afya yangu

afya yangu huduma ya ushauri wa kiafya na matibabu

09/07/2026

Dalili za Tezi Dume (hasa kuongezeka kwa tezi dume)
Kukojoa mara kwa mara, hasa usiku.
Kuanza kukojoa kwa shida au kusubiri mkojo utoke.
Mkojo kutoka kwa nguvu ndogo.
Kuhisi kibofu hakijaisha mkojo baada ya kukojoa.
Kukojoa kwa maumivu au kuungua (wakati mwingine).
Kukatiza-katiza kwa mkojo.
Dalili za Hernia
Uvimbe au kitundu sehemu ya kinena, korodani au tumbo.
Uvimbe kuongezeka unapokohoa, kuinua vitu vizito au kusimama kwa muda mrefu.
Maumivu au uzito sehemu yenye uvimbe.
Hisia ya kuvuta au kuchomachoma sehemu ya kinena.
Wakati mwingine kichefuchefu na kutapika ikiwa hernia imeziba utumbo (hali ya dharura).
Tofauti Kuu
Tezi dume huathiri zaidi mfumo wa kukojoa.
Hernia huonekana zaidi k**a uvimbe au kitundu kwenye kinena, korodani au tumbo.0761922621

05/05/2026

🚨 DALILI ZA TEZI DUME
Je, unakumbana na mojawapo ya dalili hizi?
1️⃣ Kukojoa mara kwa mara, hasa usiku
2️⃣ Maumivu au kuchoma wakati wa kukojoa
3️⃣ Mkojo kutoka kwa kusuasua au kudondoka-dondoka
4️⃣ Kuhisi kibofu hakijaisha mkojo
5️⃣ Maumivu ya kiuno, mgongo wa chini au tumbo la chini
6️⃣ Kukaa muda mrefu kunaleta maumivu
7️⃣ Nguvu ya kiume kupungua
8️⃣ Maumivu wakati wa kutoa shahawa
9️⃣ Kupungua kwa hamu ya tendo la ndoa
🔟 Kukojoa kwa shida au kuchelewa kuanza mkojo
⚠️ USIPUUZE
Tezi dume ikipuuzwa:
huleta maumivu makali
huathiri mfumo wa mkojo
huathiri maisha ya ndoa
👉 Habari njema:
🌿 Tezi dume inatibika bila upasuaji ukichukua hatua mapema.
🏥 HUDUMA ZETU
🔬 Vipimo sahihi: Tsh 30,000 Kwa mawasiliano zaidi 0656452954 ushauli ni
💬 BURE

15/04/2026

DALILI ZA TEZI DUME
Je, unakumbana na mojawapo ya dalili hizi?
1️⃣ Kukojoa mara kwa mara, hasa usiku
2️⃣ Maumivu au kuchoma wakati wa kukojoa
3️⃣ Mkojo kutoka kwa kusuasua au kudondoka-dondoka
4️⃣ Kuhisi kibofu hakijaisha mkojo
5️⃣ Maumivu ya kiuno, mgongo wa chini au tumbo la chini
6️⃣ Kukaa muda mrefu kunaleta maumivu
7️⃣ Nguvu ya kiume kupungua
8️⃣ Maumivu wakati wa kutoa shahawa
9️⃣ Kupungua kwa hamu ya tendo la ndoa
🔟 Kukojoa kwa shida au kuchelewa kuanza mkojo
⚠️ USIPUUZE
Tezi dume ikipuuzwa:
huleta maumivu makali
huathiri mfumo wa mkojo
huathiri maisha ya ndoa
👉 Habari njema:
🌿 Tezi dume inatibika bila upasuaji ukichukua hatua mapema.
🏥 HUDUMA ZETU
🔬 Kwa mawasiliano zaidi 0656452954 ushauli ni
💬 BURE

KITUO CHA AFYA - Gcat health care internationalNi taasisi inayomilikiwa na Wachina ambapo ina madktari waliobobea na vif...
06/02/2026

KITUO CHA AFYA - Gcat health care international
Ni taasisi inayomilikiwa na Wachina ambapo ina madktari waliobobea na vifaa vya kisasa wanatoa huduma ya vipimo kwa gharama nafuu sana.30,000 tu
Pia wanatibu magonjwa yafuatayo:
✅Matatizo ya hedhi kwa wanawake
✅Kutoshika mimba
✅Mimba kuharibika
✅Chango la uzazi
✅Vimbe aina zote
✅PID & UTI
✅Kuzibua mirija ya uzazi
✅Vidonda vya tumbo
✅Tezi dume
✅Nguvu za kiume
✅Bawasiri
✅Matatizo ya moyo
✅Matatizo ya mifupa
✅Ngiri
✅Matatizo ya kibofu cha mkojo
✅Aleji
✅Bandama
✅Homa ya Ini
✅Kiharusi/Stroke
✅Pumu
✅Miguu Kuwaka Moto
✅Uzito mkubwa
Pia tuna dawa maalum kwa wagonjwa wa
✅Presha
✅Sukari
Tupo banana Dar es salaam,Na Mikoani, tupigie simu utapokelewa
Wasiliana nasi kwa namba za simu:
0656452954
Au bonyeza link hii https://wa.me/message/TDAU6HRKZA4FB1

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 08:00 - 12:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when afya yangu posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share