05/05/2026
🚨 DALILI ZA TEZI DUME
Je, unakumbana na mojawapo ya dalili hizi?
1️⃣ Kukojoa mara kwa mara, hasa usiku
2️⃣ Maumivu au kuchoma wakati wa kukojoa
3️⃣ Mkojo kutoka kwa kusuasua au kudondoka-dondoka
4️⃣ Kuhisi kibofu hakijaisha mkojo
5️⃣ Maumivu ya kiuno, mgongo wa chini au tumbo la chini
6️⃣ Kukaa muda mrefu kunaleta maumivu
7️⃣ Nguvu ya kiume kupungua
8️⃣ Maumivu wakati wa kutoa shahawa
9️⃣ Kupungua kwa hamu ya tendo la ndoa
🔟 Kukojoa kwa shida au kuchelewa kuanza mkojo
⚠️ USIPUUZE
Tezi dume ikipuuzwa:
huleta maumivu makali
huathiri mfumo wa mkojo
huathiri maisha ya ndoa
👉 Habari njema:
🌿 Tezi dume inatibika bila upasuaji ukichukua hatua mapema.
🏥 HUDUMA ZETU
🔬 Vipimo sahihi: Tsh 30,000 Kwa mawasiliano zaidi 0656452954 ushauli ni
💬 BURE