AFYA NI MTAJI

AFYA NI MTAJI Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from AFYA NI MTAJI, Medical and health, Zanzibar City.

Afya salama hukaa kwenye Mwili salama jenga Afya yako Leo na Dr Hussain

Jiunge kwenye group letu la afya kwa elimu zaidi ili kujiunga Bonyeza link hapa chini
https://chat.whatsapp.com/CuZqvAqbgIQ6tG4XqlMcZH?mode=gi_t

Wasiliana nasi kwa 0743322575

11/06/2026

Hello unawasiliana 🚨 SOMA HAPA ILI KUJUA TATIZO LAKO NA UFUMBUZI WAKE 🚨
πŸ’₯ OFa MAALUM YA VIPIMO MWILI MZIMA πŸ’₯
🩺 VIPIMO VYA MFUMO WA UZAZI KWA MWANAUME NA MWANAMKE
πŸ’° KWA TSH 20,000 TU
πŸ‘¨β€βš•οΈ KUMUONA DOCTOR NI BURE KABISA
βœ… TUNAGUNDUA:
βœ” CHANZO CHA TATIZO
βœ” UKUBWA WA TATIZO
βœ” ATHARI ZILIZOPO MWILINI
βœ” USHAURI NA MATIBABU SAHIHI
πŸ”₯ MATATIZO YA NGUVU ZA KIUME
β–ͺ KUWAHI KUMALIZA
β–ͺ KUSHINDWA KURUDIA TENDO
β–ͺ MBEGU CHACHE AU NYEPESI
β–ͺ KUTOSIMAMA VIZURI
β–ͺ KUTOJIAMINI KITANDANI
🌸 KWA MWANAMKE
β–ͺ MATATIZO YA HEDHI
β–ͺ MAUMIVU YA TUMBO
β–ͺ PID NA UCHAFU UKENI
β–ͺ KUKOSA MIMBA
β–ͺ MAUMIVU CHINI YA KITOVU
βš• PIA TUNACHUNGUZA:
βœ” PRESHA
βœ” KISUKARI
βœ” MATATIZO YA MOYO
βœ” GESI NA NGIRI
βœ” MAUMIVU YA MIFUPA
βœ” GANZI MWILINI
βœ” KUKOSA USINGIZI
⚠ USIKAE NA TATIZO KIMYAKIMYA
πŸ“ž PIGA SASA: 0743 322 575
πŸ”₯ AFYA YAKO NI MUHIMU β€” CHUKUA HATUA LEO.

10/06/2026

🌿 UNA TATIZO LA UZAZI? 🌿

Usiishi na wasiwasi peke yako. Pata uchunguzi na ushauri wa kitaalamu kwa changamoto mbalimbali za afya ya uzazi.

βœ… PID, UTI na matatizo ya hedhi
βœ… Fangasi na uvimbe
βœ… Ukavu wa uke
βœ… Mimba kutoka mara kwa mara
βœ… Mirija ya uzazi
βœ… Kupungua hamu ya tendo
βœ… Nguvu za kiume
βœ… Kutopata mimba
βœ… Mvurugiko wa homoni

πŸ’° BEI YA VIPIMO: TSH 20,000 TU

πŸ“ž Wasiliana nasi sasa: 0743322575

Afya yako ni muhimu. Chukua hatua leo kwa uchunguzi wa mapema na ushauri sahihi.

πŸ˜” Zamani ulikuwa tofauti... lakini siku hizi mambo yamebadilika?Usikubali changamoto za afya ya uzazi zikupokonye kujiam...
10/06/2026

πŸ˜” Zamani ulikuwa tofauti... lakini siku hizi mambo yamebadilika?

Usikubali changamoto za afya ya uzazi zikupokonye kujiamini kwako. Watu wengi wanapitia hali k**a hizi kimya kimya, lakini hatua ya kwanza ni kutafuta ushauri sahihi.

βœ… Faragha kamili
βœ… Ushauri wa kitaalamu
βœ… Huduma salama na za kuaminika

πŸ“ž Wasiliana nasi sasa: 0743322575

πŸ’° Vipimo: TSh 20,000 Tu

NJIA 5 ZA KUJIWEKA SAFI NA SALAMA KIPINDI CHA PERIOD/HEDHI.1. Epuka kutumia sabuni zenye kemikali wakati wa kujisafisha....
07/06/2026

NJIA 5 ZA KUJIWEKA SAFI NA SALAMA KIPINDI CHA PERIOD/HEDHI.

1. Epuka kutumia sabuni zenye kemikali wakati wa kujisafisha.❌

2. Badili pedi kila baada ya masaa manne (hakikisha unanawa mikono kabla na baada ya kubadili pedi).

3. Osha uke kwa maji safi na kwa usahihi kwa kutoka mbele kwenda nyuma.

4. Vaa nguo ya ndani kavu ya pamba iliyo safi baada ya kuvaa pedi.

5. Jitahidi kuoga mara mbili au zaidi kwa siku.

MUHIMUπŸ‘‰ Jitahidi kuwa na nguo nyingi za ndani (chupi) angalau 5 na kuendelea na usirudie kuivaa kabla hujaifua.

Njia ipi kati ya hizo tano ulikuwa unakosea na leo umepata usahihi wake?.

🚨 SOMA HAPA ILI KUJUA TATIZO LAKO NA UFUMBUZI WAKE 🚨πŸ’₯ OFa MAALUM YA VIPIMO MWILI MZIMA πŸ’₯🩺 VIPIMO VYA MFUMO WA UZAZI KWA ...
07/06/2026

🚨 SOMA HAPA ILI KUJUA TATIZO LAKO NA UFUMBUZI WAKE 🚨
πŸ’₯ OFa MAALUM YA VIPIMO MWILI MZIMA πŸ’₯
🩺 VIPIMO VYA MFUMO WA UZAZI KWA MWANAUME NA MWANAMKE
πŸ’° KWA TSH 20,000 TU
πŸ‘¨β€βš•οΈ KUMUONA DOCTOR NI BURE KABISA
βœ… TUNAGUNDUA:
βœ” CHANZO CHA TATIZO
βœ” UKUBWA WA TATIZO
βœ” ATHARI ZILIZOPO MWILINI
βœ” USHAURI NA MATIBABU SAHIHI
πŸ”₯ MATATIZO YA NGUVU ZA KIUME
β–ͺ KUWAHI KUMALIZA
β–ͺ KUSHINDWA KURUDIA TENDO
β–ͺ MBEGU CHACHE AU NYEPESI
β–ͺ KUTOSIMAMA VIZURI
β–ͺ KUTOJIAMINI KITANDANI
🌸 KWA MWANAMKE
β–ͺ MATATIZO YA HEDHI
β–ͺ MAUMIVU YA TUMBO
β–ͺ PID NA UCHAFU UKENI
β–ͺ KUKOSA MIMBA
β–ͺ MAUMIVU CHINI YA KITOVU
βš• PIA TUNACHUNGUZA:
βœ” PRESHA
βœ” KISUKARI
βœ” MATATIZO YA MOYO
βœ” GESI NA NGIRI
βœ” MAUMIVU YA MIFUPA
βœ” GANZI MWILINI
βœ” KUKOSA USINGIZI
⚠ USIKAE NA TATIZO KIMYAKIMYA
πŸ“ž PIGA SASA: 0743 322 575
πŸ”₯ AFYA YAKO NI MUHIMU β€” CHUKUA HATUA LEO.

Tumia juisi hii k**a umepima ukaambiwa mirija imeziba, imejaa ukungu au imejaa uchafu (dawa haikupita wakati wa kipimo c...
04/06/2026

Tumia juisi hii k**a umepima ukaambiwa mirija imeziba, imejaa ukungu au imejaa uchafu (dawa haikupita wakati wa kipimo cha mrija, au ilienda ikarudi).

Juisi ya tango moja, tangawizi kipande kimoja na manjano kipande kimoja k**a ni mbichi na kijiko moja ikiwa ya unga.🫚πŸ₯’

Saga kwa pamoja kwa kutumia nusu lita ya maji kisha chuja na unywe glass moja asubuhi na glass moja jioni kila siku.

NYONGEZA:πŸ‘‡
1. Ongeza asali kijiko kimoja kwa glass.
2. Unaweza kutunza kwenye friji ukatumia baadae.
3. Kila siku tengeneza mpya kwa siku 30 mfululizo kwa matokeo mazuri.

01/06/2026

OFA OFA YA VIPIMO MUHIMU KWA MWANAMKE NA MWANAUME ANAYETAFUTA MTOTO 🀰🏽

Wanawake wengi huzunguka hospitali bila kufanyiwa uchunguzi kamili…
Au mume hajafanyiwa hata kipimo kimoja.
Hapo unateseka miaka β€” bila kujua chanzo halisi πŸ™ƒ

πŸ“ŒHivi ndivyo vipimo vya msingi unapopaswa kufanya, FANYA KUSAVE KABISA post Hii Ili kujikumbushia Kwa Baadae Ukisahau:

1️⃣ ULTRASOUND ya via vya uzazi
Inatuonesha kizazi, mfuko wa mayai, uvimbe, mirija, na hali ya jumla ya mfumo wa uzazi.

2️⃣ Vipimo vya kuonesha MAYAI KUPATWA / KUPEVUKA
Progesterone siku 7 kabla ya hedhi inayofuata, au OPK nyumbani.

3️⃣ Vipimo vya AKIBA YA MAYAI
AMH + FSH kutathmini uwezo wa mayai na kiwango cha kushuka kwake kadri muda unavyosonga.

4️⃣ Uchunguzi wa MIRIJIA (HSG)
Hapa tunajua k**a mirija imeziba au iko wazi.

5️⃣ Vipimo vya HOMONI
Kwa wanawake wenye mzunguko usioeleweka, kukosa hedhi, kutoa maziwa, uke mkavu, au kupoteza hamu ya tendo; tunapima Estrogen, Progesterone, LH, FSH, Prolactin, n.k.

6️⃣ Vipimo vya MBEGU ZA KIUME
Safari ya ujauzito ni ya WAWILI.
Mpenzi/mume naye apime s***m count, morphology na motility.
Usiibebe peke yako Mateso/ lawama zote za Kukosa Ujauzito βœ‹πŸ½

---Vipimo hivi utapima Kwa Ofa ya
Tsh 20,000/= kwakua watu wengi wanasumbuliwa na changamoto za uzazi wai mapema.

KOSA KUBWA WANAWAKE WENGI HUFANYA:
Kupima peke yao bila mume… au kufanya vipimo visivyo sahihi halafu wanahangaika miaka bila mafanikio.

---

πŸ” Sasa hapa ndipo siri ya mafanikio inapoanzia…

Kwa wanawake na wanandoa waliopitia matibabu mengi bila kufanikiwa, waliochoka kuambiwa β€œSUBIRI TU”, waliozunguka bila majibuβ€”

GCAT ETERNAL HERBAL CLINIC imekuwa ni tumaini na msahada Kwa wenye changamoto zote za uzazi.

Ni tiba inayoshambulia chanzo cha tatizo:
βœ”οΈ Humaliza fangasi/maambukizi yanayorudiarudia
βœ”οΈ Hurekebisha homoni
βœ”οΈ Hufungua na Kubalance mzunguko Wa Hedhi
βœ”οΈ Huongeza idadi & ubora wa mayai
βœ”οΈ Huandaa mwili kupokea na kutunza mimba ndani ya 30–90 days kulingana na hatua ya tatizo

Matokeo yake?
Wanawake waliokuwa wanaitwa β€œMGUMBA” leo ni mama wa mtoto.

Wanandoa waliokuwa na maumivu… sasa wanashukuru Mungu πŸ™πŸΎ

Dozi utegemea ukubwa wa changamoto yako.
baada ya kupata majibu ya vipimo.

Tunapatikana dar es salaam, visiwani na mikoa yote Tanzania

Kwa mawasiliano 0743322575

Address

Zanzibar City

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA NI MTAJI posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share