afya na uremb

afya na uremb Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from afya na uremb, Cosmetics Store, sinza Madukani, Dar es Salaam.

Wanaume wengi wanapitia changamoto ya kupata vipele baada ya kushave ndevuIla wapo wale ambao wanapata baada ya kushave ...
27/04/2026

Wanaume wengi wanapitia changamoto ya kupata vipele baada ya kushave ndevu
Ila wapo wale ambao wanapata baada ya kushave sehem za siri au kwapani yako tumekuandalia package maalum ambayo utamaliza tatizo kabisa
Wasiliana nasi kwa 0692019998

Hili ni tatizo ambalo husumbua sana watu wengi na mara nyingi husababishwa na mchafuko wa damu Au matumizi ya vipodozi v...
27/04/2026

Hili ni tatizo ambalo husumbua sana watu wengi na mara nyingi husababishwa na mchafuko wa damu Au matumizi ya vipodozi vikali Kikubwa tunakupa suluhisho la kudumu
Wasiliana nasi kwa 0692019998

Ngozi kuvimba baada ya kula baadhi ya vyakulani dalili ya *mzio wa chakula (food allergy)* au *reaction ya chakula (food...
27/04/2026

Ngozi kuvimba baada ya kula baadhi ya vyakula
ni dalili ya *mzio wa chakula (food allergy)* au *reaction ya chakula (food intolerance)*. Hali hiinaweza kusababishwa na kinga ya mwili kushambulia kwa makosa baadhi ya protini katika chakula fulani.
#0692019998

Pumu ya ngozi ni ugonjwa wa ngozi unaofanya ngozi kuwasha, kuvimba na kuweka viupele vidogovidogo vyenye rangi nyekundu ...
27/04/2026

Pumu ya ngozi ni ugonjwa wa ngozi unaofanya ngozi kuwasha, kuvimba na kuweka viupele vidogovidogo vyenye rangi nyekundu sehemu mbalimbali za mwili na mara nyingi hutokea kwenye mikono, miguu, shingo, usoni na kwenye vifundo
vya viungo.

Ugonjwa huu hushambulia watoto na watu wazima japo upo zaidi
kwa watoto chini ya miaka mitano, kwa sababu kinga ya miili yao
nakua inapambana zaidi kuzoea chakula na mazingira k**a vile
sehemu yenye baridi sana, joto au vumbi...

Kwa ushauri zaidi na Tiba wasiliana nasi #0692019998

Katika Safari ya kupata suluhisho la ngozi watuwengi wameangukia kwenye kuharibika zaidi kwa kutaka matokeo ya harakaUna...
27/04/2026

Katika Safari ya kupata suluhisho la ngozi watu
wengi wameangukia kwenye kuharibika zaidi kwa kutaka matokeo ya haraka
Unakuta ndani ya mwezi mmoja umetumia vipodozi zaidi ya aina 3 badala ya kupona unazidisha tatizo
K**a una changamoto yoyote ya ngozi wasiliana nasi Leo upate
suluhisho
0692019998

Badoo napokea feedback kwa wateja wanguu❤️🔥🔥
25/04/2026

Badoo napokea feedback kwa wateja wanguu❤️🔥🔥

Kwachangamoto k**a hikwenye ngozi ya mtotowako nitafute nikupatie suluhisho lakudumuCall #0692019998
25/04/2026

Kwachangamoto k**a hikwenye ngozi ya mtoto
wako nitafute nikupatie suluhisho lakudumu
Call
#0692019998

Naendelea kupokea feedback nyingi sana kwa waleambao wametumia package zetu za ngoziJukumu letu ni kuhakikisha ngozi yak...
25/04/2026

Naendelea kupokea feedback nyingi sana kwa wale
ambao wametumia package zetu za ngozi
Jukumu letu ni kuhakikisha ngozi yako inarudi kwenye hali yake ya kawaida
Call/watsap:062019998

Unasumbuka na changamoto ya vipele nyuma yakichwa(keloids)pamoja na vipele baada ya kushave ndevu?Nitafute nikupe tiba y...
25/04/2026

Unasumbuka na changamoto ya vipele nyuma ya
kichwa(keloids)pamoja na vipele baada ya kushave ndevu?
Nitafute nikupe tiba ya changamoto hii
Whatsap/cal #0692019998

UTANGO UTANGO:Ugonjwa huu unasababishwa na maambukizi ya fangasi. Vijana na watu wazima mara nyingi ndio wanaoathirika, ...
25/04/2026

UTANGO UTANGO:Ugonjwa huu unasababishwa na maambukizi ya fangasi. Vijana na watu wazima mara nyingi ndio wanaoathirika, pia maambukizi yameripotiwa kutokea kwa watoto...

Fangasi hawa wanakula mafuta yanayotolewa kwenye mwili wa
binadamu. Mazingira yajoto pamoja na unyevunyevu yanafanya
ugonjwa huu kuamka..

Kwa watu wazima mara nyingi unatokea kwenye mwili wakati kwa watoto huwa unatokea usoni
K**A UNA HII CHANGAMOTO NITAFUTE NIKUPE SULUHISHO...

Call/watsaap;0692019998

Address

Sinza Madukani
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when afya na uremb posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share