12/08/2026
Bawasili (bawasiri) ni kuvimba/kutanuka kwa mishipa ya damu kwenye eneo la haja kubwa.
Dalili zinazoweza kutokea
Kuwasha au kuungua sehemu ya haja kubwa
Maumivu, hasa wakati wa kujisaidia
Damu nyekundu kutoka baada ya choo
Uvimbe au kijivimbe karibu na njia ya haja kubwa
Choo kigumu au kusukuma sana wakati wa kujisaidia
Nini cha kufanya
Kunywa maji ya kutosha.
Kula vyakula vyenye nyuzinyuzi nyingi k**a matunda, mboga na nafaka zisizokobolewa.
Epuka kusukuma sana wakati wa kujisaidia.
Usikae muda mrefu chooni.
Kukaa kwenye maji ya uvuguvugu kwa dakika 10β15 kunaweza kupunguza maumivu na kuwasha.
Muhimu: Damu kwenye choo si lazima iwe bawasili
Kwa tiba piga au tuma ujumbe Whatsapp 0618987344
#π±π·πΉπΏπΉπΏπΉπΏπ¨π©π·πΌπΉπΏπ·πΌπ±π·π·πΌπ±π·πΊπ¬π¦π΄πΊπ¬πΏπ¦πΊπ¬πΏπ¦πΏπ¦π§π·π¨π¦π³πͺπ³πͺπ·πΈπ°πͺπ·πΌπ¨π¦π¦π΄π³πΏπ§π·π³πΏπ§π·π¨π©πΏπΌπ³πͺπ¦πͺπ·πΈπΊπ¬