Ngirima Herbal Medicine

Ngirima Herbal Medicine Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Ngirima Herbal Medicine, Medical and health, [email protected], Dar es Salaam.

HUU NI MFAGIO WA ASILI UNAMBAMBO MENGI NA UNAPATIKANA POPOTE LEO NAKULETEA FAIDA ZAKE KWENYE SWALA LA MAGONJWA NA MAISHA...
23/05/2026

HUU NI MFAGIO WA ASILI UNAMBAMBO MENGI NA UNAPATIKANA POPOTE LEO NAKULETEA FAIDA ZAKE KWENYE SWALA LA MAGONJWA NA MAISHA YETU KILA SIKU YA UTAFIUTAJI WA RIZIKI

mfagio wa asili unatibu tatizo la mifupa kuuma k**a unasumbuliwa na sikoseli ya mifupa inasagana au kuuma na mwili kuishiwa nguvu tumia mfagio wa asili utakuwa sawa kabisa

jinsi ya kuandaa dawa yako chuma mfagio wa asili pamoja na mizizi yake osha vizuri uchemshee
Kwa dakika 20- 30 kisha utatumia kunywa glasi moja asubuhi na glasi moja jioni kwa muda wa siku 7 hadi 14

K**a unasumbuliwa na matatizo nyoga kuumaa kiuno kuumaa miguu kuuma magoti kuuma au kutafuna mifupa kusagana na kukosa uroto wa magoti tumia mfagio wa asili utaleta mrejesho

Jinsi ya kuandaa dawa yako chuma mfagio wa asili pamoja na mizizi yake uwoshe vizuri kisha utachemsha kwa muda wa dakika 20-30 kisha utatumia ikiwa ya vuguvugu utakunywa glasi moja asubuhi glasi moja jioni kwa muda siku 7 hadi 14

FAIDA YA MFAGIO KWENYE UPANDE WA RIKIZI NA KUFUNGUA VIFUNG,OO

K**A unataka kujisafisha mwili wako kupata mvuto nyota yako kuwaka na upendwee na kila mtu na kufungua vifungo ulivyo fungwa basi leo nakuletea dawa hii yenye mvuto na nguvu za kuuwa uchawi kuondoa nuksi na husda za binadamu

Njisi ya kuandaa dawa yako chukuwa majani ya mfagio na mauwa yake osha vizuri
Chukuwa chumvi ya mawe
Chukuwa pemba au udong'o / wanao tuma wanawake kula

Matumizi chukuwa majani ya mfagio na mauwa yake changanya na chumvi ya mawe weka na ile pemba moja au mbili kisha utachemsha ukiona umesha chemka na kuwivaa utajifukiza asubhn kabla jua alijawakali kisha utajifukiza na jioni baada ya jua kuzama siku itayo fatia asubuh utajifukiza ukimaliza kujifukiza utaenda kuiogaa hiyo dawa hapo utakuwa umeuwa vidungo vyote vya kichawi

Afya yako ni mtaji wako asili uponya🌳🌳🌳🌳🌳🌳

Kwa ma maelezo na ushauri kwa changamoto za kiafya unaweza kupigaa simu
Number 0622050126

HII NI KWA WANAWAKE WANAO ITAJI KUWA NA SHEPU NA KALIO  NA UMETUMIA DAWA NYINGI BILA MATOKEO NAKUPA HII DAWA K**A ZAWADI...
08/05/2026

HII NI KWA WANAWAKE WANAO ITAJI KUWA NA SHEPU NA KALIO NA UMETUMIA DAWA NYINGI BILA MATOKEO NAKUPA HII DAWA K**A ZAWADI DAWA YAASILI ISIO KUWA NA MAZARA UKIITUMIA UTALETA MREJESHO

1 CHUKWA MAGADI SODA VIJIKO 3
2 AMILA VIJIKO. 2
3 BAMIA ZISIZO KOMAA. 3
4 MAFUTA YA MZAITUNI ROBO
5 MAFUTA YA VITAMINI E

KISHA USAGAA VYOTE KWENYE BRENDA NA KUPATA MCHANGANYIKO MZURI

UTAWEKA KWENYE BAKULI NA UTAIYACHA IKAE KWENYE HEWA DAKIKA 30

BAADA YA DAKIKA 30 UTAJIPAKAA SEHEMU YA MAKALIO K**A UNAJIMASAJI
TUMIA NDANI YA WIKI TATU TUIMIA MUDA MZURI USIKU WAKATI WA KUKULALA PIA USISAHAU KUJIPAKA NA HIPSI ZAKO UKAJA KUWA KITUKO MAANA HIYO NI KIBOKO KWAWALE WANAO TAKA SHEPU NA KALIO πŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎ

KWA MAONGEZI NA USHAURI PIGA NUMBER 0622050126
AU WHATSAPP NUMBER 0622050126

Tumia wiki tatu utaleta mrejesho asili uponya🌲🌲🌲🌲

FAHAMU FAIDA LA TUNDA LA MUEGEA KWASISI WATU WA KIGOMA TUNALIITA MLEMELA 1 k**a mtu asaumbuliwa na sikoseli unapungikiwa...
07/05/2026

FAHAMU FAIDA LA TUNDA LA MUEGEA KWASISI WATU WA KIGOMA TUNALIITA MLEMELA

1 k**a mtu asaumbuliwa na sikoseli unapungikiwa damu mara kwamara
chukuwa tunda la mugea mbichi ukatekate vipande kisha aunikee ndani likikauka uwe anachemsha nakunywa asubuhi na jioni kwa muda wa wiki mbili

2 mwanamke unasumbuliwa na matatizo ya uzazi hormone zako hazipo sawa tarehe za hedhi zina badilika badilika unapata maumivu ya chini ya kitofu unatoa damu yenye madonge upati hedhi tumia njia hii
Chukuwa tunda la muegea na mizizi yake ukatekate vyote kwa pamoja kisha uwanikie ndani ikikauka unaweza kutwanga ukapata unga wake kisha ukachukuwa vijiko viwili ukachemsha kwenye maji ya lita moja ukanywa glasi moja asubuhi na jioni kwa muda wa siku 7

3 mwanaume ukitumia tunda la muegea magome pamoja na mizizi ukikatakata vyate kwa pamoja na ukaanika ndani kisha vikikauka ukisaga na kupata unga wake

Usaidia matatizo yaha
1 k**a ni dhaifu chumbani unaenda Raunds 1 na kushindwa kurudia tendo
Chukuwa vijiko vitatu vya unga wa mugea uchemshe uwe unakunywa glasi moja asubuhi na jioni kwa muda wa wiki moja utakuwa shupavu kitandani

2 k**a umepiga punyeto kwa muda mrefu na umbile lako limesinyaa au umbile lako limesinyaa kwa changamoto zingne basi Chukuwa vijiko vitatu vya unga wa tunda la muegea
Chemsha uwe unakunywa asubuhi glasi moja na jioni kwa muda wa wiki moja tu

3 mwanaume k**a unakibamia au umbile lako limesinyaa na kuwa la mtoto basi chukuwa unga wa muegea changanya na mafuta ya halidali au mafuta ya ngomb,e au mafuta ya fisi kisha utakuwa unalimasaji mfano k**a unalichua kwa kulivutia mbele fanya hivyo asubuhi na jioni kwa muda wa siku 14 mpka wiki 3 utakuwa na mashine πŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎ

🌲🌲🌲🌲 afya yako ni mtaji wako tumia njia ya asili kwa matokeo bora

KWA MAONGEZI NA USHAURI NIPIGIE KWA NUMBER 0622050126

K**a unasumbuliwa na changamoto ya vidonda vya tumbo na umetumia kila aina ya dawa haujapata matokeo na suluhu ya changa...
26/04/2026

K**a unasumbuliwa na changamoto ya vidonda vya tumbo na umetumia kila aina ya dawa haujapata matokeo na suluhu ya changamoto yako basi tumia dawa ya asili yenye nguvu na salama kwa afya yako inayo maliza tatizo la vidonda vyatumbo kwa wiki tatu.. njia salama yenye matokeo zaidi %100

Agiza popote ulipo unaipata kwa uwaminifu mkubwa na kwaharaka zaidi
Yani ukiitaji unatumiwa ukishapokea dawa unalipia
TSH 45000 TU dozi kamili

Wahii sasa offer hii ni kwawatu 7 tu
Afya yako ni mtaji wako πŸ™πŸΎπŸ™πŸΎ

18/02/2026

Maliza changamoto yako ya kisukari ndani ya miezi mitatu kihuliko ni tiba kamili kwa afya yako tunapatikana dar es salaam mikoani tuna tuma kwa uwaminifu ndani ya masaa 24 unapokea piga 0622050126

18/02/2026
MALIZA TATIZO LAKO LA KISUKARI NDANI YA MIEZI MITATU KWAKUTUMIA DAWA  YENYE NGUVU NA SALAMA KWA AFYA YAKO NDANI YA MIEZI...
19/01/2026

MALIZA TATIZO LAKO LA KISUKARI NDANI YA MIEZI MITATU KWAKUTUMIA DAWA YENYE NGUVU NA SALAMA KWA AFYA YAKO NDANI YA MIEZI MITATU UMEPONA KABISA
KIHULIKO KIBOKO YA SUKARI

10/01/2026

tokomeza kisukari na dawa ya KIHULIKO

10/01/2026

tokomeza kisukari na KIHULIKO

10/01/2026

KIHULIKO dawa maalamu kwa igonjwa wa kisukari

Address

[email protected]
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ngirima Herbal Medicine posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share