AFYA YA UZAZI

AFYA YA UZAZI โœ๏ธElimu ya afya kwa wanawake na me
๐ŸŸกKukosa mtoto| PID | UTI | Fungus sugu
๐ŸŸขHedhi | vimbe kwenye kizazi
๐ŸคŒFollow kujifunza kila siku
๐Ÿ“žWhatsApp๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ255686472843

16/07/2026

MWANAMKE K**A HUPATI HUU UTEE TEGEMEA HAYA ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
๐Ÿ˜ญKukosa hisia au hamu ya tendo la ndoa yaaan apa utaona unaonewa na mateso ukifika muda mbaba wako anakuhitaji

๐Ÿ˜ญKupata michubuko wakati wa tendo na baada ya tendo

๐Ÿ˜ญKutokwa na damu wakati na baada ya tendo la ndoa

๐Ÿ˜ญKupata maumivu wakati wa tendo

๐Ÿ˜ญKuwa kwenye hatari ya kupata maambukizi ya UTI,FUNGU,PID

๐Ÿ˜ญKushindwa kushika ujauzito

โœ…๏ธKuachwa, ndugu hakuna mwanaume anayevumilia hayo yote itafika mahali atakuchoka usipojipambania

KARIBU KWA CHANGAMOTO YEYOTE YA UZAZI NA USHAURI NI BURE KABISA
kigezo nitafute WhatsApp
0686 472 843
Dkt Magembe Uzazi

15/07/2026
15/07/2026

1.ฮ’ฮ‘ฮœฮ™ฮ‘

Ukavu Ukeni Mara nyingi ni ishara kwamba mwili wako hautengenezi ute wa kutosha.

Ndiyo maana bamia ni moja ya vyakula vinavyoweza kusaidia.

Bamia ina ute wa asili (mucilage) unaosaidia mwili kubaki na unyevunyevu, na pia lina virutubisho vinavyosaidia afya ya mfumo wa uzazi.

Jinsi ya kutumia:

Kula k**a mboga angalau mara 3-4 kwa wiki.

AU

Saga bamia 4-6 na maji kidogo kwenye blender, unywe glasi 1 mara 3 kwa wiki.

2.UJI WA SOYA

Ukavu ukeni kwa wanawake wengi unatokana na kushuka kwa homoni za k**e (Estrogen).

Soya ina virutubisho vinavyoitwa Phytoestrogens, ambavyo vinaweza kusaidia kuimarisha mazingira ya homoni kwa baadhi ya wanawake.

Jinsi ya kutumia:

Kunywa glasi 1 ya uji wa soya kila asubuhi.

AU

Tumia unga wa soya mara 4-5 kwa wiki kwenye lishe yako.

3.KUNYWA MAJI YA KUTOSHA

Huwezi kutegemea uke uwe na unyevunyevu...

wakati mwili wako una upungufu wa maji.

Kunywa maji ya kutosha kila siku.

Pia ongeza vyakula vinavyosaidia mwili

kutengeneza unyevunyevu wa asili k**a:

๐Ÿฅ‘Parachichi

๐ŸŒNdizi

๐Ÿฅ›Mtindi

๐ŸŠMachungwa

๐ŸฅญTufaha

Hivi vinaweza kusaidia kuboresha afya ya uke na kupunguza ukavu.

Lakini kuna ukweli ambao wanawake wengi hawaambiwi...

Ukavu ukeni hauanzi ukeni.

Mara nyingi huanzia ndani ya mwili.

Mfano:

โœ…๏ธHomoni kutokuwa sawa.

โœ…๏ธMaambukizi ya mara kwa mara.

โœ…๏ธPID.

โœ…๏ธKunyonyesha.

โœ…๏ธMenopause.

โœ…๏ธStress.

Ndiyo maana wanawake wengine wanakula vizuri...

lakini bado tatizo haliondoki.
Usitumie vitu hivi k**a Vilainishi / lubricant X

๐ŸšซUsitumie:

๐ŸšซMate

๐ŸšซVaseline

๐ŸšซMafuta ya kupaka mwili

๐ŸšซMafuta ya kupikia

Vinaweza kuvuruga mazingira ya uke na kuongeza hatari ya fangasi, bakteria na maambukizi mengine.

Ikiwa unahitaji msaada wa muda, tumia water-based lubricant iliyo salama
K**a tatizo linajirudia mara kwa mara...

Basi usiendelee kutibu dalili pekee.

Tafuta chanzo.

Kwa sababu ukavu ukeni unaweza kuwa ishara ya:

โœ๏ธMvurugiko wa homoni

โœ๏ธMaambukizi sugu

โœ๏ธKushuka kwa Estrogen

Mfumo wa uzazi unaohitaji kurejeshwa.

Kwa matokeo ya kudumu...

Mbali na lishe nzuri...

tunawasaidia wanawake wengi kupitia Uzazirestore Dvaginal Therapy.

Programu hii imelenga:

โœ…๏ธKusaidia kurejesha afya ya uke.

โœ…๏ธKusaidia kurekebisha mazingira ya mfumo wa uzazi.

โœ…๏ธKupunguza na Kumaliza maambukizi yanayojirudia Kutoka Ndani.

โœ…๏ธKusaidia kurejesha unyevunyevu wa asili kwa kushughulikia chanzo.

Usiishi na ukavu ukeni ukidhani ni kawaida.

Ukavu unaoendelea unaweza kuathiri:

๐ŸคšRaha ya tendo la ndoa.

๐ŸคŒMahusiano.

๐Ÿ’ขAfya ya uke.

๐Ÿซ„Safari yako ya kupata ujauzito.

Uzazirestore Dvaginal Therapy imeandaliwa kusaidia kurejesha afya ya mfumo wa uzazi kwa kuangalia chanzo cha tatizo.

Andika "UKAVU" kwenye DM au WhatsApp 0612 572 843 k**a programu hii inakufaa.

โœ…๏ธNa k**a unatafuta mtoto pia...

Afya nzuri ya uke ni muhimu.

Unyevunyevu wa kawaida husaidia mbegu za mwanaume kusafiri vizuri kuelekea kwenye yai.

Ndiyo maana kurejesha afya ya mfumo wa uzazi ni hatua muhimu kwa mwanamke anayepanga kupata ujauzito.

1.ฮ’ฮ‘ฮœฮ™ฮ‘Ukavu Ukeni Mara nyingi ni ishara kwamba mwili wako hautengenezi ute wa kutosha.Ndiyo maana bamia ni moja ya vyak...
15/07/2026

1.ฮ’ฮ‘ฮœฮ™ฮ‘

Ukavu Ukeni Mara nyingi ni ishara kwamba mwili wako hautengenezi ute wa kutosha.

Ndiyo maana bamia ni moja ya vyakula vinavyoweza kusaidia.

Bamia ina ute wa asili (mucilage) unaosaidia mwili kubaki na unyevunyevu, na pia lina virutubisho vinavyosaidia afya ya mfumo wa uzazi.

Jinsi ya kutumia:

Kula k**a mboga angalau mara 3-4 kwa wiki.

AU

Saga bamia 4-6 na maji kidogo kwenye blender, unywe glasi 1 mara 3 kwa wiki.

2.UJI WA SOYA

Ukavu ukeni kwa wanawake wengi unatokana na kushuka kwa homoni za k**e (Estrogen).

Soya ina virutubisho vinavyoitwa Phytoestrogens, ambavyo vinaweza kusaidia kuimarisha mazingira ya homoni kwa baadhi ya wanawake.

Jinsi ya kutumia:

Kunywa glasi 1 ya uji wa soya kila asubuhi.

AU

Tumia unga wa soya mara 4-5 kwa wiki kwenye lishe yako.

3.KUNYWA MAJI YA KUTOSHA

Huwezi kutegemea uke uwe na unyevunyevu...

wakati mwili wako una upungufu wa maji.

Kunywa maji ya kutosha kila siku.

Pia ongeza vyakula vinavyosaidia mwili

kutengeneza unyevunyevu wa asili k**a:

๐Ÿฅ‘Parachichi

๐ŸŒNdizi

๐Ÿฅ›Mtindi

๐ŸŠMachungwa

๐ŸฅญTufaha

Hivi vinaweza kusaidia kuboresha afya ya uke na kupunguza ukavu.

Lakini kuna ukweli ambao wanawake wengi hawaambiwi...

Ukavu ukeni hauanzi ukeni.

Mara nyingi huanzia ndani ya mwili.

Mfano:

โœ…๏ธHomoni kutokuwa sawa.

โœ…๏ธMaambukizi ya mara kwa mara.

โœ…๏ธPID.

โœ…๏ธKunyonyesha.

โœ…๏ธMenopause.

โœ…๏ธStress.

Ndiyo maana wanawake wengine wanakula vizuri...

lakini bado tatizo haliondoki.
Usitumie vitu hivi k**a Vilainishi / lubricant X

๐ŸšซUsitumie:

๐ŸšซMate

๐ŸšซVaseline

๐ŸšซMafuta ya kupaka mwili

๐ŸšซMafuta ya kupikia

Vinaweza kuvuruga mazingira ya uke na kuongeza hatari ya fangasi, bakteria na maambukizi mengine.

Ikiwa unahitaji msaada wa muda, tumia water-based lubricant iliyo salama
K**a tatizo linajirudia mara kwa mara...

Basi usiendelee kutibu dalili pekee.

Tafuta chanzo.

Kwa sababu ukavu ukeni unaweza kuwa ishara ya:

โœ๏ธMvurugiko wa homoni

โœ๏ธMaambukizi sugu

โœ๏ธKushuka kwa Estrogen

Mfumo wa uzazi unaohitaji kurejeshwa.

Kwa matokeo ya kudumu...

Mbali na lishe nzuri...

tunawasaidia wanawake wengi kupitia Uzazirestore Dvaginal Therapy.

Programu hii imelenga:

โœ…๏ธKusaidia kurejesha afya ya uke.

โœ…๏ธKusaidia kurekebisha mazingira ya mfumo wa uzazi.

โœ…๏ธKupunguza na Kumaliza maambukizi yanayojirudia Kutoka Ndani.

โœ…๏ธKusaidia kurejesha unyevunyevu wa asili kwa kushughulikia chanzo.

Usiishi na ukavu ukeni ukidhani ni kawaida.

Ukavu unaoendelea unaweza kuathiri:

๐ŸคšRaha ya tendo la ndoa.

๐ŸคŒMahusiano.

๐Ÿ’ขAfya ya uke.

๐Ÿซ„Safari yako ya kupata ujauzito.

Uzazirestore Dvaginal Therapy imeandaliwa kusaidia kurejesha afya ya mfumo wa uzazi kwa kuangalia chanzo cha tatizo.

Andika "UKAVU" kwenye DM au WhatsApp 0612 572 843 k**a programu hii inakufaa.

โœ…๏ธNa k**a unatafuta mtoto pia...

Afya nzuri ya uke ni muhimu.

Unyevunyevu wa kawaida husaidia mbegu za mwanaume kusafiri vizuri kuelekea kwenye yai.

Ndiyo maana kurejesha afya ya mfumo wa uzazi ni hatua muhimu kwa mwanamke anayepanga kupata

0686 472 843
Dkt Magembe Uzazi

14/07/2026

Wenye changamoto hizi Wasiliana na mtaalamu wetu
0686 472 843
Dkt Magembe Uzazi

14/07/2026
๐ŸŒน ๐…๐€๐ˆ๐ƒ๐€ 10 ๐™๐€ ๐Š๐”๐…๐€๐๐˜๐€ ๐Œ๐€๐๐„๐๐™๐ˆ ๐ŸŒน1. ๐‡๐ฎ๐จ๐ง๐ ๐ž๐ณ๐š ๐ค๐ข๐ง๐ ๐š ya ๐ฆ๐ฐ๐ข๐ฅ๐ขโœ” Kufanya mapenzi mara 1โ€“2 kwa wiki huongeza seli za kinga (imm...
10/07/2026

๐ŸŒน ๐…๐€๐ˆ๐ƒ๐€ 10 ๐™๐€ ๐Š๐”๐…๐€๐๐˜๐€ ๐Œ๐€๐๐„๐๐™๐ˆ ๐ŸŒน

1. ๐‡๐ฎ๐จ๐ง๐ ๐ž๐ณ๐š ๐ค๐ข๐ง๐ ๐š ya ๐ฆ๐ฐ๐ข๐ฅ๐ข

โœ” Kufanya mapenzi mara 1โ€“2 kwa wiki huongeza seli za kinga (immunoglobulin A) kwa robo tatu.
โœ” Hii husaidia kuzuia mafua na magonjwa mbalimbali.

2. ๐‡๐ฎ๐๐ก๐ข๐›๐ข๐ญ๐ข ๐ฆ๐ณ๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ๐ค๐จ wa ๐ก๐ž๐๐ก๐ข

โœ” Wanawake wanaojamiana angalau mara moja kwa wiki (isipokuwa siku za hedhi) wana mzunguko wa hedhi wa kawaida.
โœ” Hii ni tofauti na wale wanaojamiana kwa nadra au hawafanyi kabisa.

3. ๐‡๐ฎ๐จ๐ง๐ ๐ž๐ณ๐š ๐ก๐š๐ฅ๐ข ya ๐ค๐ฎ๐ฃ๐ข๐š๐ฆ๐ข๐ง๐ข

โœ” Tendo la mapenzi lenye furaha na upendo huongeza kujiamini.
โœ” Vigezo muhimu: furaha na amani kati ya wahusika, vinginevyo huleta hofu, wasiwasi, na kupungua kujiamini.

4. ๐‡๐ฎ๐จ๐ง๐ ๐ž๐ณ๐š ๐ฎ๐ซ๐ž๐ฆ๐›๐จ wa ๐ฆ๐ฐ๐š๐ง๐š๐ฆ๐ค๐ž

โœ” Kufanya mapenzi mara 4 kwa wiki huonekana kupunguza umri wa mwonekano wa wanawake kwa miaka 7โ€“12.
โœ” Hii inatokana na ongezeko la homoni ya oestrogen inayofanya nywele na ngozi kung'aa.

5. ๐‡๐ฎ๐จ๐ง๐ ๐ž๐ณ๐š ๐ฎ๐ฐ๐ž๐ณ๐จ wa ๐ค๐ฎ๐ง๐ฎ๐ฌ๐š

โœ” Kufanya mapenzi huongeza homoni ya prolactin, ambayo huongeza seli za ubongo zinazohusika na kunusa (brain olfactory bulb).
โœ” Matokeo: hisia bora za harufu na utambuzi wa harufu.

6. ๐‡๐ฎ๐ฉ๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ๐ณ๐š ๐ฆ๐š๐ฎ๐ฆ๐ข๐ฏ๐ฎ

โœ” Kufikia kilele (or**sm) ni tiba asili ya maumivu.
โœ” Homoni oxytocin na endorphins hupunguza:
โ€“ Maumivu ya kichwa
โ€“ Mgongo
โ€“ Kipandauso
โ€“ Dalili za baada ya hedhi (post-menopausal syndrome)

7. ๐‡๐ฎ๐ฉ๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ๐ณ๐š ๐ฆ๐ฌ๐จ๐ง๐ ๐จ wa ๐ฆ๐š๐ฐ๐š๐ณ๐จ

โœ” Kuendeleza tendo la mapenzi hutoa usingizi mnono.
โœ” Hupunguza shinikizo la damu na msongo wa mawazo.

8. ๐‡๐ฎ๐ฌ๐š๐ข๐๐ข๐š ๐ค๐ฎ๐ข๐ฌ๐ก๐ข kwa ๐ฆ๐ฎ๐๐š ๐ฆ๐ซ๐ž๐Ÿ๐ฎ

โœ” Kufanya mapenzi mara 2 kwa wiki huongeza homoni DHEA.
โœ” DHEA hufanya:
โ€“ Kuongeza kinga ya mwili
โ€“ Kutibu tishu zilizo haribika
โ€“ Kuimarisha kazi za ubongo
โ€“ Kuweka ngozi kuwa yenye afya
โ€“ Kupunguza msongo wa mawazo

9. ๐‡๐ฎ๐จ๐ง๐ ๐ž๐ณ๐š ๐ฎ๐ฉ๐ž๐ง๐๐จ

โœ” Ongezeko la homoni ya oxytocin huchochea mshik**ano, uaminifu, na unyenyekevu kwenye ndoa au uhusiano.

10. ๐‡๐ฎ๐จ๐ง๐ ๐ž๐ณ๐š ๐ฎ๐ฐ๐ž๐ณ๐จ wa ๐ค๐ฎ๐ณ๐š๐š

โœ” Kufanya mapenzi mara kwa mara huboresha shahawa za mwanaume.
โœ” Hii huongeza uwezekano wa kupata mtoto.

๐…๐Ž๐‹๐‹๐Ž๐–, ๐‹๐ˆ๐Š๐„ ๐๐€ ๐‚๐Ž๐Œ๐Œ๐„๐๐“ ๐’๐‡๐€๐‘๐„ ๐ˆ๐‹๐ˆ ๐ˆ๐–๐€๐…๐ˆ๐Š๐ˆ๐„ ๐–๐„๐๐†๐ˆ ๐๐€๐Ž ๐–๐€๐‰๐ˆ๐…๐”๐๐™๐„ ...

๐— ๐—ช๐—”๐—ก๐—”๐—จ๐— ๐—˜ ๐—ž๐—”๐— ๐—” ๐—จ๐—ก๐—” ๐—›๐—œ๐—ญ๐—œ ๐—–๐—›๐—”๐—ก๐—š๐—”๐— ๐—ข๐—ง๐—ข ๐—ก๐—” ๐—จ๐—ก๐—”๐—›๐—œ๐—ง๐—”๐—๐—œ ๐— ๐—ฆ๐—”๐—”๐——๐—” ๐—ช๐—” ๐—ž๐—œ๐—ง๐—”๐—•๐—œ๐—•๐—จ ๐—•๐—”๐—ฆ ๐—ก๐—œ๐—ง๐—”๐—™๐—จ๐—ง๐—˜
1. ๐—ž๐—จ๐—ช๐—”๐—›๐—œ ๐—ž๐—จ๐—™๐—œ๐—ž๐—” ๐—ž๐—œ๐—Ÿ๐—˜๐—Ÿ๐—˜๐—ก๐—œ
2.๐—ž๐—จ๐—ฆ๐—›๐—œ๐—ก๐——๐—ช๐—” ๐—ž๐—จ๐—ฅ๐—จ๐——๐—œ๐—” ๐—ง๐—˜๐—ก๐——๐—ข ๐—ž๐—ช๐—” ๐—ช๐—”๐—ž๐—”๐—ง๐—œ
3. ๐—จ๐—จ๐— ๐—˜ ๐—ž๐—จ๐—ฆ๐—œ๐— ๐—”๐— ๐—” ๐—Ÿ๐—˜๐—š๐—˜ ๐—Ÿ๐—˜๐—š๐—˜
4. ๐—จ๐—จ๐— ๐—˜ ๐— ๐——๐—ข๐—š๐—ข ๐—”๐—จ ๐—ž๐—œ๐—•๐—”๐— ๐—œ๐—”
5. ๐—จ๐—ฆ๐—œ๐—ก๐—š๐—œ๐—ญ๐—œ ๐— ๐—ญ๐—œ๐—ง๐—ข ๐—•๐—”๐—”๐——๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—ฅ๐—ข๐—จ๐—ก๐—— ๐—ฌ๐—” 1
๐—–๐—›๐—จ๐—ž๐—จ๐—” ๐—ก๐—”๐— ๐—•๐—” ๐—•๐—œ๐—ข...

๐๐ˆ๐€ ๐Š๐€๐Œ๐€ ๐”๐๐€ ๐‡๐ˆ๐™๐ˆ ๐‚๐‡๐€๐๐†๐€๐Œ๐Ž๐“๐Ž
1. ๐”๐“๐ˆ ๐’๐”๐†๐”
2. MIWASHO UKENI
3. KUTOKWA NA MAJI MACHAFU
4. HARUFU MBAYA UKENI
5. UKE KUWA MPANA SANA NA KUJAMBA
6. KUPATA MAUMIVU WAKATI WA TENDO NA KUKOSA HAMU YA TENDO
7. PID NA KUKOSA MIMBA
8. MVURUGIKO WA HOMONI n.k
NIPIGIE KUPATA SULUHISHO

0686 472 843

10/07/2026

Mwanaume hufurahia zaidi tendo la ndoa anapokutana na mwanamke mwenye sifa zinazochanganya utayari wa kihisia, ushirikiano, na afya ya mwili.Hapa kuna sifa kuu zinazomfanya mwanaume afurahie tendo kwa kiwango cha juu:

๐Ÿ’š1. Ushirikiano na Utayari (Active Participation)

โ˜บ๏ธKuwa mchangamfu: Mwanaume anafurahi sana akiona mwanamke anashiriki kikamilifu badala ya kukaa kimya au kutulia k**a "gogo."

๐Ÿ˜Kuonyesha hisia: Sauti za kimahaba (kuugulia kwa mbali) au maneno ya chini kwa chini humfanya mwanaume ajue kuwa mwenza wake anaburudika.

โ™ฅ๏ธKushika usukani: Mwanaume anavutiwa pale mwanamke anapochukua hatua ya kuanzisha tendo au kubadilisha mitindo (styles).

2. Usafi na Harufu Nzuri
๐Ÿ‘ŒUsafi wa mwili: Mwili uliooshwa vizuri na unaonukia unasisimua hisia kwa haraka sana.
๐ŸคšUsafi wa maeneo ya siri: Kuzuia harufu mbaya na kuweka maeneo hayo yakiwa safi kunampa mwanaume amani ya akili na uhuru wa kufanya lolote.

3. Kujiamini na Kukubali Mwili Wake (Body Confidence)

๐Ÿƒโ€โ™‚๏ธKutojiandama: Mwanaume havutiwi na mwanamke anayejishuku (k**a vile kuogopa kuzima taa kwa sababu anaona aibu juu ya unene, weusi, au makovu).

๐ŸคŒKujipenda: Mwanamke anayejiamini na kuonyesha anaupenda mwili wake humfanya mwanaume naye auvutie zaidi.

4. Maandalizi ya Kisaikolojia (Foreplay)

โ™ฅ๏ธKugusa maeneo ya hisia: Mwanamke anayejua jinsi ya kumwandaa mwanaume (kumpapasa, kumbusu, na kumfanyia masaji) humfanya mwanaume apandishe ashiki haraka.

๐Ÿ’›Maneno ya mahaba: Kumwambia mwanaume maneno ya kumsifu kabla na wakati wa tendo huongeza nguvu na hamu ya kufanya vizuri zaidi.

5. Afya na Kubana kwa Maumbile ya Siri

โ™ฅ๏ธMisuli imara ya uke (Kegel): Mwanamke mwenye misuli ya siri iliyokaza vizuri huleta msuguano mzuri unaompa mwanaume burudani kubwa.

โ™ฅ๏ธUnyevunyevu wa kutosha: Uke kutoa ute wa asili wa kutosha wakati wa ashiki hupunguza maumivu na kufanya tendo liende kwa ulaini.

โœ…๏ธKimsingi, mwanaume anafurahi zaidi anapoona kuwa mwanamke naye anafurahia tendo hilo kwa dhati, kwani furaha ya mwanamke humpa mwanaume amani na thibitisho la kiume.

Ukitaka, ninaweza kukueleza:
โœ…๏ธJinsi ya kufanya mazoezi ya kuimarisha misuli ya uke (Kegel)
โœ…๏ธJinsi ya kujenga maandalizi (foreplay) yanayovutia zaidi
โœ…๏ธNjia za kuongeza unyevunyevu wa asili mwilini

Tafadhali nifahamishe ni eneo gani ungependa tulizungumzie kwa undani zaidi!
WEKA MAONI YAKO KWENYE COMMENT

mwanaume hapendi mwanamke mwenye uke uliolegeauke mkavuuke unaotoa harufu
K**a unachangamoto hizi njoo nikusaidie WhatsApp 0686 472 843

Harufu ya kisamaki ni dalili kuu ya ugonjwa  wa Bacteria Vaginosis (BV)๐Ÿฆ  BACTERIAL VAGINOSIS (BV)1๏ธโƒฃ Maanaโœ“ Bacterial Va...
09/07/2026

Harufu ya kisamaki ni dalili kuu ya ugonjwa wa Bacteria Vaginosis (BV)
๐Ÿฆ  BACTERIAL VAGINOSIS (BV)
1๏ธโƒฃ Maana
โœ“ Bacterial Vaginosis ni maambukizi ya uke yanayotokea pale uwiano wa kawaida wa bakteria ukeni unapovurugika
Bakteria wabaya huongezeka na bakteria wazuri (Lactobacilli) hupungua
2๏ธโƒฃ Vyanzo / Sababu
โœ“ Kuosha uke ndani (douching)
โœ“ Matumizi ya sabuni au kemikali kali ukeni
โœ“ Kubadilisha wapenzi mara kwa mara
โœ“ Matumizi ya antibiotics bila ushauri wa mtaalamu
3๏ธโƒฃ Dalili
โœ“ Harufu kali ya samaki kutoka ukeni
โœ“ Uchafu wa uke mweupe au wa kijivu, mwembamba
โœ“ Harufu huongezeka baada ya ngono
โœ“ maumivu wakati wa kukojoa
4๏ธโƒฃ Madhara yake isipotibiwa
โš ๏ธ Kuongeza hatari ya kupata magonjwa ya zinaa
โš ๏ธ Hatari ya maambukizi ya mfuko wa uzazi (PID)
โš ๏ธ Kwa wajawazito: kujifungua kabla ya wakati na Mtoto kuzaliwa na uzito mdogo
โš ๏ธ Dalili kujirudia mara kwa mara
โš ๏ธ Usumbufu na harufu ya kudumu inayoathiri maisha ya kijamii( ndoa na mahusiano)

Mshauri wako nipo
0686 472 843
Dkt Magembe Uzazi

Address

Dodoma

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA YA UZAZI posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share