Benie nutrition

Benie nutrition Tunasaidia kutoa ushauri na tiba kwa wanawake na wanaume juu ya changamoto za afya ya uzazi pamoja na magonjwa yote yasiyoambukiza.

Tunatibu Mungu anatenda
24/05/2026

Tunatibu Mungu anatenda

Tendo la ndoa ni tiba
22/05/2026

Tendo la ndoa ni tiba

08/03/2026

Strong women, strong world
Nutrition

Kudos to all women in the world
08/03/2026

Kudos to all women in the world

Happy women's day
08/03/2026

Happy women's day

Maambukizi ya fangasi yanaepukika na hata k**a fangasi zinakusumbua sio kweli kwamba haziponi zinapona zikipata dawa yen...
18/02/2026

Maambukizi ya fangasi yanaepukika na hata k**a fangasi zinakusumbua sio kweli kwamba haziponi zinapona zikipata dawa yenye nguvu na kuzingatia usafi

Nutrition

Leila ni mmoja wa wanawake wengi ambao tumewasaidia kupata ujauzito ndani ya siku 60 Tu.Ilikuwa hivi: Leila aliona tanga...
05/06/2025

Leila ni mmoja wa wanawake wengi ambao tumewasaidia kupata ujauzito ndani ya siku 60 Tu.

Ilikuwa hivi: Leila aliona tangazo letu mtandaoni lililokuwa na kichwa cha habari "JINSI UNAVOWEZA KUPATA UJAUZITO NDANI YA SIKU 90", kisha akachukua namba na kutupigia siku kupata maelezo ya huduma zetu..

Baada ya kupiga simu Leila alinieleza changamoto yake ambayo ilikuwa ni kutokupata mtoto kwa miaka 13 nami nilimuuliza maswali kadhaa kujua changamoto yake. Katika mazungumzo yetu Leila alikuwa anapata dalili zifuatazo;

●Kubadilika badilika kwa mzunguko wa hedhi.
●Kupata maumivu wakati wa hedhi
●Kupata ukavu na maumivu wakati wa tendo la ndoa.
●Alikuwa anapata dalili za kuwa k**a mjamzito huku hana ujauzito.
●Alikuwa anapata hedhi ya mabonge
●Alikuwa hapati ute wa uzazi kwenye siku zake za hatari.
●Alikuwa na historia ya kutumia njia za kisasa za uzazi wa mpango.
●Alikuwa hapati hamu ya kushiriki tendo la ndoa kabisa,pia alikua anatokwa na uchafu ukeni

Baada ya mazungumzo na dalili hizo niligundua kuwa na changamoto ya mvurugiko wa homoni pamoja na mashambulizi ya bakteria kwenye via vya uzazi (P.I.D).

Ndipo nilipomshauri dozi ya kutumia ndani ya siku 40(mwezi mmoja na siku 10) ili aweze kubeba ujauzito. Baada ya siku 34 za dozi Leila alinitumia kipimo cha mimba kikionesha tayari amekwisha beba mimba huku akiwa amejawa na furaha kubwa sana kwani alikuwa haamini k**a baada ya miaka 13 angeweza tena kubeba mimba lakini pia hakuwa na imani na sisi kwa maana aliamini ni matapeli tu wa mtandaoni

Kitu kimoja zaidi,Leila tulimpa usimamizi wa kumshauri vyakula gani vyakula wakati anatumia dozi ili kupata ujauzito kwa haraka, pia tulikuwa tukimpigia simu kila wiki ili kujua maendeleo yake na namna ya kupata ujauzito kwa urahisi wakati yupo kwenye dozi na nilimuadi kwenye group la wanaotumia dozi ili kuendelea na usimamizi kuhusu mabadiliko alikua anapata wakati wa matibabu

Sasa nimeleta hapa ushuhuda wake kwani naamini kuna watu mnapata changamoto k**a ambayo Leila alikuwa

05/06/2025

Vile ni namna mbegu za kiume zikashindana kufika kwenye mirija ya uzazi ili kurutubisha yai/mayai k**a unavyoona kwa clip hapo ila ikiwa mayai hayapevuki hizi mbegu hazina uwezo wa kupasua yai na kuingia ndani ya kiini cha yai hivyo hata wana ndoa washiriki vipi tendo la ndoa kwenye siku za hatari k**a mayai hayapevuki hakuna fertilization itatokea muda wa mbegu kuishi utaisha na zitakufa na moja ya dalili kuonyesha mayai yanapevuka ni kuona ute wa uzazi maana unatoka kwenye yai je wewe unapata ute wa uzazi unapokua kwenye siku za hatari?

Jifunze nasi Benie nutrition

Habari njema nizipendazo hizi,furaha yetu ni kuona kila mwenye uhitaji wa mimba anafanikiwa baada ya kutumia huduma zetu...
27/05/2025

Habari njema nizipendazo hizi,furaha yetu ni kuona kila mwenye uhitaji wa mimba anafanikiwa baada ya kutumia huduma zetu

Benie nutrition

With NURU FM  Iringa  88.9 – I just got recognized as one of their top fans!
22/05/2025

With NURU FM Iringa 88.9 – I just got recognized as one of their top fans!

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Benie nutrition posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share