AFYAuniverse

AFYAuniverse Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from AFYAuniverse, Health & Wellness Website, MASIKA, Morogoro.

DONDOOO: Picha hii umeiyona vizuri  ?Ni picha ya nini ?Vyema k**a umesema ni Bamia ! Ila unajua kuwa ukipika Bamia zikao...
13/06/2020

DONDOOO:

Picha hii umeiyona vizuri ?
Ni picha ya nini ?
Vyema k**a umesema ni Bamia ! Ila unajua kuwa ukipika Bamia zikaondoa ule ujani haya kidogo tayari unakuwa umeziharibu na hivyo zikifika tumboni hazifanyi kazi ipasavyo ndio maana wengine huzitafuna zikiwa mbichi kwa faida ya mwili na afya zao.

Mimi nitakupa siri mhimu kwanini ule Bamia mbichi au zilizopashwa kwenye moto kidogo.
*1/Kwanza ukichukua majani ya Bamia ukayachoma kwenye moto na ukachukua yale majivu unapaka kwenye ngozi au kidonda ni tiba ya vipele vya jasho na allergy ya ngozi ?

*2/ Pili ukichukua Bamia mbichi ukawa unatafuna + mdimu kila siku asubhi k**a alikuwa na kinyama kwenye mlango wa choo (Bwawasiri) kanakauka kenyewe.

*3/ Tatu k**a unaujauzito na unapanga siku ya kujifungua usipate shida ya mtoto kupita kula sana mrenda wa Bamia kila siku.

*4/ Nne k**a wewe ni mwanaume na manii yako ni mepesi mfano wa maji maji hayana nguvu kula Bamia + karanga(korosho) wiki tatu nyingi sana utaona na shudu nzito ambazo zikiingia popote zinatungisha mimba.

*5/ Tano k**a wewe ni mtu mwenye vidonda au hauna vidonda vya tumbo na unataka usije kuvipata kula kwa wingi Bamia ule mrenda wake unazuia hadi saratani ya tumbo.

*6/ Sita K**a wewe ni mwanamke na uke wako ni mkavu sana, hivyo kwenye ndoa unachubuka na kuumia kula Bamia utashanga unavyoburudika changanya na nyanya ntole kwa mbali kula.

*7/ Saba k**a alikuwa hujui Bamia pia inasaidia kuongeza Cd4 na zingine Cd8 k**a alikuwa hujui Cd8 ni kinga za saratani ndio maana ukila kwa wingi Bamia hasa wanawake huwezi kuugua satani ya t**i au uzazi.

*8/ Nane ni kwa magonjwa wa kisukari ambao wao wakila Bamia kwa kufuliza uwapa uwafueni mkubwa kwani hutuliza sukari vyema kwenye mwili kupita maelezo.

*9/ Tisa ni maajabu ya Bamia kuongeza uwezo wa nguvu za tendo la ndoa , kwa wasioelewa Bamia ni jamii ya tunda la kola ambalo jamii hizi zinawingi wa zinc na kumbuka kazi ya zinc ni kuongeza nguvu za stamina kwa tendo la ndoa, maziwa kwa wamama wanaonyonyesha na pia kusafisha njia ya mishipa iliyopooza au kuelegea n.k.

Usisahau like and share

15/05/2020

SHUHUDA:MIAKA 10 YA MIHANGAIKO NA UVIMBE TUMBONI(FIBROIDS) ,SIKILIZA JINSI ALIVYOSAIDIKA KUPITIA VIRUTUBISHO VYETU ,HAKIKA MUNGU NI MWEMA
Ukituhitaji usisite kututafuta 0766885636
Whasap
https://wa.me/255766885636

09/05/2020
09/05/2020

USHUHUDA: VIDONDA VYA TUMBO
Je umesumbuka kwa muda mrefu na vidonda vya tumbo bila suluhu yeyote..Tutafute tukuhudumie kwa Tiba ya Aina yake ,haijawahi tokea kwa ufanisi na Ubora wake ..Msikilize bidada hapa 0766885636

05/05/2020

SHUHUDA:MIAKA 10 YA MATESO YA UZAZI,FIGO NAZO..SIKILIZA KWA MAKINI NAMNA AMBAVYO AMESAIDIKA KUPITIA VIRUTUBISHI VYETU..NAAMINI DUNIA ITAZIDI KUTUHADITHIA KILA WAKATI...0766885636

AFYA TIP:Acha hii👉Tumia hiiAchana na Soda tumia MajiAchana na P**i tumia MatundaAchana  na Mbatata tumia Viazi vitamiAch...
05/05/2020

AFYA TIP:Acha hii👉Tumia hii
Achana na Soda tumia Maji
Achana na P**i tumia Matunda
Achana na Mbatata tumia Viazi vitami
Achana na Nafaka tumia Atta/Sayiri
Achana na Siagi tumia Parachichi

Kwa heshima ya WAFUASI WANGU WANAOFUATILIA PAGE YA AFYAUNIVERSE naelezea picha hii. Hatua anazopitia mgonjwa wa Corona. ...
02/05/2020

Kwa heshima ya WAFUASI WANGU WANAOFUATILIA PAGE YA AFYAUNIVERSE naelezea picha hii. Hatua anazopitia mgonjwa wa Corona. Hatua ya kwanza (hatua ya maambukizi) ni maambukizi ya virusi na kuzaliana kwa virusi. Mwili unaanza kupambana na virusi kunakoambatana na dalili za kiujumla k**a vile joto la mwili kupanda, kukohoa, kuharisha na kichwa kuuma sana. Hii ndo stage kale ka dawa ka ivermectin kanasaidia. Hatua ya pili (hatua ya mfumo wa upumuaji) ni pale mapafu yanapoanza kushindwa kuchukua hewa safi na kuisafirisha mwilini kunakoambatana na kupumua kwa taabu na ujazo wa oxygen kwenye damu kupungua. Hapo mwili unaanza kuelekea kwenye kasheshe la hatua ya tatu inaitwa "cytokine storm". Hatua ya tatu (hatua ya uchochezi na mwili kujishambulia) yenye cytokine storm, mwili unachanganyikiwa unataka kujilinda kwa nguvu zote na unamimina "visababisha homa/vichochezi". Mwili unashtuka sana na kwa kawaida tukitumia dawa za corticosteroid zingezuia uvimbe/vichochezi. Ni k**a unapoumwa na nyigu au kuwashwa ungekunywa corticosteroids au kupaka corticosteroids k**a betamethasone. Lakini mvua ya cytokines inakuwa kubwa sana ambayo haizuiliki na corticosteroids. Basi mwili unapagawa na chembe hai za kinga ya mwili ambazo kwa kawaida zingemshambulia kirusi, zinaanza kushambulia chembe hai za mwili huo huo. Hapo ndo tatizo linakuwa kubwa, unajichochea kuzidi maelezo, na moyo unasimama.

Source: https://doi.org/10.1016/j.healun.2020.03.012

30/04/2020

SHUHUDA:MIAKA 8 YA MIHANGAIKO NA UVIMBE TUMBONI(FIBROIDS) ,SIKILIZA JINSI ALIVYOSAIDIKA KUPITIA VIRUTUBISHO VYETU ,HAKIKA MUNGU NI MWEMA
Ukituhitaji usisite kututafuta 0766885636 au WhatsApp
https://wa.me/255766885636

DONDOO :MBEGU ZA PARACHICHI NA VIDONDA VYA TUMBO.Watu hula upande wa' nyama' wa parachichi na bila pingamizi lolote wana...
21/04/2020

DONDOO :MBEGU ZA PARACHICHI NA VIDONDA VYA TUMBO.Watu hula upande wa' nyama' wa parachichi na bila pingamizi lolote wanapata faida kubwa kutoka kwenye tunda hilo!
Sio upande huo tu ndio unafaida hata mbegu (kokwa ) la parachichi linafaida nyingi sana moja wapo nikuweza kusaidia kutibu vidonda vya tumbo.. maandaliz ya dawa?

1.Chukua Yale makokwa (mbegu za Kati)za parachichi 4 -5 zikatekate vipande vidogo dogo vyakutosha

2.viaanike katika jus zuri kwa muda wa masaa ziondokane na unyevu K**a una oven ..ziweke kweny joto la Kati ya 125-250 °F..kwa muda wa dakika 15

3.saga mbegu ulizokausha kwakutimia blender au kinu mpaka zisagike na kua unga unga

4 .changanya unga huo kwenye maziwa fresh ya ngombe kwa kipimo Cha wastani wa vijiko 2-3 kwa glass moja ya maziwa

5.Kunywa kinywaji hichi kwa muda wa kuanzia wiki 3 -12

N.B:katika kutoa uchafu mwilini unaweza harisha siku za mwanzo .usiogope
HII NI TIBA NZUR SANA..UNAWEZA NITAFUTA KWA 0766885636 K**A NI TATIZO SUGU

TAARIFA:UGONJWA NI GHARAMA SANA,Chukua tahadhari Kila siku kujikinga!KINGA NI BORA KULIKO TIBA
16/04/2020

TAARIFA:UGONJWA NI GHARAMA SANA,Chukua tahadhari Kila siku kujikinga!KINGA NI BORA KULIKO TIBA

DONDOO: leo ni siku ya kipekeee sana duniani kwani ni siku ya AFYA DUNIANI NA DUNIA KWA SASA IPO KWENYE JANGA LA COVID19...
07/04/2020

DONDOO: leo ni siku ya kipekeee sana duniani kwani ni siku ya AFYA DUNIANI NA DUNIA KWA SASA IPO KWENYE JANGA LA COVID19 naomba tuendelee kuchukuaa tahadhari kwan ugonjwa huu

Address

MASIKA
Morogoro

Telephone

+255766885636

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYAuniverse posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to AFYAuniverse:

Shortcuts

Share