jalia afya yako kwanza.

>>>>>UJUMBE MUHIMU KWA WANAUME WOTE WENYE UMRI WA MIAKA 30 NA KUENDELEA!  *UVIMBE WA TEZI DUME ,SARATANI YA TEZI DUME TA...
06/06/2026

>>>>>UJUMBE MUHIMU KWA WANAUME WOTE WENYE UMRI WA MIAKA 30 NA KUENDELEA!

*UVIMBE WA TEZI DUME ,SARATANI YA TEZI DUME TATIZO LINALOWATESA WANAUME WENGI KIMYA KIMYA!*

🪵Unapata shida kukojoa?

🪵 Unajikuta ukiamka mara kwa mara usiku kwenda haja ndogo?

🪵 Mkojo unatoka kwa shida au kwa nguvu ndogo?
🪵 Unahisi maumivu chini ya tumbo au mgongoni?

🪵Umeanza kupungua nguvu za kiume?

🪵 Maumivu ya nyonga

🪵Kukojoa damu

*⚠️ UKIONA DALILI HIZI, USIPUUZE!*

Uvimbe wa tezi dume,Saratani ya tezi Dume no ugonjwa hatari unaoathiri wanaume wengi, hasa walio na umri wa miaka 30 na kuendelea. Ikiwa hautadhibitiwa mapema, unaweza kusababisha matatizo makubwa k**a

`📌kukosa kabisa uwezo wa kukojoa

📌,kupata maumivu makali wakati wa kukojoa

📌Kupata maumivu makali wakati wa kumaliza tendo la ndoa

📌Kupata,madhara kwenye Figo

📌Kupata madhara kwenye kibofu cha mkojo.

HABARI NJEMA! NJIA HII IMEPITISHWA✓ 🎯

✅ Njia za asili na salama kudhibiti tezi dume.

✅ Lishe bora inayosaidia kupunguza uvimbe wa tezi dume.

✅ Mbinu za kuboresha mfumo wa mkojo na nguvu za kiume

Usisubiri hali iwe mbaya! Chukua hatua leo kwa afya yako na furaha ya familia yako!

📞 Piga simu sasa au WhatsApp kwa+255 742 288 298 ili upate suluhisho la kudumu!

*🚀 MAISHA HAYANA SPEA JALI AFYA YAKO KWANZA 🚀*

21/05/2026
Kula smart ,ishi smart
19/05/2026

Kula smart ,ishi smart

19/05/2026

Afya inaanza kwenye sahani yako

Tuendelee kujali afya zetu kwa kula lishe bora (mlo kamili)
11/05/2026

Tuendelee kujali afya zetu kwa kula lishe bora (mlo kamili)

🥗🌿 JIUNGE NA GROUP LETU LA LISHE BORA! 🌿🥗Jilinde na magonjwa kabla hayajakushika!Kinga ni bora kuliko tiba.📌 Unataka kui...
11/04/2026

🥗🌿 JIUNGE NA GROUP LETU LA LISHE BORA! 🌿🥗
Jilinde na magonjwa kabla hayajakushika!
Kinga ni bora kuliko tiba.
📌 Unataka kuishi maisha yenye afya?
📌 Unataka kupunguza uzito bila kujitesa?
📌 Unataka kuongeza nguvu na kinga ya mwili?
📌 Unataka kujifunza kula vizuri kwa gharama nafuu?
🔥 Karibu kwenye GROUP maalum la Lishe Bora!
Tutakupa elimu ya chakula sahihi itakayokusaidia:
✅ Kuimarisha kinga ya mwili
✅ Kuzuia magonjwa k**a Kisukari, Presha, Uvimbe wa Tezi Dume, Cholesterol
✅ Kupunguza unene na mafuta tumboni
✅ Kuboresha mfumo wa mmeng’enyo wa chakula
✅ Kuongeza nguvu na afya ya mwili kwa ujumla
🥦🍎 Kila siku utapata:
📍 Ratiba za lishe
📍 Vyakula vya kuongeza kinga
📍 Ushauri wa kitaalamu
📍 Tips za afya na maisha bora
💬 Jiunge sasa, nafasi ni chache!
📲 Wasiliana nasi kupitia WhatsApp:
📞 0742288298
✨ Afya ni Mtaji — Anza Leo! ✨

Pata program itakoyokusaidia kuacha punyeto(kujichua) ili kuepukanana madhara yake Tuma neno nahitaji kupitia namba 0742...
30/03/2026

Pata program itakoyokusaidia kuacha punyeto(kujichua) ili kuepukanana madhara yake
Tuma neno nahitaji kupitia namba 0742 288 298
Kupata mwongozo kwa bei ya offer

17/03/2026

Hizi ni baadhi ya dalili za kukua kwa tezidume

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya Imara Hub posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share