17/04/2025
SABABU ZA UGONJWA WA NGIRI (HERNIA) NA SULUHISHO LA HARAKA
✍🏻Ngiri au Hernia ni aina ya ugonjwa ambao unampata mtu baada ya misuli au kuta za tishu mwilini zinazoshikilia au kubeba viungo fulani mwilini kupoteza uimara wake au kuwa na uwazi na hivyo kusababisha viungo hivyo kutoshikiliwa ipasavyo katika sehemu vinapostahili kuwepo.
✍🏻Katika mwili wa binadamu, maeneo ambayo tatizo hili hutokea mara kwa mara ni maeneo ya tumboni, katika eneo la kinena, eneo la paja kwa juu na pia ngiri inaweza kutokea katika eneo ambalo mtu alifanyiwa upasuaji. Ugonjwa huu wa ngiri unawapata wanaume na wanawake wa rika zote.
✍🏻Mshipa wa ngili ni jina linalokusanya magonjwa k**a Ngiri kavu (Hernia), Ngiri maji (Hydrocele) na Ngiri nyinginezo k**a vile kuvimba kokwa au mfereji unaopitisha manii unaojulikana kitaalamu k**a Epididmorchitis.
Ngiri Kavu (Hernia)
✍🏻Ni aina hii ya ngiri huwapata wanawake na wanaume wote kwa ujumla. Ngiri kavu inapompata Mwanamke huitwa Fermoral Hernia, na pindi inapompata mwanaume inaitwa Scrotal hernia.
✍🏻Kwa maana halisi ya ngiri au mshipa wa ngiri ni hali inayotokea katika mwili wa binadamu ambapo sehemu fulani ya nyama ya viungo mbalimbali vya mwili hujipenyeza kupitia sehemu dhaifu ya mwili na kutokeza upande wa pili. Sehemu hiyo inayoathiriwa mara nyingi huwa ni maeneo ya tumbo, kokwa, pumbu na kadhalika ambapo baadhi ya viungo vya mwili vilivyomo tumboni hujipenyeza kupitia vitundu vinavopitisha mishipa ya fahamu inayohudumia kokwa (Spesmatic Cord), hivyo baada ya kujipenyeza huteremka hadi ndani ya korodani hali ambayo hukamilisha kuwepo kwa ugonjwa wa mshipa wa ngiri.
✍🏻Pamoja na hivyo mshipa wa ngili hujitokeza sehemu mbalimbali za mwili na hupewa majina tofauti kutokana na sehemu ulipojitokeza, kwa mfano;
➡️Ngiri ya tumbo inajulikana kitaalamu k**a Abdominal Hernia
➡️Watoto wanaozaliwa na vitovu vikubwa inaitwa Umbilical Hernia,
➡️Ngiri inapojitokeza katika sehemu ya haja kubwa inaitwa A**l Herni.
✍🏻Dalili zake hazitofautiani sana hata hivyo ngiri hujitokeza bila maumivu yoyote isipokuwa kuna baadhi ya ngili hujitokeza na maumivu makali hutegemea ngiri ilivotokeza.
✍🏻Miongoni mwa vitu vinavyoweza kumsababisha mtu apate ugonjwa wa ngiri ni pamoja na kuwa na:
➡️Uzito mkubwa wa mwili wa kupitiliza au kuongezeka uzito kwa ghafla,
➡️Kua na kazi ya kubeba au kunyanyua vitu vizito,
➡️Tatizo la kukohoa au kupiga chafya kwa muda mrefu,
➡️Ujauzito au matatizo yanayojitokeza kwa mwanamke wakati wa kujifungua.
Mojawapo Ya Dalili Za Ugojwa Wa Ngiri Ni Pamoja Na;
➡️Uvimbe unaoteremka kuingia ndani ya korodani unaojulikana kitaalamu k**a (Direct Scoratal inguinal Hernia).
➡️Uvimbe unaojitokeza tumboni na kuteremka hadi ndani ya korodani, uvimbe huu hauumi na unaweza kurudishwa kwa urahisi iwapo mgonjwa atalala chali na kusukuma kwa vidole, uvimbe huu.
➡️Na pindi ukikubali kurudi ndani ndipo unapoitwa Reduible direct scrotal inguinal hernia.
➡️Na pia endapo utashindikana kurudi tumboni ndipo unapoitwa "Irreduible direct scrotal inguinal hernia".
Ugonjwa Wa Ngiri Ya Kitovu (Umbilical Hernia)
✍🏻Hili ni tatizo la kiafya ambalo huathiri ukuta wa tumbo na kitovu. Tatizo hili husababishwa na mambo makubwa matatu; kwanza ni kasoro ya kuzaliwa.
✍🏻Hapa ni kwamba kitovu kinakuwa na kasoro tangu pale mtoto anapokuwa tumboni kabla hajazaliwa.
✍🏻Tatizo hili kwa watu wazima lipo mara tatu zaidi kwa wanawake ukilinganisha na wanaume ambapo lipo kwa kiasi kidogo sana. Kwa watoto kiwango cha tatizo hili vinalingana kwa wote wa k**e na wa kiume na tafiti zinaonesha kwamba, tatizo ni kubwa kwa watoto wa Kiafrika ukilinganisha na mataifa mengine.
✍🏻Aina ya tatu ya ngiri ya kitovu inaitwa ‘Paraumbilical hernia’. Aina hii ya ngiri hutokea zaidi kwa watu wazima na husababishwa na kasoro upande wa juu wa kitovu kuelekea kwa juu kufuata mstari wa kati wa tumbo.
DALILI ZA UGONJWA
➡️Ngiri hutokea katika eneo la kitovu ambacho kwa lugha nyingine huitwa ‘Umbilicus’, ‘navel’ au ‘Belly button’. Kwa watoto wachanga wanapozaliwa kitovu huwa kirefu sana na huungana na kondo la nyuma la mama ili kupeleka lishe na hewa ya oksijeni kwa mtoto anapokuwa tumboni.
➡️Baada tu ya kuzaliwa, mtoto hujitegemea hivyo kitovu hukatwa katika eneo maalum ili kipungue urefu. Baada tu ya kitovu cha mtoto kupona, mtoto anaweza kupatwa na tatizo hili la ngiri ya kitovu tangu anapokuwa mtoto mchanga ambapo akilia kitovu kinatokeza
*MATIBABU*
✍🏻Matibabu ya ngiri siyo kupasuliwa, ni kutumia Dawa ambazo hutoa visababishi au kiini cha tatiz o hilo ambazo dawa hizo ni supliment za kampun ya BFSUMA,zimekuwa na matokeo mazuri sana kwenye kutibu *NGIRI,TEZI DUME,CHANGAMOTO ZA UZAZI KWA WANAWAKE NA WANAUME,NGUVU ZA KIUME N.K*
PIGA KWA NAMBARI HAPO CHINI NI DR.MSHERI.Dactari bingwa wa changamoto za ngiri na Tezi dume
⚠️Kwa taarifa zaidi, Piga 0749860798 whatsap