Vina_afya_uzazi

Vina_afya_uzazi Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Vina_afya_uzazi, Medical and health, sinza, afrika sana, Dar es Salaam.

MADHARA YA KUTOKA UCHAFU UKENI๐Ÿ”น Muwasho na kuungua sehemu za siri.๐Ÿ”น Harufu mbaya kutoka ukeni.๐Ÿ”น Maumivu wakati wa kukojo...
19/08/2026

MADHARA YA KUTOKA UCHAFU UKENI
๐Ÿ”น Muwasho na kuungua sehemu za siri.
๐Ÿ”น Harufu mbaya kutoka ukeni.
๐Ÿ”น Maumivu wakati wa kukojoa au kujamiiana.
๐Ÿ”น Uvimbe, wekundu au vidonda sehemu za siri.
๐Ÿ”น Usumbufu na kupungua kwa kujiamini katika maisha ya kila siku.
๐Ÿ”น Baadhi ya maambukizi ya uke au magonjwa ya zinaa yasipotibiwa yanaweza kusambaa na kusababisha matatizo ya mfumo wa uzazi.

18/08/2026

Wanawake kwa nini mnakuwa na makelele hivi au niwaache anyway we are open to serve you

17/08/2026

Miwasho sehemu za siri inaweza kuleta aibu, usumbufu na kukosa kujiamini, hasa ikiwa inajirudia. Lakini si jambo la kuona aibuโ€”ni changamoto inayoweza kuwa na sababu mbalimbali na inahitaji kutambuliwa vizuri.

14/08/2026

Mara ya mwisho kupata ute wa kawaida ulikuwa lini? ๐Ÿ‘€
Ute wa uke unaweza kubadilika kulingana na mzunguko wa hedhi, homoni na hali ya mwili. Lakini mabadiliko yasiyo ya kawaida yanaweza kuwa ishara ya changamoto inayohitaji uangalizi.
๐Ÿ’ฌ Tuambie kwenye comment: Mara ya mwisho kupata ute ulikuwa lini, na ulikuwa wa aina gani?

Unasumbuliwa na miwasho ukeni?Usiipuuzie hali hiyo. Miwasho inaweza kusababishwa na sababu mbalimbali k**a fangasi, Hali...
13/08/2026

Unasumbuliwa na miwasho ukeni?

Usiipuuzie hali hiyo. Miwasho inaweza kusababishwa na sababu mbalimbali k**a fangasi, Hali ya hewa na mabadiliko ya bakteria wa kawaida ukeni, mzio wa bidhaa fulani, au sababu nyingine. Karibu tukupatie suluhisho linaloanza kutibu chanzo cha tatizo bila kuwa na athari zozote za kiafya.
Tupo kukuhudumia na kukupatia bidhaa zenye ubora kwa ajili ya afya ya sehemu za siri,ushauri tunatoa bureee

๐Ÿ“ฉ Tuma ujumbe inbox au WhatsApp kwa maelezo zaidi.

Afya yako ni kipaumbele chetu.

12/08/2026

All the way kutoka KATAVI asante sana

12/08/2026

NI MAOMBI YANGU MUNGU ASIKIE KILIO CHAKO CHA AKUTAFUTA MTOTO AMKNA๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™

12/08/2026

Je, unajua kuwa miwasho ukeni inasababishwa na vitu vifuatavyo
โŒ๏ธ๐Ÿ„ Fangasi (Candida) โ€” mara nyingi huambatana na ute mzito mweupe na kuwasha
โŒ๏ธ๐Ÿฆ  Bacterial vaginosis (BV) โ€” inaweza kuleta harufu isiyo ya kawaida na mabadiliko ya ute.

โŒ๏ธ๐Ÿฆ  Maambukizi ya zinaa, k**a trichomoniasis.

โŒ๏ธ๐Ÿงด Muwasho kutokana na bidhaa k**a sabuni zenye manukato, sprays, pads au dawa za kuosha uke.

โŒ๏ธ๐Ÿ’ง Unyevu na jasho katika eneo la uke.

โŒ๏ธ๐Ÿ‘– Nguo za ndani zinazobana au zisizopitisha hewa.
TIBU MIWASHO HIYO ITAKUTIA AIBU

11/08/2026

Mungu akubariki na wewe

11/08/2026

Umuhimu wa UTE
๐Ÿ›ก๏ธ Kulinda dhidi ya maambukizi โ€“ mazingira ya uke husaidia kudhibiti bakteria na fangasi wasiofaa.
โค๏ธ Kusaidia wakati wa tendo la ndoa โ€“ ute huongeza ulaini na kupunguza maumivu yanayotokana na msuguano.
๐ŸŒธ Kusaidia kujisafisha โ€“ ute husaidia kutoa seli zilizokufa na uchafu wa kawaida kutoka ukeni.
๐Ÿฅš Kusaidia kutambua kipindi cha ovulation โ€“ karibu na siku za ovulation, ute unaweza kuwa mwingi, wa uwazi na wa kunyooshika k**a ute wa yai.

Address

Sinza, Afrika Sana
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Vina_afya_uzazi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Vina_afya_uzazi:

Shortcuts

Share