Twaib Herbal Products

Twaib Herbal Products Twaib Herbs ni wazalishaji na wasambazaji wa dawa za asili zinazotokana na miti,magome,majani,mizizi,mbegu/arabic medicines na virutubisho asili.

Dawa zetu hazina kemikali yoyote. Karibu upate huduma bora kwa jumla na rejareja
๐ˆ๐ง๐ฌ๐ก๐š'๐€๐ฅ๐ฅ๐š๐ก๐Ÿ™

๐— ๐—”๐—๐—œ๐—ก๐—” 37 ๐—ฌ๐—” ๐—ช๐—”๐—ง๐—ข๐—ง๐—ข ๐—ช๐—” ๐—ž๐—œ๐—ž๐—˜ ๐—ก๐—” ๐— ๐—”๐—”๐—ก๐—” ๐—ฌ๐—”๐—ž๐—˜1.Khadija maana yake ni furaha2.Fauzia maana yake ni kufaulu3.Hawa maana yake n...
11/06/2026

๐— ๐—”๐—๐—œ๐—ก๐—” 37 ๐—ฌ๐—” ๐—ช๐—”๐—ง๐—ข๐—ง๐—ข ๐—ช๐—” ๐—ž๐—œ๐—ž๐—˜ ๐—ก๐—” ๐— ๐—”๐—”๐—ก๐—” ๐—ฌ๐—”๐—ž๐—˜
1.Khadija maana yake ni furaha
2.Fauzia maana yake ni kufaulu
3.Hawa maana yake ni matamanio au hamu au kupenda
4.Rujainah maana yake ni mwenye neema au mwenye fadhila
5.Fatwima maana yake ni ujasiri yaani sio muoga
6.Warda maana yake ni ua
7.Asmaa maana yake ni mwenye kulindwa na maana nyingine ni mlinzi
8.Ruwayda maana yake ni neema
9.Maryam maana yake ni mtumishi wa mwenyezi Mungu
10.Layla maana yake ni usiku
11.Kawthar maana yake ni mzigo au mto wa peponi
12.Shufaa maana yake ni mwenye uombezi
13.Jumayna maana yake ni lulu yenye ukubwa
14.Khaleeda maana yake ni milele
15.Latifa maana yake ni mpole
16.Amina maana yake ni mwenye kuitika
17.Najma maana yake ni nyota
18.Maymuna maana yake ni kheri
19.Muhayra maana yake ni mtaalamu
20.Munayra maana yake ni mwenye uwezo
21.Najdah maana yake ni mjasiri
22.Nasiha maana yake ni mshauri
23.Nawal maana yake ni zawadi
24.Rahma maana yake ni faida
25.Radhia maana yake ni aliye furahi
26.Ridhwanah maana yake ni mwenye kupendeza
27.Samiya maana yake ni mkubwa
28.Salma maana yake ni amani au salama
29.Samira maana yake ni mwenye upeo
30.Aziza maana yake ni thamani
31.Shakira maana yake ni Asante
32.Sofia maana yake ni ndugu
33.Zahra maana yake ni maua
34.Asiya maana yake ni muuguzi
35.Hadiya maana yake ni zawadi
36.Aysha maana yake ni umakini
37.Zaynab maana yake ni kipenzi cha baba yake

๐—˜๐—ป๐—ฑ๐—ฒ๐—น๐—ฒ๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ณ๐—ผ๐—น๐—น๐—ผ๐˜„ ๐—ง๐—ช๐—”๐—œ๐—• ๐—›๐—˜๐—ฅ๐—•๐—”๐—Ÿ ๐—ฃ๐—ฅ๐—ข๐——๐—จ๐—–๐—ง๐—ฆ
๐˜‚๐—ฝ๐—ฎ๐˜๐—ฒ ๐—บ๐˜‚๐—ฒ๐—ป๐—ฑ๐—ฒ๐—น๐—ฒ๐˜‡๐—ผ ๐˜„๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ท๐—ถ๐—ป๐—ฎ ๐—บ๐—ฒ๐—ป๐—ด๐—ถ๐—ป๐—ฒ ๐˜‡๐—ฎ๐—ถ๐—ฑ๐—ถ.
๐—œ๐—ก๐—ฆ๐—›๐—”'๐—”๐—Ÿ๐—Ÿ๐—”๐—›๐Ÿ™

FAIDA 48 ZA JUISI YA TANGAWIZI AMBAZO ULIKUWA HUZIJUWI 1. Huondoa sumu mwilini haraka sana2. Huua bakteria wa aina nying...
10/06/2026

FAIDA 48 ZA JUISI YA TANGAWIZI AMBAZO ULIKUWA HUZIJUWI
1. Huondoa sumu mwilini haraka sana
2. Huua bakteria wa aina nyingi mwilini hata salmonella ndani ya mwili hata juu ya ngozi
3. Kuna viua vijasumu (antibiotics) vya asili viwili kwenye tangawizi
4. Huondoa uvimbe mwilini
5. Huondoa msongamano mapafuni
6. Tangawizi inayo โ€˜zingibainโ€™ ambayo huua vimelea mbalimbali vya magonjwa na mayai yake
7. Huondoa maumivu ya koo
8. Huua virusi wa homa
9. Huondoa maumivu mbalimbali mwilini
10. Huondoa homa hata homa ya baridi (chills)
11. Hutibu saratani ya tezi dume. Tangawizi huua kimengโ€™enya ambacho ni chakula cha seli za kansa ya tezi dume kiitwacho โ€˜5-LO enzymesโ€™ na seli hizo za kansa hufa ndani ya masaa mawili au manne bila hicho kimengโ€™enya.
12. Tangawizi ina kiinilishe mhimu sana ambacho huzuia kuongezeka kwa seli za kansa ya kongosho kiitwacho kwa kitaalamu k**a โ€˜gingerolโ€
13. Hutibu kansa zinazoweza kusababishwa na kupata choo kigumu muda mrefu (constipation-r
elated cancer)
14. Ni dawa nzuri kwa kansa ya kwenye damu (leukemia)
15. Ni dawa nzuri dhidi ya kansa ya mapafu (lung cancer)
16. Huzuia kujizalisha kwa bakteria aitwaye โ€˜Helicobacter pyloriโ€™, bakteria huyu ndiye husababisha vidonda vya tumbo mwilini, pia hutibu kiungulia, na kanza mbalimbali za tumbo
17. Ni msaada sana katika kuzuia na kutibu kansa ya t**i
18. Hutibu kanza za kwenye kizazi na kanza za kwenye mirija ya uzazi
19. Huongeza msukumo wa damu
20. Husaidia kuzuia shambulio la moyo
21. Huzuia damu kuganda
22. Hushusha kolesto
23. Husafisha damu
24. Husaidia watu wenye kukak**aa kwa mishipa
25. Hutibu shinikizo la juu la damu
26. Husafisha utumbo mpana
27. Hupunguza mishtuko kwenye utumbo mpana na tumbo kuunguruma
28. Huondoa GESI TUMBONI KIRAHISI ZAIDI
29. Husaidia mfumo wa mmengโ€™enyo wa chakula
30. Dawa nzuri ya kuondoa uchovu
31. Husaidia kuzuia kutapika. Husaidia hata wale wanaosafiri baharini wasipatwe na kichefuchefu
32. Husaidia kuondoa maumivu kutokana na mkao mmoja wa mrefu ama kusimama.
๐—˜๐—ป๐—ฑ๐—ฒ๐—น๐—ฒ๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ณ๐—ผ๐—น๐—น๐—ผ๐˜„ ๐˜‚๐—ธ๐˜‚๐—ฟ๐—ฎ๐˜€๐—ฎ ๐˜„๐—ฒ๐˜๐˜‚๐Ÿ‘‡
Twaib Herbal Products

Je unasumbuliwa na Sikio ๐Ÿ‘‚ kwa muda mrefu na umekosa Dawa sahihi!!Karibuni Twaib Herbal Products  ๐ŸŒฟ  Ujipatie dawa ya si...
10/06/2026

Je unasumbuliwa na Sikio ๐Ÿ‘‚ kwa muda mrefu na umekosa Dawa sahihi
!!Karibuni Twaib Herbal Products ๐ŸŒฟ Ujipatie dawa ya sikio ambayo inatibu:

โœ”๏ธVIDONDA NA KUTOKWA NA USAHA MASIKIONI

โœ”๏ธUGUMU WA KUSIKIA

โœ”๏ธMAUMIVU YA SIKIO.


+255767607724.
+255636607724.
โœฆ๐๐š๐ฐ๐š ๐ฆ๐ฉ๐ฒ๐š ๐ก๐ข๐ข ๐ง๐š ๐ข๐ฅ๐ข๐ฒ๐จ ๐›๐จ๐ซ๐š ๐ค๐ฐ๐š ๐ฎ๐ฐ๐ž๐ณ๐จ ๐ฐ๐š ๐Œ๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ๐Ÿ™

 Mwenyezi Mungu akujaze nguvu katika mapigo yote.Mkono wako ukamuangushe adui chini.   ๐Ÿ™ Sisi   tunakutakia mchezo mwema...
10/06/2026


Mwenyezi Mungu akujaze nguvu katika mapigo yote.Mkono wako ukamuangushe adui chini.
๐Ÿ™
Sisi tunakutakia mchezo mwema.

    na  :Hivi ni viambato bora zaidi  mwilini mwako ambavyo hutakiwi kukosa katika milo ya kila siku.
09/06/2026

na :
Hivi ni viambato bora zaidi mwilini mwako ambavyo hutakiwi kukosa katika milo ya kila siku.

 (Dawa ya magonjwa ya ngozi)Inamchanganyiko wa dawa za asili na mafuta mahususi zaidi kwa kutibu maradhi ya ngozi:1.Fang...
08/06/2026


(Dawa ya magonjwa ya ngozi)
Inamchanganyiko wa dawa za asili na mafuta mahususi zaidi kwa kutibu maradhi ya ngozi:
1.Fangasi ya ngozi na sehemu za siri.
2.M'mba
3.Mapunye aina zote
4.Upele na muwasho wa ngozi
5.Hutunza ngozi na kuifanya kuwa laini na bora.
MATUMIZI:
Pakaa sehemu zenye maradhi kutwa mara mbili baada ya kuoga/kuosha sehemu husika.
ni elf10 tu
IMEANDALIWA NA KUSAMBAZWA NA:
TWAIB HERBAL PRODUCTS
+255767607724
+255636607724

  ๐—›๐—ฒ๐—ฎ๐—น๐—ถ๐—ป๐—ด ๐—ข๐—ถ๐—น ๐—ณ๐—ผ๐—ฟ ๐—ฆ๐—ถ๐—ต๐—ถ๐—ฟMafuta haya yamezidi kuwa mkombozi kwa watu,iwe kuondoa ubaya wa kichawi,majini na ndoto za vitus...
08/06/2026


๐—›๐—ฒ๐—ฎ๐—น๐—ถ๐—ป๐—ด ๐—ข๐—ถ๐—น ๐—ณ๐—ผ๐—ฟ ๐—ฆ๐—ถ๐—ต๐—ถ๐—ฟ
Mafuta haya yamezidi kuwa mkombozi kwa watu,iwe kuondoa ubaya wa kichawi,majini na ndoto za vitusho,kinga ya majumbani na kazini/sehemu za biashara.
Mafuta yamefanyiwa kisomo(dua) au kwa lugha nyingine maombi.Mafuta haya hutumika zaidi kwa imani zote.Jipatie mafuta haya uwe miongoni mwa washuhuda wa kutatua matatizo yao.Inshaalah kwa uwezo wa Allah(Mungu)/Yehova.
Bei yetu ni 10000Tsh.wahi kabla bei kupanda.Na pia kwepeni wale wanao wauzia elf15 hadi 20,pata mafuta haya kutoka kwetu kwa bei ya kiubinadamu.


+255767607724
+255636607724

08/06/2026

๐…๐‹๐€๐“ ๐๐„๐‹๐‹๐˜
๐ƒ๐š๐ฐ๐š ๐ฒ๐š ๐ค๐ฎ๐ฉ๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ๐ณ๐š ๐ฎ๐ณ๐ข๐ญ๐จ ๐ง๐š ๐ญ๐ฎ๐ฆ๐›๐จ

Hii ni dawa ya kisunna/asili iliyo katika mfumo wa unga itakayokupa matokeo mazuri kwa haraka zaidi.Dawa hii itakusaidia:
1.Kupunguza uzito kwa haraka
2.Kupunguza unene na tumbo(nyama uzembe)
3.Hundoa mafuta na sumu sumu mwilini.
4.Tatizo la kukosa haja kubwa

๐Œ๐€๐“๐”๐Œ๐ˆ๐™๐ˆ:
Tia kijiko 1 cha chakula cha unga huu katika glasi ya maji ya uvugu vugu au uji mwepesiKunywa asubuhi kabla hujala kitu na jioni kabla ya chakula.(1x2)

๐…๐‹๐€๐“ ๐๐„๐‹๐‹๐˜
Weight Loss Faster

This is a natural herbal remedy that is in the form of powder that will give you a good result more quickly.This powder will help you:
1.Very effective in lossing loss weight
2.Removing abdominal bloatedness and shedding off belly fat.
3.Reduce toxins and abdominal fat in the body.
4.Constipation problem

๐”๐’๐€๐†๐„:
Drink 1 tablespoon of this powder in tepid(lukewarm) water and mix well.Drink it in the morning before breakfast and in the evening before meal (1x2).
PRODUCED & PACKED BY:
TWAIB HERBS
+255767607724
+255625607724

#๐–ฟ๐—…๐–บ๐—๐–ป๐–พ๐—…๐—…๐—’

06/06/2026

๐— ๐—”๐—™๐—จ๐—ง๐—” ๐— ๐—”๐—”๐—Ÿ๐—จ๐—  ๐—ž๐—ช๐—” ๐—•๐—”๐—ช๐—”๐—ฆ๐—œ๐—ฅ ๐—ฌ๐—” ๐—ก๐—๐—˜(๐—ฉ๐—ถ๐—ป๐˜†๐—ฎ๐—บ๐—ฎ/๐˜‚๐˜ƒ๐—ถ๐—บ๐—ฏ๐—ฒ ๐˜€๐—ฒ๐—ต๐—ฒ๐—บ๐˜‚ ๐˜†๐—ฎ ๐—ต๐—ฎ๐—ท๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ฏ๐˜„๐—ฎ)

๐—›๐—˜๐— ๐—ข๐—ฅ๐—ฅ๐—›๐—ข๐—œ๐——๐—ฆ ๐—ข๐—œ๐—Ÿ
Mafuta ya kupata kwa kutibu;
Muwasho na vinyama vinavyoota sehemu ya haja kubwa[bawasir/mgoro]
MATUMIZI:
Pakaa sehemu yenye kinyama(uvimbe) kutwa mara mbili.
๐—ช๐—”๐—ฆ๐—œ๐—Ÿ๐—œ๐—”๐—ก๐—” ๐—ก๐—”๐—ฆ๐—œ
๐Ÿ“ž๐Ÿ“ฑ ๐˜„๐—ต๐—ฎ๐˜๐˜€๐—”๐—ฝ
+255767607724

HEMORRHOIDS OIL
External Piles
Natural oils for treat irritation and external piles(hemorrhoids aparts)
USAGE:
Apply oil on affected area twice a day[Ix2]
+2557676077724
Twaib Herbal Products

  wa kuuza madawa yetu.Karibu tukupe utaratibu. +255767607724Twaib Herbal Products
05/06/2026


wa kuuza madawa yetu.Karibu tukupe utaratibu.
+255767607724

Twaib Herbal Products

Address

Https://maps. App. Goo. Gl/ZKQWWn4jDZtaHRKZ 6
Arusha
23122

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Twaib Herbal Products posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Twaib Herbal Products:

Share