Tabibu Mabamba

Tabibu Mabamba Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Tabibu Mabamba, Kariakoo.

22/07/2026

I'm in the top 1% of Tabibu Mzigua Herb's fans. I earned 394 points on their weekly engagement list last week.

 :UMEIBIWA NYOTA YAKO UMEWEKA MSUKULE.Mwili bila ya nyota ni k**a nyumba isiyo na mlango.. Chochote kibaya na mikosi nuk...
29/06/2026

:UMEIBIWA NYOTA YAKO UMEWEKA MSUKULE.

Mwili bila ya nyota ni k**a nyumba isiyo na mlango.. Chochote kibaya na mikosi nuksi itaingia na kukuletea mikwamo na maradhi mwilini kwako.

Mtu aliyeiba nyota yako huchukua baraka zako na kukuachia mikosi na nuksi zake.

Pengine nyota sio neno geni kwenye masikio yako lakini maana halisi ndio inaweza kuwa haba akilini mwako.

Nyota ni zile code za mtu husika ambazo kila kiumbe kina code yake mbele ya Mungu. Lugha nyepesi ni namba za usajili ulizopewa na Mungu tokea ulipoumbwa paka utakapokufa.

Namba hizi ni mfano k**a wa ID ambayo humo ndani kuna kila kitu kinachokuhusu wewe na riziki zako na mambo yako yote katika neema na mitihani. Hii ndio maana ya nyota kwa ufupi.

Sasa wanachofanya wachawi ni kuingia kwenye hizi code zako na kuharibu ile mipango yako mizuri ambayo Mungu kakuwekea. Je wakati wanaharibu Mungu mwenyewe anakuwa hayupo?. Mungu anakuwepo na ndie anaekulinda.

Ila Mungu huwaacha ili akupe mtihani wewe kwasababu dunia hii ni chumba cha mitihani tu. Sasa anaacha ili akupe mtihani lakini yupo na anakulinda haachi wafanye yote wanayodhamiria.

Sasa ukigundua kuwa nyota yako imechezewa, imeibiwa, umepoteza nuru yako, mambo yako yamesimama au nuksi na mikosi kila kukicha ndio tiba ya kurudisha nyota yako. kuna aina nyingi za tiba. Kuna tiba za visomo na dawa pia, lakini usikae tu kwasababu wachawi wanatabia mbaya sana kadri unavyozidi kukaa ndio nao wanazidi kuongeza tatizo.

Dalili za kuchafuka nyota. Mambo kuharibika bila sababu. Kukimbiwa na watu bila sababu. Hela unayopata haifanyi maendeleo yoyote inapotea tu. Kufukuzwa kazi na kuchukiwa bila sababu nk. Hizi ndio habari za nyota.

WAL- NSAA Ni mafuta yalio-andaliwa kulinda (CODE YAKO) yaani nyota yako kile kibali cha baraka zako. K**a nyota yako imeibiwa au kufanyika hasadi imeshuka basi mafuta haya ya kipawa kikubwa cha kuimarisha nyota na kupandisha nyota kileleni.

Mafuta yana mchanganyiko wa mafuta za zaidi ya 07 na kisomo maalum za Rukyia kwa KUPANDISHA NYOTA..

Faida ya mafuta ya WAL-NSAA
1. Hurudisha bahati yako
2.Hupandisha nyota juu.
3.Kupendwa na kila mtu
4.Kufanikisha kila jambo
5.Huongeza mvuto mwilini.
6.Hufungua rizki

: Ni mafuta mazuri kwa wachimba migodi kupata bahati ya mali

: Pakaa usiku na mchana mwili mzima. Choma chumbani kwako.. Pia jifukize itakusaidia kurudisha Ufalme wako na bahati yako

MAFUTA YA WAL-NSAA-25000Tsh
MANZESE:DSM
WHATSAPP:+255 684 765 575
CONTACT CALL: 0758 673 897

✨  : KUOGA; NDIMU JUMATATU ASUBUHI 🍋Kesho Jumatatu Asubuhi! Kamulia ndimu 1/ 2/ 3 au Limao 1 kwenye maji yako ya kuoga. ...
28/06/2026

✨ : KUOGA; NDIMU JUMATATU ASUBUHI 🍋
Kesho Jumatatu Asubuhi! Kamulia ndimu 1/ 2/ 3 au Limao 1 kwenye maji yako ya kuoga. Nenda kaoge kuanzia kichwani mpaka miguuni kwenye unyayo. Kisha usijifute acha maji yakauke yenyewe malizia process zote.

⏰ Wakati: Kesho Jumatatu asubuhi ☀️ isizidi saa 2 Asubuhi

K**a unahitaji kweli mafanikio hakiki nisemayo.. K**a una miadi leo piga simu au Nenda kazini sasa.. 💰💰💸💸..

Utakuja kunishukuru baadae💥

🗣️ :
Waliowahi kujaribu watoe ushuhuda kwenye comment ⬇️

⚠️ :
- Oga bafuni 🛁
- USIJIFUTE ✨
-JIPAKAE MAFUTA YAKO

📢 :Kwa bidhaa za asili wasiliana na:Tabibu Faham Mwetemo : +255 684 765575 🌿 👏👏

 : KWANINI HUOTI / UKUMBUKI ULICHOOTA?Kawaida ya wachawi wakijua unaona vitu usiku hupambana kumfunga mtu anaeona kwasab...
27/06/2026

: KWANINI HUOTI / UKUMBUKI ULICHOOTA?

Kawaida ya wachawi wakijua unaona vitu usiku hupambana kumfunga mtu anaeona kwasababu huwa hawataki kabisa mtu aone mambo yao.

Kuona kupo kwa aina mbili kuna mtu anaona kabisa kwa macho wachawi na vituko vyao au vitu. Lakini kuna kuona ndotoni mtu huona wabaya kwa njia ya ndoto kote ni kuona.

Ukiwa mtu mwenye hali hizo kwako vita haziishi na watu wa baya. Ndio maana inashauriwa uwe mtu wa ibada sana na uwe na mtu anaejua hali hizo ili akusaidie ukikwama.

Baya zaidi wakikufunga hata hali za maisha hubadilika huwa ngumu ndio utasikia mtu akisema zamani nilikuwa naota vitu au naota na vitu vinakuwa kweli ila siku hizi sioni kitu. Hapo huwa ushafungwa siku nyingi lazima utafute tiba urudi kuwa sawa.

Unahitaji tiba sasa ufunguliwe
Channel yetu Tabibu Faham Mwetemo https://whatsapp.com/channel/0029Vb6dpGL8V0txCgvIxG1Z
WhatsApp:+255 684 765575
ASILI NI ASILI

MAJANI YA MGOMBA: SIRI KUBWA YA TIBA ASILIA 🌿  Majani ya mgomba yametumika kwa muda mrefu kwa sababu yana virutubisho na...
27/06/2026

MAJANI YA MGOMBA: SIRI KUBWA YA TIBA ASILIA 🌿

Majani ya mgomba yametumika kwa muda mrefu kwa sababu yana virutubisho na kemikali asilia nyingi. Hapa nimekakupangia vizuri ili usome na utumie kwa urahisi:

FAIDA 18 ZA MAJANI YA MGOMBA

👉Afya ya Ndani ya Mwili
1. Kifua & Kikohozi: Chai ya majani ya mgomba husaidia kupunguza matatizo ya kifua na kikohozi kisichoisha.
2. Cholesterol: Kunywa chai husaidia kudhibiti kiwango cha mafuta mabaya yaliyozidi mwilini.
3. Sukari ya Damu: Inatumika jadi kusaidia kusawazisha sukari kwa watu wenye changamoto ya kisukari.
4. Uzito: Inasaidia kupunguza uzito na kuboresha jinsi mwili unavyotumia sukari.
5. Tumbo: Ni msaada mzuri kwa kuhara, gesi tumboni, na maumivu ya ndani ya tumbo.
6. Tezi Dume: Inaaminika kusaidia matatizo yanayohusiana na tezi dume.
7.Nguvu za Kiume: Inatajwa kusaidia wanaume wenye changamoto za nguvu za kiume.

👉Afya ya Ngozi & Uso
8. Mzio & Muwasho: Majani yakioshwa, yakasagwa, hupakwa kwenye ngozi yenye mzio.
9. Scrub ya Asili: Ukisaga na kuchanganya na maji kidogo, husafisha uso na kuondoa uchafu uliojificha.
10. Chunusi & Ngozi: Ina Vitamin C nyingi, hivyo hupunguza chunusi na kuboresha ngozi. Pia hupunguza dalili za kuzeeka mapema.
11. Majeraha: Yakisagwa hupakwa kwenye majeraha madogo kupunguza maumivu na kuzuia bakteria.
12. Kuuma na Mdudu: Yakisagwa na kupakwa sehemu iliyoumwa hupunguza maumivu na muwasho.

Afya ya Nywele & Mdomo
13.Nywele: Maji ya majani yaliyochemshwa yakipakwa kichwani husaidia kuimarisha, kurefusha na kuzuia nywele kukatika.
14. Meno & Ufizi: Kutafuna majani mabichi husaidia maumivu ya jino, vidonda vya ufizi na harufu mbaya mdomoni.

: Juisi ya ndizi yenyewe inasaidia bawasiri, afya ya figo na kupunguza mafuta moyoni. Pia, mizizi ya mgomba ikichemshwa inasaidia wanawake wenye changamoto za hedhi au majimaji sehemu za siri.

NAMNA MBILI ZA KUTENGENEZA CHAI YA MGOMBA

👉Njia ya Kwanza - Kuchemsha Maji Kwanza
1. Chemsha glasi 4 za maji kwa dakika 15-20 mpaka zitokote.
2. Weka majani 10-15 ya mgomba kwenye maji ya moto.
3. Funika, acha kwa dakika 10-15. Koroga, chuja. Chai iko tayari.

👉Njia ya Pili - Kuchemsha Pamoja*
1. Weka majani ya mgomba moja kwa moja kwenye maji.
2. Chemsha kwa dakika 15-20. Ondoa moto, acha dakika 10-15, kisha chuja.
3. : Tumia majani yaliyokaushwa na kusagwa - kijiko 1 cha chakula kwenye glasi ya maji ya moto.

👉 Ushauri wa Tabibu: Ongeza asali mbichi badala ya sukari kuongeza ufanisi.

MAPISHI MAALUM YA NJE

👉Kwa Nywele Zinazokatika
Chemsha majani, acha yapoe. Paka kichwani, sugua taratibu kwa dakika 15. Acha kwa dakika 30 kisha osha kwa maji safi bila sabuni. Rudia mara 3 kwa wiki.

👉Kwa Kupunguza Uzito
Fanya kunywa chai ya majani ya mgomba mara kwa mara k**a sehemu ya mtindo bora wa maisha.

Chanzo: Tabibu Faham Mwetemo
WhatsApp: +255 684 765 575

 : SIRI KUBWA NI MAAJABU JANI LA KISAMVU SIO MBOGA TU.Katika Asili Kila kinachokuzunguka kinaweza kua na faida kwako kut...
26/06/2026

: SIRI KUBWA NI MAAJABU JANI LA KISAMVU SIO MBOGA TU.
Katika Asili Kila kinachokuzunguka kinaweza kua na faida kwako kutegemea na jinsi unavyokipokea na kukitumia kitu hicho..💥 Uleta mvuto, kuona wachawi nk

Naamini mti wa muogo wengi tunafahamu majani yake tunatumia k**a mboga na muogo wengine wanatumia kuchemsha na kukaanga ili kujipatia chakula/ kiwe kisamvu cha mpira au kisamvu cha muogo vyote tiba

👉Maelekezo
√Kumfungua mke au mumeo
Chukua kipande mti wa muhugo/kisamvu kifunge chini ya chaga kiambatanishe na mbao chaga kwa kunuia akichepuka k**a mume hasimaami k**a mke hawala wake hawezi simamisha💥💥💥

√ ukichukua majani ya kisamvu ukaponda ponda kikirainika chuja upate maji yake ukanywa usaidia sana wale wasio ziona siku zao {hedhi) kwa mda mrefu basi iyo usaidia sana

√ maji ya kisamvu na mfunguo ukipaka usoni basi wachawi unawaona live k**a wamekuja kwako isifanye ivyo k**a una kinga ya mwili

√ Na ukaponda ponda majani ya kisamvu na majani mgomba mpaka yalainike ukapakaa maji yake mwili mzima basi wachawi watokuona kabisa

√ Miti wa muogo ukauvunja kwa mkono wa kushoto ukashika kipande kidogo mkono wa kushoto basi utokutana na vitisho vya wabaya njiani hii kwa wale wanaozulula usiku itakusaidia au kuendesha magari makubwa.

√ Ukachukua majani ya kisamvu ukaponda ponda kwenye kinu ukimaliza chuja upate Maji yake ujazo wa k**a Lita moja kisha weka chumvi mawe ukayaifadhi ndani sehemu nzuri siku tatu ya NNE ukayatumia kwenye maji ya kuongea ukaweka kiasi ukaenda kuoga tumia ndani ya siku tatu basi utaleta mvuto wa ajabu utapendwa na kila lika

Faida zingne tutaziongelea katika madarasa yajayo

Usisahau kufollow page yetu ya Tabibu Faham Mwetemo +255 684 765 575
ASILI NI ASILIA

  : Leo Ijumaa Mchana, Tekeleza jukumu hili mara moja Usicheze na chapisho hili tafadhali jaribu na ufanye hivi na uthib...
26/06/2026

: Leo Ijumaa Mchana, Tekeleza jukumu hili mara moja Usicheze na chapisho hili tafadhali jaribu na ufanye hivi na uthibitishe ninachosema Utaifanya hii ZOEZI IJUMAA MCHANA, JUMATATU JIONI & JUMATANO ASUBUHI 💥

Nenda kanunue karafuu, kitunguu swaumu na chumvi ya mawe.

Mojawapo ya njia bora ya kumaliza ugumu na umaskini haraka ni kutumia karafuu na vitunguu swaum pamoja na chumvi ya mawe hufanya kazi vizuri sana na haraka.

👉Ponda kisha Changanya vyote pamoja ndani ya maji yako ya kuoga omba nia yako ndani yao na utumie kuoga au osha nyuso na mikono yako. Neema na mafanikio vitatiririka kila wakati katika maisha yako Ushuhuda ni hakika 💯..

Fanya hivi jioni ya leo kabla ya kulala na usiukaushe mwili wako unaweza kutumia sabuni ukaoga ukimaliza unaoga dawa hii unapooga uwe unasema nia yako tafadhali usitumie taulo baada ya kuoga ukimaliza nenda kalale uone maono yako✍️

: OGA BAFUNI & USIJIFUTE.
Nenda kwenye shughuli zako.. Au nenda katafute kazi baraka iko kwako innshallah

Follow Tabibu Faham Mwetemo kwa mahitaji dawa silia zilizo tayari piga +255 684 765 575

ASILI NI ASILI

 :SIRI KUBWA YA MAJANI YA MPAPAI. UNAWEZA KUWA SULUHISHO LA CHANGAMOTO ZAKOKatika Asili Kila kinachokuzunguka kinaweza k...
26/06/2026

:SIRI KUBWA YA MAJANI YA MPAPAI. UNAWEZA KUWA SULUHISHO LA CHANGAMOTO ZAKO

Katika Asili Kila kinachokuzunguka kinaweza kua na faida kwako kutegemea na jinsi unavyokipokea na kukitumia kitu hicho..💥

Tumezoea kutumia mpapai k**a tunda na chakula lakini wengi wetu hatujui faida zaidi na Leo nawaletea baadhi ya faida na namna ya kuzitumia

🔶HUONDOA SUMU YA KUNG'ATWA NA NYOKA
Chuma majani ya mpapai yatwange yakilainika, chanya sehemu uliyong'atwa Kwa kukizunguka kidonda Kisha kamulia maji ya mpapai katika sehem uliyochanja. Kusikia maumivu Zaidi au kidonda kuvuta ni dalili za kuondoa sumu hiyo

🔶MTOTO WA JICHO
Andaa majani machanga ya mpapai, yatwange Kisha majimaji pakaa ktk kope za macho Yako.

🔶KIDONDA
Chukua majani ya mpapai yatwange maji yake kamulia sehem yenye kidonda

🔶GESI & KIUNGULIA
Pendelea kunywa juisi ya majani ya mpapai

🔶VIDONDA VYA TUMBO
Tengeza juisi kwa kunywa kwa dalili ya vidonda vya tumbo

🔶TATIZO LA TUMBO / KUHARISHA
Chukua majani ya mpapai yasage unywe juisi yake

🔶KINGA YA MAMA MJAMZITO
Chukua mzizi wa mpapai uchemshe unywe maji yake kidogo au pendelea kuchemsha mizizi yake uogee
K**a siku za kujifungua zimefika lakini huoni dalili za kujifungua. Andaa mzizi wa mpapai ukate vipande Kisha andaa yai la kuku wa kienyeji weka maji katika chombo chemsha Kwa pamoja unywe hayo maji.

🔶MVUTO MWILI
Tumia majani ya mpapai kuchemsha na maji yake ogea Ila Sio chooni pia andaa maua ya mpapai yakaushe juani yasage changanya ktk mafuta Yako ya kupakaa uwe unapaka.

🔶MBEGU ZINA FAIDA NYINGI
k**a kuongeza hamu ya tendo na nguvu hasa ukitumia pamoja na mbegu za tikitiki maji

Faida zingine tutaziongelea katika madarasa yajayo

Usisahau kufollow page yetu ya Tabibu Faham Mwetemo +255684 765 575
ASILI NI ASILI

Address

Kariakoo

Telephone

+255684765575

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tabibu Mabamba posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Tabibu Mabamba:

Shortcuts

Share