05/06/2022
JINSI UUME UNAVYOSIMAMA
👉Katika uume kuna chembe yenye mishipa laini sana ambayo ndio huufanya uume uweze kusimama. Mishipa hii ipo k**a sponji hivyo huweza kutanuka na kusinyaa. Damu inapoingia ndani ya mishipa hii huufanya uume kusimama na kuwa mgumu k**a msumari. 👉Damu inapoendelea kuhifadhiwa ndani ya mishipa hii wakati wa tendo la ndoa huufanya uume uendelee kusimama -Mwanaume unapopatwa nawazo la kufanya tendo la ndoa mishipa ya fahamu iliyo kwenye ubongo hupeleka ishara kwenye uti wa mgongo ambao nao hufikisha taarifa kwenye mishipa ya uume.
👉Taarifa ikishafika kwenye mishipa ya uume, huifanya mishipa ya uume kutanuka na mishipa ya uume inapotanuka hufanya mambo makuu mawili:-
1. Kwanza hufanya mishipa ya ateri kufunguka hivyo kufanya damu kutiririka kwa kasi sana na kuingia kwenye mishipa ya uume. -(Mishipa ya ateri ndio inayotumika k**a njia ya kuingiza damu kwenye uume. Bila mishipa ya ateri kuwa imara na yenye afya damu haiwezi kuingia kwenye mishipa ya uume, na damu isipoweza kuingia kukaa kwenye mishipa ya uume, basi uume hauwezi kusimama ).
2. Pili -Huibana mishipa ya vena na hivyo kuzuia kunyonya damu kutoka kwenye uume na kuipeleka kwenye sehemu nyingine za mwili. Matokeo yake kuufanya uume uendelee kusimama kwa muda mrefu wakati wa tendo la ndoa.
NB: kazi kubwa ya mishipa ya neva iliyokaribu na mishipa na mishipa ya uume ni kunyonya damu kutoka ndani ya mishipa ya uume kuipeleka kwenye sehemu nyingine za mwili. -Mishipa ya vena ni kuhakikisha hakuna damu kwenye mishipa ya uume uliosimama. -Kadri damu inavyozidi kuingia ndani ya mishipa ya uume ndivyo unavyozidi kuwa mgumu na kukak**aa. -Na kadri damu inavyohifadhiwa ndani ya mishipa ya uume ndivyo uume unavyoendelea kusimama wakati wa tendo la ndoa kwa muda mrefu. Baada ya kumaliza kufanya tendo la ndoa, mishipa ya uume inarudi katika hali yake ya kawaida (inanyauka) ikisha nyauka, mishipa ya ateri inanyauka pia, vena zinafunguka na kunyonya damu katika mishipa ya uume na kuirejesha katika sehemu nyingine za mwili na hatimaye uume hurudi katika hali ya kawaida ( Flaccid ).
K**a Una changamoto yoyote kuhusu swala la kusimama Kwa uume usisite tupigie simu au tuma neno KIUME kwenda WhatsApp +255762497846 kwa ushauri zaidi.