Uric Acid Tiba

Uric Acid Tiba Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Uric Acid Tiba, Medical and health, kimara, Kimara.

๐—ง๐—”๐—ง๐—œ๐—ญ๐—ข ๐—Ÿ๐—” ๐—ž๐—จ๐—ญ๐—œ๐——๐—œ ๐—ž๐—ช๐—” ๐—ž๐—œ๐—ช๐—”๐—ก๐—š๐—ข ๐—–๐—›๐—” ๐—”๐—–๐—œ๐—— ๐—ง๐—จ๐— ๐—•๐—ข๐—ก๐—œ ๐Ÿ‘‡- Ni hali inayotokana na kuzid kwa kiwango cha Acid tumboni (๐‡๐ฒ๐๐ซ๐จ๐œ๐ก๐ฅ๐จ๐ซ๐ข๐œ...
10/02/2024

๐—ง๐—”๐—ง๐—œ๐—ญ๐—ข ๐—Ÿ๐—” ๐—ž๐—จ๐—ญ๐—œ๐——๐—œ ๐—ž๐—ช๐—” ๐—ž๐—œ๐—ช๐—”๐—ก๐—š๐—ข ๐—–๐—›๐—” ๐—”๐—–๐—œ๐—— ๐—ง๐—จ๐— ๐—•๐—ข๐—ก๐—œ ๐Ÿ‘‡
- Ni hali inayotokana na kuzid kwa kiwango cha Acid tumboni (๐‡๐ฒ๐๐ซ๐จ๐œ๐ก๐ฅ๐จ๐ซ๐ข๐œ ๐€๐œ๐ข๐) ambapo hupelekea kupanda kwa acid kutoka tumboni kuelekea katika koo la Chakula (๐Ž๐ž๐ฌ๐จ๐ฉ๐ก๐š๐ ๐ฎ๐ฌ) na kupelekea kudhurika kwa mfumo wa chakula upande wa juu ambao unahusisha koo la chakula na mdomo pia.

Watu wengi sana wanasumbuliwa na tatzo hili bila wao kujua wanasumbuliwa na tatizo hili na hufikia hatua wengine kudhani wamerogwa kutokana na dalili ya tatzo hili.

๐——๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ญ๐—” ๐—ž๐—จ๐—ญ๐—œ๐——๐—œ ๐—ž๐—ช๐—” ๐—ž๐—œ๐—ช๐—”๐—ก๐—š๐—ข ๐—–๐—›๐—” ๐—”๐—–๐—œ๐—— ๐—ง๐—จ๐— ๐—•๐—ข๐—ก๐—œ๐Ÿ‘‡
โœ๏ธ Kuwaka moto kifuani(Kiungulia) hasa wakati wa usiku au unapolala, hali hii hutokea pia mara baada ya kula.
โœ๏ธ Mapigo ya moyo kwenda mbio/kushtuka kwa moyo baadhi ya nyakati.Hali hii hupelekea baadhi ya watu kuhisi wana matatizo ya moyo.
โœ๏ธ Kuhisi k**a kichwa kimevurugika na kuhisi kuchanganyikiwa.
โœ๏ธ Kusahau mara kwa mara hata vitu vya kawaida kabisa/Kupungua kwa kumbukumbu.
โœ๏ธ Kujisaidia choo kigumu k**a cha mbuzi.
โœ๏ธ Kuwa na wasiwasi na hofu kubwa na hufikia hatua hata ukipigiwa simu hasa nyakati za usiku moyo huanza kwenda mbio na kujawa na wasiwasi mkubwa.
โœ๏ธ Kukosa usingizi ama kushtuka mara kwa mara kutoka usingizini.
โœ๏ธ Kupumua kwa tabu baadhi ya nyakati.
โœ๏ธ Kupata maumivu ya kichwa ya mara kwa mara kwa baadhi ya watu wenye tatizo hili.

๐— ๐—”๐— ๐—•๐—ข ๐—ฌ๐—”๐—ก๐—”๐—ฌ๐—ข๐—ช๐—˜๐—ญ๐—” ๐—ž๐—จ๐—–๐—›๐—ข๐—–๐—›๐—˜๐—” ๐—ง๐—”๐—ง๐—œ๐—ญ๐—ข ๐—Ÿ๐—” ๐—ž๐—จ๐—ญ๐—œ๐——๐—œ ๐—ž๐—ช๐—” ๐—”๐—–๐—œ๐—— ๐—ง๐—จ๐— ๐—•๐—ข๐—ก๐—œ ๐Ÿ‘‡
๐Ÿ€ Uvutaji wa sigara
๐Ÿ€ Unywaji wa pombe
๐Ÿ€ Utumiaji wa vyakula au Vinywaji Vyenye Caffeine k**a vile Kahawa, Chocolate, Soda.
๐Ÿ€ Kula vyakula vyenye mafuta mengi/vyakula Vilivyokaangwa
๐Ÿ€ Kula chakula kingi kupita kiasi ama kula usiku sana.
๐Ÿ€ Kutumia baadhi ya Madawa k**a vile (๐€๐’๐๐ˆ๐‘๐ˆ๐)
๐Ÿ€ Ngiri ya kifua pia Husababisha ๐†๐„๐‘๐ƒ lakini pia ๐†๐„๐‘๐ƒ Huweza kisababisha Ngiri ya Kifua(Huatal hernia)

08/02/2024
MADHARA YA URIC ACIDUric Acid ni kemikali ya asilia ambayo inapatikana katika mwili wa binadamu. Kemikali hii hupatikana...
08/02/2024

MADHARA YA URIC ACID

Uric Acid ni kemikali ya asilia ambayo inapatikana katika mwili wa binadamu. Kemikali hii hupatikana baada ya kuvunjwa vunjwa kwa vyakula ambavyo ndani yake kuna kundi la kemikali aina ya โ€œPurineโ€ ambayo baada ya kuvunjwa ndipo huzalisha kitu kinachojulikana k**a โ€œUric Acidโ€.

Katika mwili wa binadamu, kiwango ambacho ni cha kawaida mtu kuwa nacho ni 2.4-6.0 mg/dL (kwa mwanamke) na 3.4-7.0 mg/dL (kwa mwanamme). Kiwango cha uric acid mwilini hupimwa kwa kutumia njia ya damu.

Kiwango hiki endapo kitazidi mwilini kitasababisha matatizo mwilini na hasa katika maeneo ya mwili ambayo ni maungio ya mifupa/jointi.

Katika maungio ya mifupa au jointi, mtu atapatwa na maumivu makali, kuvimba na kubadilika kwa umbile la maungio ya mifupa na kuwa k**a kumepinda. Hali hii kitaalamu au ugonjwa hujulikana k**a โ€œGoutโ€.

Pia kuzidi kwa kiwango cha uric acid mwilini kinaweza kuwa ni dalili ya magojwa k**a vile magonjwa ya ini, figo pamoja na saratani. Mwilini kemikali hii ya asilia hutolewa kupitia njia ya mkojo k**a urea, tofauti na wanyama wengine au ndege ambao wao kemikali hii hutolewa kupitia kinyesi na wakati mwingine imekuwa na muonekano k**a chokaa na kuchanganyika na kinyesi mfano cha kuku.

Upatikanaji wa uric acid mwilini ni kupitia ulaji wa vyakula k**a vile maharagwe yaliyokaushwa, maini, figo pamoja na baadhi ya vyakula vya baharini au seafood (sardines pamoja na tuna). Pamoja na vyakula, pia uric acid mwilini hupatikana baada ya matokeo ya seli hai za mwili kuvunjika (seli kufa na kutengeneza purine ambazo nazo huvunjika na kutengeneza Uric Acid).

Kwa kuwa kiwango kikubwa cha uric acid kinasababisha matatizo ya kiafya, ni vyema kufahamu ni namna gani ambavyo mtu anaweza kuenenda ili kuhakikisha kuwa kiwango cha uric acid katika mwili kinakuwa siyo cha kuweza kusababisha matatizo ya kiafya.

Miongoni mwa njia za kutumia katika kurekebisha kiwango cha uric acid mwilii ni kuepuka vyakula ambavyo vina kiasi kikubwa cha โ€œPurineโ€ ambayo ndiyo hupelekea kupatikana kwa uric acid. Vyakula hivyo vya kuepuka ni pamoja na maini, figo pamoja na baadhi ya vyakula vya baharini k**a vilivyotajwa hapo juu. Pia ni vyema kutumia vyakula ambavyo vina kiasi kikubwa cha virutubisho pamoja na vitamin ambavyo kiafya vinasaidia katika kuondoa sumu mwilini.

Virutubisho na vitamini ambazo husaidia katika kurekebisha kiwango cha uric acid mwilini ni pamoja na vitamin B6, Vitamin C, madini ya magnesium. Haya hupatikana katika matunda k**a vile ndizi mbivu, machungwa, matikiti maji, maembe pamoja na mananasi. Pia juisi la limao katika mwili husaidia katika kutengeneza chumvi aina ya calcium carbonate ambayo husaidia kuyeyusha au (Neutralize) tindikali asilia mwilini (Uric acid).

*ACIDIC REFLUX au KUCHEUA TINDIKALI NI NINI?.* *Kuna hali* inaweza kukutokea ambapo *utasikia kiungulia, uchungu mdomoni...
08/02/2024

*ACIDIC REFLUX au KUCHEUA TINDIKALI NI NINI?.*

*Kuna hali* inaweza kukutokea ambapo *utasikia kiungulia, uchungu mdomoni, kupata shida katika kumeza au kusikia k**a chakula kinakwama kwenye koo au pengine matatizo mengine.* Ni tatizo ambalo linaweza kukutokea muda wo wote lakini mara mara nyingi *litakusumbua zaidi baada ya kula na kuwa zito zaidi pale unapoingia kitandani kulala hadi pengine kusababisha ukakosa kupata usingizi mzuri.* Katika ukurasa huu tutalizungumzia tatizo hili ambalo *kitaalamu huitwa chronic acid reflux au gastroesophageal reflux disease.* Kwa lugha yetu tunaweza kuliita tatizo la kucheua tindikali.

*Kucheua Tindikali Maana Yake Nini?*
๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

*Kucheua tindikali (gastroesophageal reflux disease, au chronic acid reflux) ni hali ambapo mchanganyiko wa chakula wenye tindikali uliopo tumboni kila wakati hupanda juu kupitia umio (esophagus).* Hali hii hutokea kwa sababu vali iliyopo unapoishia umio, lower esophageal sphincter, haifungi vizuri chakula kinapokuwa kimeingia tumboni. *Tindikali, kwa hiyo, hupanda kupitia umio kuingia kooni na kisha mdomoni, na kukufanya usikie ladha ya uchungu.*

Kucheua tindikali na kupata kiungulia, kwa wakati fulani, ni kitu cha kawaida. *Lakini unapopatwa na tatizo hili zaidi ya mara mbili kwa wiki kwa kipindi cha wiki kadhaa mfululizo, na unatumia dawa za kiungulia na antacids na dalili zinakurudiarudia, unaweza kuwa na gastroesophageal reflux disease (GERD).*

*Kumbuka๐Ÿค;* *Ukishakuwa na GERD unahitaji tiba ya mtaalamu, kwa sababu GERD huweza kuleta matatizo makubwa zaidi ya kiafya.*

*DALILI ZA ACIDIC REFLUX;*

*1. Dalili kuu za acid reflux ni kiungulia na kucheua tindikali.*
Watu wengine wana acid reflux bila kiungulia.
*2. Wengine anasikia maumivu kwenye kifua,*

*3. Sauti ya kukwaruza asubuhi au matatizo ya kumeza.*

*4. Unaweza kuhisi kuwa chakula kimekwama kwenye koo, au k**a unakosa pumzi au koo limekabwa.*
*5. Kuhisi uvimbe kwenye koo wakati hakuna uvimbe*
*6. Husababisha kikohozi kikavu au kutoa harufu mbaya kinywani.*

*7. Ukiona kiungulia na kucheua tindikali vinakusumbua kila baada ya muda mfupi -utando laini juu ya umio unaunguzwa kila wakati na tindikali kutoka tumboni.* Hatimaye utando huu huharibika. Tatizo hili likiwa sugu, tabia zako za ulaji na kulala vitabadilika.

Watu tofauti huathirika kwa namna tofauti na acid reflux. *Dalili ambazo huwatokea wengi ni๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡:*

โœ๏ธ. Kuhisi uvimbe kwenye koo
โœ๏ธ. Kiungulia
โœ๏ธ. Kucheua chakula
โœ๏ธ. Hisia kwamba chakula kinakwama kooni
โœ๏ธ. Kukohoa
โœ๏ธ. Maumivu ya kifuani
โœ๏ธ. Shida wakati wa kumeza
โœ๏ธ. Kutapika
โœ๏ธ. Kukauka koo na sauti kukwaruza.

*Watoto wadogo wanaweza kupata dalili hizo hizo, k**a๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡:*

๐Ÿ—ฃ๏ธ. Vipindi vifupi vya kutapika vya mara kwa mara
๐Ÿ—ฃ๏ธ. Kulia kupita kiasi, kukataa kula (watoto na vichanga)
๐Ÿ—ฃ๏ธ. Matatizo mengine ya upumuaji
๐Ÿ—ฃ๏ธ. Ladha ya tindikali ya mara kwa mara, hasa ukiwa umelala
๐Ÿ—ฃ๏ธ. Koo linalokwaruza
๐Ÿ—ฃ๏ธ. Kusikia kukabwa ambako kunaweza kumwamsha mtoto
๐Ÿ—ฃ๏ธ. Harufu mbaya akipumua
๐Ÿ—ฃ๏ธ. Shida ya kulala baada ya kula, hasa kwa watoto.

*ACIDIC REFLUX HUSABABISHWA NA NINI??.*

*Acid reflux husababishwa na udhaifu au kulegea kwa vali ya chini ya umio (lower esophageal sphincter).*

Kwa kawaida vali hii hufunga kikamilifu mara baada ya chakula kuingia tumboni. *Lakini ikijilegeza wakati ambapo haitakiwi, mchanganyiko wa chakula wa tumboni hupanda kwenye umio, na kusababisha acid reflux.*

*Vipengele ambavyo vinavyosababisha hali hii kutokea ni pamoja na๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡:*

*1. Msukumo mkubwa mno kwenye tumbo.* Baadhi ya wanawake wenye ujauzito hupata kiungulia karibu kila siku kwa sababu ya mwongezeko wa msukumo
*2. Aina fulani za chakula (k**a bidhaa za maziwa, chakula kilichojaa viungo au kilichokaangwa) na tabia za kula*

*3. Dawa zikiwa ni pamoja na dawa za asthma, high blood pressure na mzio, pia dawa za kuzuia maumivu, sedatives na anti-depressants.*

4. Hiatal hernia.
*5. Kutofanya mazoezi na mafuta mengi mwilini.*

*Unaweza Kufanyaw Nini Kuzuia Acid Reflux?*


*1. Uweke mwili wako kwenye uzito unaofaa(Punguza uzito)*
*2. Kula chakula kidogo, mara nyingi badala ya milo michache mikubwa*
*3. Jaribu kupunguza mafuta kwa kupunguza siagi, mafuta na bidhaa za maziwa*

*4. Kaa wima wakati wa kula na dumisha mkao au simama wima kwa dakika 45 hadi 60 baadaye*

*5. Acha kulala mara baada ya kula. Kaa angalau saa 3 baada ya kula ndipo ulale*
6. Acha kuvaa nguo zinazobana maeneo ya tumbo. Zinaweza kulibana tumbo na kukamua tindikali ya tumboni ipande kwenye umio
*7. Ulalapo nyanyua kichwa cha kitanda chako nchi 6 hadi 8, kwa kutumia vipande vya mbao. Mito mikubwa haifai.*
8. Acha uvutaji wa sigara
*9. Unaweza kushauriwa kutumia antacids. Fuata maelekezo ya wataalamu wa afya.*

*10. Acha kula chakula kinachosababisha acid reflux.*

*MATIBABU YA KUDUMU YA KIUNGULIA.*

Kuhusu matibabu tunatibu chanzo na kutokomeza kabsa tatizo la acidic reflux, *fika ofisini kwetu maana kila mkoa tuna ofisi zetu au wasiliana nasi kupitia namba za ofisi 0750155946

08/02/2024

๐——๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ญ๐—” ๐—ฉ๐—œ๐——๐—ข๐—ก๐——๐—” ๐—ฉ๐—ฌ๐—” ๐—ง๐—จ๐— ๐—•๐—ข (๐—จ๐—น๐—ฐ๐—ฒ๐—ฟ๐˜€)๐Ÿ‘‡
๐Ÿ€ Kichefu chefu hasa Wakati wa kula au baada ya kula
๐Ÿ€ Kupoteza Hamu ya kula na kubagua Vyakula
๐Ÿ€ Tumbo Kuwaka Moto
๐Ÿ€ Tumbo Kuunguruma
๐Ÿ€ Gesi nyingi Tumboni
๐Ÿ€ Kiungulia Mara Kwa Mara
๐Ÿ€ Tumbo Kuuma Ukichelewa kula au baada ya kula na hasa ukila vyakula vya Mafuta, kukaanga na fast food zote au vyenye viungo sana
๐Ÿ€ Kucheua sana hasa vitu vichachu au Vichungu
๐Ÿ€ Kukaukiwa sana maji kwenye Koo
๐Ÿ€ Kuishiwa Nguvu Unapokosana na vitu Fulani
๐Ÿ€ Kupoteza fahamu
๐Ÿ€ Kuumwa Kichwa mara kwa mara
๐Ÿ€ Macho kuuma na kupoteza uono
๐Ÿ€ Vichomi kifuani na kuumwa kifua
๐Ÿ€ Kubanwa pumzi
๐Ÿ€ Kukosa choo na kupata choo kigumu (Constipation)
๐Ÿ€ Kumwa Mgongo Upande wa Kushoto na Mbavu
๐Ÿ€ Moyo Kulipuka, Kuchoma, na Mapigo ya Moyo kwenda Mbio
๐Ÿ€ Kupata Hofu isiyo na Sababu Yoyote hasa Usiku
๐Ÿ€ Kukosa Hamu ya Tendo la Ndoa na Kushindwa Kuhimili vizuri Tendo kwa Jinsia Zote

๐—ž๐—ช๐—” ๐—ง๐—œ๐—•๐—” ๐—ก๐—” ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ ๐—ญ๐—”๐—œ๐——๐—œ
Tembelea Ofisi Zetu Zilizopo Nchi Nzima au Tupigie Sasa Kupitia

โ˜Ž๏ธ0750155946

*TIBA YA URIC ACID IMEPATIKANA* MSHAURI MAKINI ZIJUE DALILI ZA URIC ACID โ€ข Mchomo au maumivu katika tumbo, 1-4 masaa baa...
08/02/2024

*TIBA YA URIC ACID IMEPATIKANA*
MSHAURI MAKINI

ZIJUE DALILI ZA URIC ACID
โ€ข Mchomo au maumivu katika tumbo, 1-4 masaa baada ya mlo
โ€ข maumivu ya kifua
โ€ข Kiungulia cha Muda mrefu
โ€ข Uvimbe katika kifua
โ€ข Kuhisi njaa mara kwa mara
โ€ข Daima maumivu katika tumbo la juu
โ€ข Kucheua
โ€ข Kichefuchefu
โ€ข Kuona Uchungu ladha katika kinywa
โ€ข Kupoteza hamu ya kula
โ€ข Kutapika
โ€ข Kukohoa
โ€ข Sauti ya mabadiliko na malezi ya kidonda katika umio (tube kuunganisha kinywa na tumbo)
โ€ข Maumivu ya sehemu za misuli ya mwili

SABABU ZA ACIDITY
โ€ข Uvutaji wa sigara kwa wingi
โ€ข Kunywa pombe kupita kiasi
โ€ข Vidonda vya tumbo
โ€ข kuzidi kwa asidi ya tumbo
โ€ข Kutokula kwa wakati
โ€ข Kula kukaanga na viungo vya chakula mara kwa mara
โ€ข Matatizo katika utendaji wa mfumo wa mmeng'enyo wa chakula tumboni
โ€ข Kukaa na njaa kwa muda mrefu au kuto kula chakula cha Asubuhi
โ€ข Kula vyakula vingi vya mafuta, k**a chocolates
โ€ข kuwa na Mimba kunasababisha asidi pia.
โ€ข kuzeeka
โ€ข Utokaji yatokanayo na jua na joto
โ€ข Muafaka wa chakula tabia
โ€ข kuwa hisia mbaya
โ€ข Udhaifu wa mishipa ya mwilini

TUNATIBU NA VIDONDA VYA TUMBO NDANI YA SIKU 15 MPAKA 60 na CHANGAMOTO YA MIFUPA NA MAUNGIO KWA KUGUSA CHANZO CHA TATIZO

TIBA INAPATIKANA NA MATOKEO NI KWANZIA SIKU TATU TIBA NI YA MWEZI MZIMA
K**A UPO SERIOUS UNAHITAJI TIBA PIGA SIMU KWA NAMBA YA OFFICE
USISUBIRI MAUMIVU YAWE MAKUBWA TIBU MAPEMA UPONE MAPEMA

TUNAPTIKANA DAR ES SALAAM KIMARA STOP OVER KWA USHAURI NA TIBA PIGA

Whatsapp number+255750155946
Tell:0673578448

Address

Kimara
Kimara
321

Telephone

+255750155946

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Uric Acid Tiba posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Uric Acid Tiba:

Share