Afya na Sam

Afya na Sam Dr Sam
Nikisaidia wanawake wenye changamoto za Afya ya Uzazi kwa Nutriceticals.
+255782714546

⚠️ DALILI 7 ZA UTI AMBAZO WANAWAKE WENGI HUZIPUUZIA MPAKA HALI INAKUWA MBAYAMaambukizi ya njia ya mkojo (UTI) ni tatizo ...
29/03/2026

⚠️ DALILI 7 ZA UTI AMBAZO WANAWAKE WENGI HUZIPUUZIA MPAKA HALI INAKUWA MBAYA

Maambukizi ya njia ya mkojo (UTI) ni tatizo linalowapata wanawake wengi, lakini mara nyingi dalili zake huanza kidogo kiasi kwamba wanawake wengi huzipuuzia wakidhani ni jambo la kawaida.

Tatizo ni kwamba usipotibu mapema, maambukizi yanaweza kuongezeka na kuathiri afya ya uzazi na hata figo.

Hizi hapa ni dalili 7 muhimu za UTI ambazo hupaswi kupuuza:

1️⃣ Maumivu au kuwaka wakati wa kukojoa
K**a kila unapokojoa unahisi moto au maumivu, hii ni dalili ya kawaida ya UTI.

2️⃣ Kukojoa mara kwa mara kuliko kawaida
Unahisi haja ya kukojoa kila muda hata k**a mkojo unatoka kidogo.

3️⃣ Maumivu chini ya tumbo
Maumivu au presha sehemu ya chini ya tumbo yanaweza kuashiria maambukizi kwenye mfumo wa mkojo.

4️⃣ Mkojo kuwa na harufu kali au rangi tofauti
Mkojo wenye harufu kali sana au rangi ya mawingu unaweza kuwa ishara ya infection.

5️⃣ Kuhisi kuchoka au mwili kuwa dhaifu
Maambukizi mwilini yanaweza kufanya ujisikie uchovu bila sababu.

6️⃣ Homa ndogo au baridi mwilini
Wakati mwingine mwili huonyesha dalili za kupambana na maambukizi.

7️⃣ Maumivu mgongoni au upande wa figo
Hii inaweza kuonyesha maambukizi yameanza kuathiri sehemu za juu za mfumo wa mkojo.

⚠️ Usipuuzie dalili hizi. Kutibu mapema kunaweza kuzuia madhara makubwa baadaye.

K**a unapata dalili k**a hizi mara kwa mara, ni muhimu kupata ushauri mapema.

📲 Wasiliana na Dr Sam kwa ushauri zaidi
WhatsApp: +255782714546

Afya na Sam "Elimu sahihi ya afya ya uzazi kwa kila mwanamke."

Mwanamke....k**a unajihisi k**a vile unajilazimisha kufanya tendo la ndoa, umechoka au huna hamu, unahitaji hiiAcha kupo...
27/03/2026

Mwanamke....k**a unajihisi k**a vile unajilazimisha kufanya tendo la ndoa, umechoka au huna hamu, unahitaji hii

Acha kupoteza pesa kwenda kugharamia dawa za kuongeza hamu.

Jiko lako lina siri ambayo wengi hawataki kukwambia 👇👇

🥕 1 carrot + 🍏 1 apple + 🍯 Asali + mdalasini
👉 Saga pamoja & kunywa asubuhi ( kabla hujala chochote 💯)
🔥 Utapata nguvu, utafurahia tendo, utangaa (ngozi). Kupitia kikombe kimoja cha mchanganyiko huo ✨

Jaribu kwa siku 3-7 kisha rudi hapa uniambie

Share Kwa rafiki yako😊

One day, you will wake up and realize you don’t have the same energy, the same time, or the same chances you have right ...
26/03/2026

One day, you will wake up and realize you don’t have the same energy, the same time, or the same chances you have right now.

Life quietly moves from “I still have time” to “I wish I started earlier.”

Use this version of you well.

🔥 Kuongeza Nguvu na Stamina Bila Dawa (Wanaume na Wanawake) 🔥Hatua ya 1, Maji ya KarafuuWeka karafuu chache  kwenye  chu...
20/03/2026

🔥 Kuongeza Nguvu na Stamina Bila Dawa (Wanaume na Wanawake) 🔥

Hatua ya 1, Maji ya Karafuu
Weka karafuu chache kwenye chupa yenye ujazo wa vikombe 2 vya maji safi kisha hifadhi kwa masaa 12–24 kabla ya kutumia.

💪 KWA WANAUME 👉 Kunywa kikombe 1 cha maji ya karafuu chenye mchanganyiko wa
- Kijiko 1 kidogo cha tangawizi
- Kijiko 1 kidogo cha asali
- Maji machache ya limao
🔥 Kunywa takriban dakika 30 kabla ya tendo la ndoa

💖 KWA WANAWAKE 👉 Kunywa nusu kikombe ya maji ya karafuu + nusu kikombe cha maziwa ongeza kijiko 1 kidogo cha asali

Kunywa takriban dakika 30 kabla ya kulala au kabla ya tendo la ndoa

Mchanganyiko huu wa asili unasaidia kuongeza nguvu, mzunguko wa damu, na ustawi kwa wanaume na wanawake.

Endelea kutumia mara kwa mara, kula vyakula bora, na uwe na mwili unaofanya mazoezi ili kupata matokeo bora zaidi.

Hizi kesi za kuwa na ushiriki mbovu, niishie huku huku 😊

Nawatakia Eid el fitri njema

20/03/2026

Mwanamake upo!

Hivi bado unapata maumivu makali ya hedhi?

Bado unateseka na vimbe kwenye kizazi (fibroids, PCOS,)?

Bado unapitia hali ya kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa?

Bado unapata discharge yenye rangi isiyo ya kawaida na yenye harufu mbaya?

Bado una saratani ya kizazi?

Bado una maambukizi kwenye njia ya mkojo na kwenye via vya uzazi?

Bado hushiki ujauzito?

Bado unapitia changamoto ya mimba kuharibika na kutoka?

Bado una mazoea Shemu za siri?

Hivi unadhani kwa nini wewe bado haujapata suluhisho sahihi?

Unataka kuwa miongoni mwao wanawake tuliowasaidia kuondokana na changamoto zote hizo kwa suluhisho la aina moja lenye majibu ya haraka?

Tupo hapa kukusaidia,

18/03/2026

Je, wewe ni Mwanamke ambaye hedhi zako huwa zinavurugika?

17/03/2026

Miongoni mwa tuliyemuhudumia,alitutembelea (Alikuwa na changamoto ya Arthritis)

Vituo vyetu vinatoua huduma zaidi ya moja kwa wenye changamoto mbalimbali sugu za kiafya

Wewe una changamoto gani?

15/03/2026
Nani alipitia hali k**a hii, share experience Yako
13/03/2026

Nani alipitia hali k**a hii, share experience Yako

11/03/2026

Huu ni mwaka wa Mabadiliko kiafya. Type Ameñ🙏

09/03/2026

Wanawake wengi wanajaribu kurekebisha hormones zao wenyewe… lakini bila kujua wanafanya makosa makubwa.Na kwa bahati mba...
08/03/2026

Wanawake wengi wanajaribu kurekebisha hormones zao wenyewe… lakini bila kujua wanafanya makosa makubwa.

Na kwa bahati mbaya, makosa haya yanaweza kufanya hali iwe mbaya zaidi badala ya kuwa nzuri.

Katika uzoefu wangu wa kufanya kazi na wanawake wengi, nimeona makosa 5 yanayojirudia sana wakati wanawake wanapojaribu kujitatulia changamoto ya hormonal imbalance peke yao:

1️⃣ Kubadilisha lishe ghafla bila kuelewa chanzo cha tatizo
Wengine wanaacha vyakula fulani au wanaanza diet kali wakiamini itarekebisha homoni, lakini bila kujua chanzo halisi cha tatizo.

2️⃣ Kutumia virutubisho bila ushauri sahihi
Si kila supplement inafaa kwa kila mtu. Virutubisho visivyofaa vinaweza hata kuvuruga zaidi balance ya homoni.

3️⃣ Kupuuza msongo wa mawazo (stress)
Stress ni moja ya sababu kubwa sana ya hormonal imbalance, lakini watu wengi wanaangalia chakula tu na kusahau hili.

4️⃣ Kulinganisha mwili wao na wa mtu mwingine
Kile kilichomsaidia rafiki yako au mtu uliyemuona mtandaoni, si lazima kifanye kazi kwa mwili wako.

5️⃣ Kuvumilia dalili kwa muda mrefu
Wanawake wengi husubiri sana kabla ya kutafuta msaada, wakidhani hali itaisha yenyewe.

Ukweli ni huu 👇
Homoni za mwanamke ni mfumo nyeti sana wa mwili.
Na mara nyingi zinahitaji uelewa sahihi na mwongozo sahihi ili kurejesha balance.

Habari njema ni kwamba…
✨ Hormonal imbalance inaweza kurekebishika k**a hatua sahihi zitachukuliwa mapema.

👇
Ni lipi kati ya haya 5 umewahi kulifanya bila kujua?

Andika namba yake (1–5) kwenye comment.
Inawezekana wanawake wengi wanapitia hali hiyo hiyo bila kujua.

Address

Ubungo Plaza, Ubungo

Opening Hours

Monday 08:00 - 18:00
Tuesday 08:00 - 18:00
Wednesday 08:00 - 18:00
Thursday 08:00 - 18:00
Friday 08:00 - 18:00
Saturday 08:00 - 18:00

Telephone

+255782714546

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya na Sam posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Afya na Sam:

  • Want your business to be the top-listed Health & Beauty Business?

Share