07/06/2018
Je? UNASUMBULIWA NA JINO /MENO KUUMA, KUTOBOKA, FIZI KUTOA DAMU, MADONDA YA MDOMONI,HARUFU MBAYA soma hii itakufaa sana.
Contact : 0625634602
Whatssap: 0672825917
Meno ni muunganiko wa mfupa wa jino, Fizi na Mishipa. Mara nyingi watu wengi huwa pale wanapoumwa na jino wanakimbilia kung’oa jino eti dawa ya jino kuling’oa jambo ambalo si kweli.
Tambua ndugu yangu kuwa unapokwenda kung’oa jino unang’oa Mfupa sio Fizi wala mishipa ambayo hakuna madhara kwa bakteria anaesababisha jino kuuma.
Tambua kuwa kwenye kinywa cha mwanadamu kuna bakteria wanaoishi mdomoni wanaitwa NORMAL FRALER. Bakteria hawa ndio wanaotengeneza ute wenye Acid unaolainisha chakula kwa haraka mdomoni. Na ndio kazi yao. Lakini wanasababisha ugonjwa unaoitwa GINGIVAITES, ugonjwa huu husababisha fizi kutoa damu haswa unapopiga mswaki, lakini ukiachwa ukawa sugu unasababisha ugonjwa wake kuwa sugu na hujulikana k**a MACHODIFECE ugonjwa huu husababisha na hufanya meno kuoza, ama kutoboka kutokana na bakteria AFINOTOBALASAD ndio wanaosababisha na huwa wanaingia ndani kwenye fizi kwa ajili ya kula damu. Hapo ndipo mtu hupatwa na tatizo la kuumwa na jino au meno.
Ili kuondoa tatizo hili, ni lazima uwaue hao bakteria na si kong’oa jino kwani wadudu hao walivyo unapong’oa jino moja wao huwa wanahamia jino jingine.
Meno huanza kuwa na shida pale ambapo mhusika anapokuwa amepata vitu vifatavyo:
Kuumia sehemu ya mdomo kwa kujigonga au kupata ajali
Kupata mashambulizi ya vijidudu k**a bacteria,fungus,virasi na vingine vingi
Kukaa muda mrefu bila kufanyia kinywa usafi k**a kuto kupiga mswaki mara kwa mara
Kubakia kwa masalia au punje ndogo ndogo kwenye meno kwa muda mrefu
Tiba ya Jino/Meno
1.kuuma,
2.kuvimba fizi,
3.meno kutoboka na
4.wengine fizi kutoa damu kwa muda mrefu bila
tiba .
Tiba ya jino linalouma, lililo toboka, fizi kuvimba na kuuma sio kung'oa
Kung'oa ni njia ya kutengeneza mazingira ya jino jingine kung'oa na kujikuta una maliza kung'oa meno yote
Wengine huenda wakabaki wanajiuliza sasa hapa tunafanyeje!! Tuwasiliane niweze kukushauri namna ya utuzaji wa meno na kudhibiti hiyo changamoto ya kung'oa jino bila kujua Call 0625634602 karibu na using'oe jino
BEI YA DAWA NI 19000TSHs