Gcat Health care

Gcat Health care Tunatoa huduma ya vipimo na matibabu

11/05/2026

NJIA SALAMA YA KUTIBU UZAZI KWA MWANAUME NA MWANAMKE
Wanaume wengi wanashindwa kutungisha mimba na wanawake Kutoshika Mimba kutokana na changamoto mbalimbali. Swala la uzazi sio la upande mmoja tu wa mwanamke pia wanaume wengi hawana uwezo wa kutungisha mimba. ✍🏻✍🏻
Tumewasaidia wanaume na wanawake wengi sana kutibu tatizo la ugumba na wamepata watoto. Na wengi wao walikuwa na changamoto k**a hizi👇
✅Kuwa na mbegu chache
✅Kuwa na uvimbe kwenye kizazi au kwenye mayai
✅Mbegu kuwa na uwezo mdogo wa kuogelea.
✅ Mvurugiko wa homoni/ Homone imbalance
✅ Kutokurudia tendo la ndoa
✅ Mirija ya uzazi kuziba
✅ Upunguvu wa nguvu za kiume
✅Kukosa hamu ya tendo la ndoa
✅Dhakari kusimama kwa ulegevu.
✅ Kukosa hedhi/Period
✅ Saratani ya shingo ya kizazi
✅Kuhisi maumivu wakati wa tendo.
✅ Kukosa hisia
✅ Changamoto ya tezi dume.
#.Nanyingine nyingi

Haijalishi changamoto yako wewe imekutesa kwa mda gani,GCAT HEALTH CARE CLINIC Kutoka China ipo kwa ajili ya kutatua changamoto yako.
⚫Tunatoa huduma ya vipimo vya mfumo mzima wa Mwanaume na Mwanamke kwa Tshs 30,000/= tu .
NB: Usitumie dawa yoyote bila kupata vipimo na Ushauri wa daktar.✖️
Je ni wewe unahitaji huduma kwa ofa hii ya vipimo?
K**a ni wewe basi piga simu kwa namba 0611541917Kwa maelekezo zaidi , Tunapatikana dar es salaam Majumba sita na mkoani pia.
Wasiliana nasi kwa namba 0611541917maana ninao mda wa kuongea na wewe ,piga simu sasa hivi.

  YA_KUSAMBAZA_TAARIFAWanahitajika watu watakao fanya kazi ya kusambaza taarifa za kampuni ya Gcat International Company...
27/04/2026

YA_KUSAMBAZA_TAARIFA
Wanahitajika watu watakao fanya kazi ya kusambaza taarifa za kampuni ya Gcat International Company Limited

Taarifa za huduma inayotolewa na kampuni kwa kutumia simu yako ya mkononi/ Smart phone.
NOTE:
* Nilazima uwe na simu kubwa/ Smart phone
* Uwe Dar es salaam tu
* Uwe na bidii ya kazi
* Elimu kuanzia kidato cha nne mpaka chuo

MALIPO
* Malipo yapo ya aina mbili (Malipo ya kila siku na kila mwisho wa mwezi) yote utapata.
* Kima cha chini kwa malipo ni (Kwa siku 20,000/= na kwa mwezi ni 350,000/=)

Wote mnakaribishwa, Ofisi ipo Majumba sita ya Airport (Ukonga)
Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba ☎️0611541917

05/01/2026

Chai hii ni maalum kwa ajili ya kusaidia afya kwa njia ya asili. Inafanya kazi zifuatazo:

1. *Husaidia mzunguko wa damu* – Hasa kwa watu wenye shinikizo la damu (presha) ya kupanda.
2. *Hulaza vizuri* – Inasaidia watu wenye changamoto ya kukosa usingizi au kuchoka mara kwa mara.
3. *Husafisha ini na figo* – Husaidia watu wenye matatizo ya ini, figo au sumu mwilini.
4. *Husaidia ganzi ya miguu au mikono* – Kwa wanaopata ganzi mara kwa mara.
5. *Hutibu mfumo wa mmeng’enyo wa chakula* – Kwa wenye gesi tumboni au choo kigumu (constipation).
6. *Husaidia kwa watu wanaotumia vilevi* – K**a pombe au wanaoishi kwenye mazingira yenye hewa chafu.
7. *Hufanya detoxification ya mwili* – Huviondoa sumu na kuimarisha afya kwa ujumla.
8. *Huongeza kinga ya mwili (Immunity)* – Inafaa hata kwa mtu asiye mgonjwa ili kujikinga.
9. *Inafaa kwa mtu aliyeathirika tayari kiafya* – Husaidia kurejesha mwili kwenye hali nzuri.
10:inapunguza uzito &kitambi
*Namna ya kutumia:*
P**i 1 asubuhi na p**i 1 jioni kwa siku 20 mfululizo.
Tumia na *maji ya uvuguvugu bila kuongeza chochote.*

Mawasiliano 0611541917
Au bonyeza link

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam
255

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Gcat Health care posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share