Afya online na Dr philimon

Afya online na Dr philimon Karibu sana kwa Tiba na Ushauri kuhusu Afya...

� *Hakikisha umesave namba yangu (Dr. Philimon) ili

Madhara ya fangasi (fungus) kwa kifupi:Kuwasha sana sehemu iliyoathirikaHarufu mbaya (hasa sehemu za siri)Uwekundu, vipe...
11/05/2026

Madhara ya fangasi (fungus) kwa kifupi:
Kuwasha sana sehemu iliyoathirika
Harufu mbaya (hasa sehemu za siri)
Uwekundu, vipele au mabaka kwenye ngozi
Ngozi kupasuka au kuchubuka
Ute mzito mweupe (kwa wanawake)
Maumivu wakati wa kukojoa au tendo la ndoa
Vidonda au maambukizi kuenea sehemu nyingine
Kukosa raha na kuathiri maisha ya kila siku

01/05/2026

⚠️ Madhara ya PID
Ugumba (kutopata mtoto)
— Huharibu mirija ya uzazi na kuzuia yai kupita.
Mimba kutunga nje ya kizazi (Ectopic pregnancy)
— Hali hatari inayoweza kuhatarisha maisha.
Maumivu ya muda mrefu ya nyonga/tumbo la chini
— Maumivu hujirudia hata bila hedhi au tendo.
Makovu kwenye mirija ya uzazi (blocked fallopian tubes)
Kutokwa na damu isiyo ya kawaida
— Baada ya tendo au katikati ya mzunguko.
Maambukizi kuenea mwilini
— Yanaweza kuwa makali na kuhitaji matibabu ya haraka hospitali.
🚨 Dalili hatari za PID
Maumivu makali ya tumbo la chini
Homa
Harufu mbaya ukeni
Maumivu wakati wa tendo
Kutokwa na damu isiyo ya kawaida
✅ Habari njema: PID ikigunduliwa mapema hutibika kabisa kwa kutumia virutubisho salama kabisa kwa Afya yako

Madhara ya fangasi (fungus) kwa kifupi:Kuwasha sana sehemu iliyoathirikaHarufu mbaya (hasa sehemu za siri)Uwekundu, vipe...
16/04/2026

Madhara ya fangasi (fungus) kwa kifupi:
Kuwasha sana sehemu iliyoathirika
Harufu mbaya (hasa sehemu za siri)
Uwekundu, vipele au mabaka kwenye ngozi
Ngozi kupasuka au kuchubuka
Ute mzito mweupe (kwa wanawake)
Maumivu wakati wa kukojoa au tendo la ndoa
Vidonda au maambukizi kuenea sehemu nyingine
Kukosa raha na kuathiri maisha ya kila siku

⚠️ Madhara ya PIDUgumba (kutopata mtoto)— Huharibu mirija ya uzazi na kuzuia yai kupita.Mimba kutunga nje ya kizazi (Ect...
14/04/2026

⚠️ Madhara ya PID
Ugumba (kutopata mtoto)
— Huharibu mirija ya uzazi na kuzuia yai kupita.
Mimba kutunga nje ya kizazi (Ectopic pregnancy)
— Hali hatari inayoweza kuhatarisha maisha.
Maumivu ya muda mrefu ya nyonga/tumbo la chini
— Maumivu hujirudia hata bila hedhi au tendo.
Makovu kwenye mirija ya uzazi (blocked fallopian tubes)
Kutokwa na damu isiyo ya kawaida
— Baada ya tendo au katikati ya mzunguko.
Maambukizi kuenea mwilini
— Yanaweza kuwa makali na kuhitaji matibabu ya haraka hospitali.
🚨 Dalili hatari za PID
Maumivu makali ya tumbo la chini
Homa
Harufu mbaya ukeni
Maumivu wakati wa tendo
Kutokwa na damu isiyo ya kawaida
✅ Habari njema: PID ikigunduliwa mapema hutibika kabisa kwa kutumia virutubisho salama kabisa kwa Afya yako
Anza matibabu leo upate matokeo kesho

1. Kuwasha na muwasho mkaliSehemu za siri, mapaja au ngozi huwashwa sanaHali hii huweza kukufanya ukose raha au usingizi...
05/04/2026

1. Kuwasha na muwasho mkali
Sehemu za siri, mapaja au ngozi huwashwa sana
Hali hii huweza kukufanya ukose raha au usingizi
2. Upele na ngozi kubadilika
Hutokea upele, wekundu au mabaka meupe
Ngozi inaweza kupasuka au kukauka sana
3. Maumivu wakati wa tendo la ndoa
Maumivu au kuwaka wakati wa kushiriki tendo
Hii inaweza kupunguza hamu ya tendo
4. Harufu mbaya sehemu za siri
Fangasi huweza kusababisha harufu isiyo ya kawaida
5. Kutokwa na uchafu usio wa kawaida
Wakati mwingine kuna ute mweupe au mzito kwenye uume
6. Kuambukiza mwenza
Fangasi huambukizwa kirahisi kwa mwenza wakati wa tendo bila kinga
7. Maambukizi kuwa sugu
Usipotibu mapema, fangasi wanaweza kuwa sugu na kurudiarudia
8. Kupungua kwa kujiamini
Muwasho, harufu na dalili nyingine huweza kuathiri hali ya kisaikolojia
*Dr Philimon*
*0755288943*

🚫MADHARA YA MWANAMKE KUNYONYA SEHEMU ZA SIRI ZA MWANAUME (ORAL S*X) Mala nyingi swala hili limekuwa k**a kipimo cha mape...
02/04/2026

🚫MADHARA YA MWANAMKE KUNYONYA SEHEMU ZA SIRI ZA MWANAUME (ORAL S*X)

Mala nyingi swala hili limekuwa k**a kipimo cha mapenzi kwa watu wengi lakini ukweli ni kwamba jambo hili lina madhara makubwa sana😭😭

Madhara yake pindi mtu atakapo fanya jambo hilo👇👇

1. Maambukizi ya magonjwa ya zinaa (STIs)
Mwanamke anaweza kupata maambukizi k**a:
👉Kisonono (Gonorrhea)
👉Kaswende (Syphilis)
👉Herpes
👉HPV
Maambukizi haya yanaweza kuingia kupitia mdomo, koo au fizi.

2. Maambukizi ya koo na mdomo
Bakteria au virusi vinaweza kusababisha:
👉Vidonda mdomoni
👉Maumivu ya koo
👉Uvimbe kwenye fizi
3. Hatari ya VVU (HIV, bado ipo hasa k**a kuna:
👉Vidonda mdomoni
👉Damu au michubuko
👉Kichefuchefu
👉Maambukizi ya bakteria

4. Athari za kisaikolojia au kihisia
kitendo hiki kinaweza kuleta:
👉Kujisikia vibaya au kukosa amani
👉Msongo wa mawazo baada ya kufanya hivyo

Epuka kuiga au kufanya michezo itakayo kugharimu maishani

Afya yako bora ndiyo msingi wako imara wa maisha yako

*Dr Philimon *
*0755288943**

USIPUPEPUKE NA AFYA YAKO YA UZAZI!PID na Homoni Imbalance ni matatizo yanayoweza kukunyima furaha ya kuwa mama bila hata...
29/03/2026

USIPUPEPUKE NA AFYA YAKO YA UZAZI!
PID na Homoni Imbalance ni matatizo yanayoweza kukunyima furaha ya kuwa mama bila hata kugundua mapema.
Dalili k**a maumivu ya tumbo la chini, hedhi kuvurugika, kukosa ute na kushindwa kupata ujauzito si za kupuuzwa.
👉 Usisubiri hadi hali iwe mbaya
👉 Chukua hatua mapema
👉 Pata ushauri na tiba sahihi sasa

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya online na Dr philimon posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share