06/07/2026
πBAWASIRI/MGOLOπ
FAHAMU KUHUSU UGONJWA HATARI WA BAWASIRI,
AU KUTOKWA NA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA VYANZO, DALILI, KINGA NA TIBA BILA UPASUAJI KWA DAWA ZA MITI SHAMBA π―
βBawasiri ni ugonjwa unaotokea katika njia ya haja kubwa, hujitokeza k**a uvimbe au kinyama ambacho huweza kuonekana hadi nje.
βkwa kiingereza hujulikana k**a piles.
βna kitaalam hujulikana k**a haemorrhoids/piles
πAINA ZA BAWASILIπ
π1. BAWASILI YA NJE
Aina hii ya bawasili hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa na kuambatana na maumivu makali, pamoja na kuwashwa kwa ngozi katika eneo hilo. Mara nyingine mishipa hiyo ya damu (veins)hupasuka na dam kuganda hivyo kusababisha na kusababisha aina hii ya bawasili ambapo kitaalam inafahamika k**a Thrombosed haemorrhoid.
π2.BAWASILI YA NDANI
Aina hii ya bawasili hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa, na huwa haiambatani na maumivu.
βAina hii imeainishwa katika madaraja manne yafuatayo
πDaraja la 1. Bawasili kutokea katika pahala pake pa kawaida
πDaraja la 2. Bawasili kutoka wakati wa haja na kurudi yenyewe baada ya haja (kujisaidia)
πDaraja la 3. Bawasili kutoka wakati haja kubwa na mtu kuweza kuirudisha baada ya haja.
π Daraja la 4. Bawasili kutoka wakati wa haja kubwa na vigumu kuirudisha baada ya haja.
πBAWASILI HUSABABISHWA NA NINI?
πKufunga choo au kukosa choo kwa muda mrefu
πUjauzito-wakati wa ujauzito watu wengine wanaweza kupatwa na bawasili kwasababu ya msukumo wa mtoto karibia na sehem ya haja kubwa
πkushiriki penzi kinyume na maumbile
πUzee- kadri miaka inavyosogea ndivyo inavyokuwa rahisi kwako kupatwa ugonjwa huu kwa baadhi ya watu.
πSababu za kurithi- baadhi ya watu wanaweza kurithi udhaufu wa ukuta huo wa njia ya haja kubwa ingawa ni kwa asilimia chache.
πkuharisha sana kwa muda mrefu
πkutumia vyoo vya kukaa
πkunyanyua vyuma vizito
πmfadhaiko stress
πuzito na unene kupita kiasi
GHARAMA YA DAWA DOZI KAMILI NI TSH.120,000/-
MIKONI TUNATUMA DAWA KWENYE MABASI, PAMOJA NA MIJI YA NAIROBI, MOMBASA, KAMPALA, KIGALI, BUJUMBURA, NA NCHI ZA SUTH AFRICA, ZAMBIA, NA KWINGINEKO YANAPOFIKA MABASI
,
ZANZIBAR TUNATUMA KWA NJIA YA BOTI / MELI
UGHAIBUNI NA MBALI ZAIDI YA TANZANIA TUNATUMA DAWA KWA NJIA YA DHL
TUNATUMA DAWA KWA UAMINIFU MKUBWA SANA
NIPIGIE SIMU,
+255745998149, CALL & WHATSAAP
+255740631662, CALL & SMS
DR. HABIBU A BAKARI
CHUMBAGENI AREA
TANGA MJINI
TANZANIA
πDALILI ZA BAWASILI π
πmaumivu wakati wa kujisaidia haja kubwa
πDamu kutoka wakati wa kujisaidia
πkupa........Inaendelea Tembelea kurasa wetu huu.