18/04/2026
NDOTO YA LIGI KUU INANUKIA! ⭐
Kila hatua tunayopiga sasa hivi ni kwa ajili ya kitu kimoja tu: LIGI KUU! Ushindi wa leo ni salamu tosha kwa wapinzani wetu kwamba Songea United haina utani msimu huu. Tunataka kuona soka la daraja la juu likirudi nyumbani! 🏟️🙌
Wana-Songea na mashabiki wa timu yetu kote nchini, nani ana imani kuwa msimu ujao tunapanda daraja? Gonga LIKE na useme "AMEN" kwenye komenti! 👇🔥
🇹🇿⚽