05/06/2025
Leila ni mmoja wa wanawake wengi ambao tumewasaidia kupata ujauzito ndani ya siku 60 Tu.
Ilikuwa hivi: Leila aliona tangazo letu mtandaoni lililokuwa na kichwa cha habari "JINSI UNAVOWEZA KUPATA UJAUZITO NDANI YA SIKU 90", kisha akachukua namba na kutupigia siku kupata maelezo ya huduma zetu..
Baada ya kupiga simu Leila alinieleza changamoto yake ambayo ilikuwa ni kutokupata mtoto kwa miaka 13 nami nilimuuliza maswali kadhaa kujua changamoto yake. Katika mazungumzo yetu Leila alikuwa anapata dalili zifuatazo;
●Kubadilika badilika kwa mzunguko wa hedhi.
●Kupata maumivu wakati wa hedhi
●Kupata ukavu na maumivu wakati wa tendo la ndoa.
●Alikuwa anapata dalili za kuwa k**a mjamzito huku hana ujauzito.
●Alikuwa anapata hedhi ya mabonge
●Alikuwa hapati ute wa uzazi kwenye siku zake za hatari.
●Alikuwa na historia ya kutumia njia za kisasa za uzazi wa mpango.
●Alikuwa hapati hamu ya kushiriki tendo la ndoa kabisa,pia alikua anatokwa na uchafu ukeni
Baada ya mazungumzo na dalili hizo niligundua kuwa na changamoto ya mvurugiko wa homoni pamoja na mashambulizi ya bakteria kwenye via vya uzazi (P.I.D).
Ndipo nilipomshauri dozi ya kutumia ndani ya siku 40(mwezi mmoja na siku 10) ili aweze kubeba ujauzito. Baada ya siku 34 za dozi Leila alinitumia kipimo cha mimba kikionesha tayari amekwisha beba mimba huku akiwa amejawa na furaha kubwa sana kwani alikuwa haamini k**a baada ya miaka 13 angeweza tena kubeba mimba lakini pia hakuwa na imani na sisi kwa maana aliamini ni matapeli tu wa mtandaoni
Kitu kimoja zaidi,Leila tulimpa usimamizi wa kumshauri vyakula gani vyakula wakati anatumia dozi ili kupata ujauzito kwa haraka, pia tulikuwa tukimpigia simu kila wiki ili kujua maendeleo yake na namna ya kupata ujauzito kwa urahisi wakati yupo kwenye dozi na nilimuadi kwenye group la wanaotumia dozi ili kuendelea na usimamizi kuhusu mabadiliko alikua anapata wakati wa matibabu
Sasa nimeleta hapa ushuhuda wake kwani naamini kuna watu mnapata changamoto k**a ambayo Leila alikuwa