07/03/2025
KAMPUNI ya Eternal international inapenda kuwatangazia watanzania wote wanaume na wanawake nafasi zakazi.
Kampuni hii imetoa nafasi za kazi 50,Ili watanzania waweze kujikwamua kiuchumi
Sifa za muombaji
-Awe na miaka 18 Hadi 45
-Awe MTANZANIA
-Awe mkazi wa dar es salaam
-Awe anajua kiswahili fasaha
-Awe anajua kusoma na kuandikia
-Awe na simu kubwa(smartphone)
-Awe na namba yanida
Tupo kigogo round about,kwa maelezo zaidi tupigie namba/what's up namba 0759894242.