21/12/2021
Msimu huu wa Sikukuu, Kataa kulisha familia yako mchele wenye ladha ya makande..
Takwimu zetu zinaonyesha kwamba, kila aliyeonja mchele wa katani, aliacha michele mingine yooteeee..
Umeitwa Katani sababu umenyooka na ni mwembamba kuliko michele mingine.
Kwa mapishi ya pilau au wali uliochambuka, jaribu huu mchele, hautajuta!
Mchele unanukia saaanaa..
Ukipika unachambuka na haushikani..
Ni mtamu sana, hata ukiutafuna kawaida tu, utamu wake unausikia..
Hauna haja ya kuchambua, ni kupika tuu..☺️
Mchele wa aina hii, ni adimu sana na huwa unalimwa kwa kiwango kidogo sana nchini.
Mchele huwa unauzwa mpaka 2,600/kg ila kwa makusudi ya kila mmoja aonje, Ukinunua leo, utapata kwa sh 2300/kg. Dar, Arusha, Moshi, Tanga & Dodoma, huu mchele unapatikana kwetu tu!
Tunapaki kwenye kg 1, kg 2 na kg 5.. Mikoani tunatuma pia.
K**a unauhitaji, weka order mapema kabla stock haijaisha, maana toka tumeingia kwenye offer, order ni nyingi.
Piga/whatsapp 0762501432 kwa order na maelezo zaidi, au bonyeza hapo chini kuongea na sisi moja kwa moja whatsapp.
Tunapatikana Arusha, mtaa wa pangani, karibu na soko kuu.
Karibu Mfalme tukuhudumie..