12/06/2026
Bawasiri ni uvimbe wa mishipa ya damu kwenye eneo la njia ya haja kubwa au ndani ya puru.
Dalili za bawasiri
Maumivu au kuwashwa sehemu ya haja kubwa
Kutokwa na damu nyekundu wakati wa kujisaidia
Kuvimba au kutokea kinyama karibu na njia ya haja kubwa
Kuhisi usumbufu au maumivu unapokaa
Kutokwa na kamasi au unyevunyevu eneo la haja kubwa
Vitu vinavyoweza kusababisha
Kufunga choo (constipation) na kujikamua sana
Kukaa muda mrefu chooni
Kutokula vyakula vyenye nyuzinyuzi za kutosha
Ujauzito
Unene uliopitiliza
Jinsi ya kujikinga
Kula matunda, mboga za majani na vyakula vyenye nyuzinyuzi nyingi
Kunywa maji ya kutosha
Fanya mazoezi mara kwa mara
Epuka kujikamua sana unapojisaidia
Kwa tiba piga au tuma ujumbe Whatsapp 0618987344
#🇱🇷🇹🇿🇳🇪🇨🇦🇷🇼🇿🇼🇧🇷🇧🇷🇨🇩🇩🇪🇰🇪🇷🇸🇿🇦🇦🇪🇳🇿🇺🇬🇲🇱🇮🇶🇦🇴