08/02/2024
K**A HUPATI UJAUZITO (Infertility) JIULIZE MASWALI YAFUATAYO👇
✍️ Je, mzunguko wa siku zako upo vizuri?
✍️ Je, unapata makali wakati wa hedhi?
✍️ Je, una uvimbe kwenye KIZAZI?
✍️ Je, unapata siku zako vile inavyotakiwa, yani mzunguko wa siku zako upo sawa?
✍️ je, unapata Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa?
✍️ Je, Ulishawahi kutoa ujauzito?
✍️ Je, unapata Maumivu ya tumbo chini ya kitovu upande wa kushoto na kulia?
✍️ Je, unatokwa na uchafu aina yoyote Ile ukeni?
✍️ Je, huwa haupati Ute wa Uzazi siku za hatari?
✍️ Je, umeshawahi kuugua PID (Mashambulizi ya bacteria kwenye kizazi)?
🌹K**a jibu ni ndio, kwa sababu yoyote tajwa hapo juu. Basi tambua hiyo NDIYO sababu inayokuchelewesha kupata ujauzito.
KWA TIBA NA USHAURI ZAIDI
Nipigie/WhatsApp
☎️ +255(0)719666364