Afya ni mtaji bora

Afya ni mtaji bora karibu Sana katika page langu LA afya bora ni mtaji kwa kujifunza magonjwa mbalimbali nyemelenzi na

*WANAWAKE WOTE FEMICARE NI MUHIMU SANA NA NILAZIMA UTUMIE.*☘Kwanza ijue femicare na faida zake.Femicare ni dawa asili ku...
28/09/2023

*WANAWAKE WOTE FEMICARE NI MUHIMU SANA NA NILAZIMA UTUMIE.*

☘Kwanza ijue femicare na faida zake.
Femicare ni dawa asili kutoka USA inatumiwa na WANAWAKE wote ili kuwaweka salama na maambukizi.
❎ *Haina chemical yeyote ile ni zuri na salama*

1⃣Huondoa harufu mbaya uken,uchafu na kuongeza bacteria walinzi,ni nzuri kwa wanaoshea vyoo.
2⃣Inatibu fangasi ukeni na U.T.I. Sugu.
3⃣Inatibu PID tena ile Sugu ukitumia na dawa ya kumeza inaitwa Refined Yunzhi essence.

4⃣Huondoa maumivu wakati wa tendo landoa na kurudisha ute ute unaohitajika.

5⃣Inafanya uke uwe msafi pasina harufu na salama muda wote.
6⃣Inazibua mirija ya uzazi iliyoziba na kurekebisha hedhi iliyovyrugika.

7⃣Inakaza misuli ya uke iliyolegea nakufanya iwe tight.
8⃣Inaondoa maumivu ya tombu chini ya kitovu kipindi Cha hedhi au Chango.
9⃣Inaondoa michubuko wakati wa tendo landoa
0654705112

21/07/2022

FAIDA ZA UZILE

Uzile ni kiungo kinachotumika sana katika mapishi mbalimbali hasa pilau, wali mweupe,mboga pamoja nk. Licha ya kutumia jira k**a kiungo chenye ladha nzuri, zifuatazo ni faida za jeera mwilini:
1. Uzile inasaidia kuboresha mfumo wa mmen'genyo mwilini,kwa kuamsha vimen'genya pamoja na kuachia nyongo
2. Uzile ni chanzo kikubwa cha madini ya chuma, hata ikitumiwa kidogo tu katika chakula
3. Uzile inaondoa mafuta mabaya mwilini pamoja na kupunguza uzito uliozidi
4. Uzile inaondoa magonjwa yanayosambazwa na vyakula
5. Uzile pia husaidia kuzuia uvimbe (ant inflammatory) mwilini
Kwa mahitaji ya jeera nzuri, iliyokomaa na kukaushwa vizuri usisite kuwasiliana nasi

KWA MAHITAJI YA HUDUMA ZETU

KUPATA SULUHISHO LA KUDUMU LA NGUVU ZA KIUME KUPITIA VIRUTUBISHO

wa.me//255654705112

Agent: tumainiel BF suma
Call/Sms/Whtspp
0654705112

FAIDA ZA UZILEUzile ni kiungo kinachotumika sana katika mapishi mbalimbali hasa pilau, wali mweupe,mboga pamoja nk. Lich...
21/07/2022

FAIDA ZA UZILE

Uzile ni kiungo kinachotumika sana katika mapishi mbalimbali hasa pilau, wali mweupe,mboga pamoja nk. Licha ya kutumia jira k**a kiungo chenye ladha nzuri, zifuatazo ni faida za jeera mwilini:
1. Uzile inasaidia kuboresha mfumo wa mmen'genyo mwilini,kwa kuamsha vimen'genya pamoja na kuachia nyongo
2. Uzile ni chanzo kikubwa cha madini ya chuma, hata ikitumiwa kidogo tu katika chakula
3. Uzile inaondoa mafuta mabaya mwilini pamoja na kupunguza uzito uliozidi
4. Uzile inaondoa magonjwa yanayosambazwa na vyakula
5. Uzile pia husaidia kuzuia uvimbe (ant inflammatory) mwilini
Kwa mahitaji ya jeera nzuri, iliyokomaa na kukaushwa vizuri usisite kuwasiliana nasi

KWA MAHITAJI YA HUDUMA ZETU
KUPATA SULUHISHO LA KUDUMU LA NGUVU ZA KIUME,MFUMO WA UZAZI KWA WANAWAKE,MFUMO WA CHAKULA,MFUMO WA MISHIPA NK KUPITIA VIRUTUBISHO

wa.me//255654705112
Agent: tumainiel BF suma
Call/Sms/Whtspp
0654705112

Huondosha bila Upasuliwaji 👇👇1) UVIMBE (Manyona)KWENYE MFUKO WA UZAZI /Kizazi2)UVIMBE KWENYE MIRIJA YA UZAZI(Fallopian t...
02/06/2021

Huondosha bila Upasuliwaji 👇👇

1) UVIMBE (Manyona)KWENYE MFUKO WA UZAZI /Kizazi

2)UVIMBE KWENYE MIRIJA YA UZAZI(Fallopian tubes)

3) UVIMBE KWENYE MAYAI(Ovaries)

4)UVIMBE KWENYE UBONGO (Tummer)

5) UVIMBE kwenye MATITI/maziwa

6)KUVIMBA KWA TEZI DUME

BIDHAA hizi za VIRUTUBISHO LISHE toka BFSUMA zinafaida zifuatazo:

••Huimarisha KINGA YA MWILI

••• HUYEYUSHA VIMBE SEHEMU MBALI MBALI ZA MWILI BILA UPASULIWAJI na kuzuia zisijirudie

***Husaidia wenye Matatizo ya HORMON IMBALANCES

***Nzuri kwa wenye CANCER/SARATANI AINA mbali mbali

***Nzuri Kwa waathirika wa VIRUSI 🦠 VYA UKIMWI

*** Nzuri Kwa waathiri wa HOMA YA INI /hepatitis B

•••Huimarisha utendaji kazi wa MOYO,INI ,Figo,Kongosho na Mapafu

•••Nzuri Kwa Waliofanyiwa VIPIMO/TIBA ZA MIONZI ,huwasaidia kupunguza madhara ya MIONZI na kuwafanya wapone haraka etc

SHARE kwa watu na Groups mbali mbali uweze KUWASAIDIA WENGI 🙏🙏

Piga/WhatsApp; 0654705112


NOTE: Ni bidhaa za Asili zinazotengenezwa kiasili Kwa mchanganyiko wa virutubisho toka kwenye mimea Mbali mbali ,hivyo ni Salama Kwa kila mtumiaji,HAZIMA MADHARA yoyote.

TIBA YA ASILI YA KUTIBU VIDONDA VYA TUMBO KWA HARakaVidonda vya tumbo(Ulcers) ni ugonjwa unaowasumbua watu wengi kutokan...
12/05/2021

TIBA YA ASILI YA KUTIBU VIDONDA VYA TUMBO KWA HARaka

Vidonda vya tumbo(Ulcers) ni ugonjwa unaowasumbua watu wengi kutokana na staili ya Maisha, Ulaji na Mazingira. Ugonjwa huu kitaalam unasababisha kuwa na michubuko katika kuta za tumbo au utumbo mdogo na hivyo kusababisha maumivu makubwa ya tumbo.

Wakati mwingine vidonda hivi huonekana kati ya tumbo na utumbo mdogo hivyo kitaalam tunaviita PEPTIC ULCERS, aina hii ya vidonda vya tumbo huwaathiri sana Wanaume kuliko wanawake.

DALILI ZA KUWA NA VIDONDA VYA TUMBO

Kuchoka bila sababu maalum
Kuumwa mgongo au kiuno
Kupungukiwa nguvu za kiume
Kizunguzungu
Kukosa Usingizi
Kichefuchefu
Kiungulia
Tumbo kujaa gesi
Tumbo kuwaka moto
Kukosa choo au kupata choo kwa shida
Kutapika nyongo
Kutapika damu au kuharisha
Sehemu za mwili kupata ganzi
Kukosa hamu ya kula
Kusahausahau na hasira bila sababu
Hizo ni baadhi tuu ya dalili za kuwa na vidonda vya tumbo lakini zipo nyingi, hivyo basi pindi uonapo moja kati ya hizo dalili ni vyema ukaenda kupima vidonda vya tumbo mapema.

SABABU KUU ZA KUPATA VIDONDA VYA TUMBO

(1). MSONGO WA MAWAZO(STRESS) : Hii imekuwa sababu kubwa kwa wenye vidonda vya tumbo pindi unapokuwa na msongo wa mawazo au mwili wako unapokosa uwezo mzuri wa kuratibu homoni na vimeng’enya chakula.

Hii itapelekea kuzalishwa kwa wingi Tindikali(Acid) ndani ya tumbo na hivyo kulipelekea kupata vidonda vya tumbo.

(2). Bakteria aina ya Helicobacteria Pylori (H. Pylori) : Bakteria hawa wamekua chanzo kikubwa cha mtu kupata vidonda vya tumbo. Pindi Bakteria hawa wanapoingia tumboni husababisha kuongezeka kwa kiwango cha tindikali(acid) mwilini na kupelekea michubuko kwenye kuta za tumbo.

Sababu nyingine ndogo ndogo ni k**a vile Kurithi, uvutaji wa sigara na Matumizi ya pombe kali.

TIBA YA VIDONDA VYA TUMBO

Watu wengine wanaamini vidonda vya tumbo havina dawa lakini kiukweli dawa za kutibu tatizo hili zipo na za uhakika, 0654705112 👇🏽👇🏽

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya ni mtaji bora posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share