kuwa.fit

kuwa.fit Ongeza Nguvu Za Kiume Bila Kutumia DAWA, Serious WhatsApp +255785858669

MAKOSA MANNE HATARI WANAYOFANYA WANAUME WENYE MATATIZO YA NGUVU ZA KIUME...K**a wewe ni mwanaume mwenye tatizo la nguvu ...
31/10/2022

MAKOSA MANNE HATARI WANAYOFANYA WANAUME WENYE MATATIZO YA NGUVU ZA KIUME...

K**a wewe ni mwanaume mwenye tatizo la nguvu za kiume hakikisha unajiepusha na makosa haya Manne;

Kwani kufanya makosa haya unaweza kusababisha tatizo hilo kuongezeka badala ya kupungua.

Wanaune wengi wanaojijua wanatatizo la nguvu za kiume wanafanya makosa yafuatayo.

1) Kosa la kwanza wanapuuza tatizo unakuta mtu anachukulia poa changamoto yake bila kujua siku zinavyozidi kwenda ndivyo tatizo huzidi kukua na hatimaye kuweza kumpelekea mtu pabaya.

Hivyo basi usipuuze maana mpaka unaona shida ni kwamba tatizo limekua kubwa kwa sababu mara nyingi changamoto hii huchukua muda kujitengeneza tatizo.

2) kutokujua chanzo cha tatizo nahii imekua kawaida kumkuta mtu anatatizo lakini hajui chanzo cha tatizo lake.

3) Kutokuwa na elimu sahihi juu ya changamoto hii ya upungufu wa nguvu za kiume.

Wanaume wengi badala ya kutafuta wataalamu wa haya mambo huchukua uamuzi wa kuwafikishia watu wasio sahihi.

Na hujikuta wakiangukia njia zisizo sahihi kuondoa changamoto hii ya nguvu za kiume.

4) Wanaotumia dawa za nguvu za kiume (booster) Hii imekua ni tabia ya wanaume wengi wakijigundua wanashida hii hukimbilia kutumia madawa ya kuongeza nguvu za kiume.

Wakidhani ni suluhisho kwao kumbe ndiyo wanaongeza tatizo na kutopona kabisa au kufanya mwili kushindwa kujiendesha wenyewe kwamba mtu awezi kushiriki tendo la ndoa bila kutumia madawa hayo.

KUMBUKA tatizo hili nila kimfumo si uume pekee unaokufanya ushiriki tendo ipasavyo bali ni vitu vingi zaidi vinahusika kukamilisha tendo.

Ikitokea kimoja kina tatizo hapo ndiyo tatizo huanza, K**a unachangamoto hii tayari karibu tukusaidie kuondokana nayo 👇.

Follow me 👉🏾 .fit
WhatsApp/ 0785858669


JINSI YA KUEPUKA KUPATA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA KUSHINDWA KURUDIA TENDO...♻️Fanya mazoezi – Angalau daki...
31/10/2022

JINSI YA KUEPUKA KUPATA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA KUSHINDWA KURUDIA TENDO...

♻️Fanya mazoezi – Angalau dakika 30 kwa siku

♻️Kula vyakula asilia na usile vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi.

♻️Tibu magonjwa yako yanayokuweka hatarini k**a kisukari, moyo, punguza unene na mengine mengi.

♻️Punguza (balanzi) kiwango cha halemu (choresterol) au mafuta yaliyozidi mwilini.

♻️Balanzi uzito wako.

♻️Usivute sigara.

♻️Punguza au acha kunywa pombe.

♻️Punguza mawazo.

♻️Kula vizuri vyakula bora hasa asilia na sio vyakula vyenye kemikali.

♻️Lala vizuri kwa muda mzuri – masaa 7 hadi 9.

♻️Usitumie dawa zenye kemikali nyingi huathiri mfumo wa uzazi.

♻️Kunywa maji ya kutosha lita 2.00 mpaka lita 3.5 kwa siku.

Ukizingatia hayo mambo hapo juu tatizo la nguvu za kiume utalisikia kwa jirani yako mulie soma wote.

Follow me 👉🏾
WhatsApp/ 0785858669

SOMA KWA UMAKINI STORI HII MPAKA MWISHO...Katika kuwasaidia watu wengi kuondokana na changamoto ya upungufu wa nguvu za ...
21/10/2022

SOMA KWA UMAKINI STORI HII MPAKA MWISHO...

Katika kuwasaidia watu wengi kuondokana na changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume.

Niliwasiliana na mtu mmoja aliekuwa na changamoto hiyo baada ya kuzungumza nae kwa dakika zisizopungua 15 alinielewa na akanieleza mambo yafuatayo.

Kwa hisia sana akisema Brother sio kwamba watu hawana hii changamoto, wenye shida ya nguvu za kiume ni wengi sana.

Lakini watu tunaogopa kutumia haya madawa ya mitandaoni kwa kuogopa tusije ongeza matatizo.

Ila kwa maelezo uliyonipa ni tofauti na watu wengi ambao nimekutana nao na pia umegusa kuanzia kiini cha tatizo langu kabisa.

Na umesema hutumii dawa ni Virutubisho" Baada ya maongezi pale pale alichkua k**a siku tatu akaagiza package yake ya Virutubisho ambavyo vilikuwa dose ya mwezi siku 30.

Akiwa katika dose siku saba tu akiwa ana endelea kutumia virutubisho akanipa USHUHUDA ambao yeye mwenyewe hakutarajia.

Alikuwa na changamoto ya kuwahi kumaliza na uume kuwa lege lege lakini hadi sasa yupo STRONG K**A NYATI😃🐃.

Na sasa amekuwa balozi mkubwa wa kuelimisha jamii inayomzunguka na kuwasaidia wengine.

KUMBUKA: Tatizo la nguvu za kiume sio ugonjwa hivyo huhitaji dawa bali unahitaji VIRUTUBISHO vyakula mazoezi mepesi ili MEN/KUWA-FIT]

VIRUTUBISHO ambayo utatumia vimethibitishwa na kutumika na zaidi ya nchi 165 duniani.

Tuma neno KUWAFIT kwenda WhatsApp/Call +255785858669 upate suluhisho sahihi kwajili ya afya yako ya uzazi (NGUVU ZA KIUME).

Follow me 👉🏾 MEN/KUWA-FIT]
WhatsApp/ 0785858669

EPUKA KUFANYA HAYA WAKATI WA TENDO...Moja ya eneo la kuzingatia sana kwenye mahusiano yako ni kipindi upo kitandani, yaa...
17/10/2022

EPUKA KUFANYA HAYA WAKATI WA TENDO...

Moja ya eneo la kuzingatia sana kwenye mahusiano yako ni kipindi upo kitandani, yaani wakati wa kushiriki tendo la ndoa.

Maana miongoni mwa chanzo kinacho wapelekea watu wengi kuharibu mahusiano yao ni kutokuwa na uelewa mzuri wa Kufanya mapenzi.

Kwa mantiki hiyo basi, ni vyema kujua kwamba, kuna mambo hatupaswi kufanya wakati wa kufanya tendo la ndoa

1.Usiweke presha kwenye kufika kileleni:

Kila mmoja anatamani kufika kileleni wakati wa tendo.

Kufika kileleni na kutofika kileleni ni matokeo ya vitu vingi ikiwamo maandalizi yenu na hata hali zenu za kiafya kwa siku hiyo.

Hivyo basi mmoja wapo anapokuwa na matarajio makubwa ya kufika kileleni na kisha isiwe hivyo inaweza kuharibu furaha katika mapenzi yenu.

2.Usiangalie muda:

Ukianza kumuonesha mwenza kuwa una haraka ya kumaliza hasa wakati au baada ya tendo anaweza kuishiwa hamu na tendo hilo.

Pia Unapoamua kujamiiana na mwenza wako, basi angalau kwa muda ule akili na mawazo yako yawe katika eneo lile, hii inalinda na kujenga zaidi mapenzi hata baada ya tendo la ndoa kwani kuna mapenzi baada ya kujamiana.

3.Usikae mtindo mmoja kwa muda mrefu:

Ili kuburudika wakati wa tendo la ndoa, basi ni vyema kutumia mitindo/style mbalimbali.

Mitindo na style za tendo itategemea na maumbile yenu na hata aina ya eneo mnalotumia kufanya kitendo hicho.

Mwenza wako anaweza kushindwa kukueleza ukweli kuhusu tabia ya kutobadili mitindo, ila anaweza kubadilika kwa kupunguza mapenzi kwako na hatimaye kutimka kabisa.

4.Usifanye mapenzi ukiwa na njaa au umeshiba sana:

Waswahili waliwaza mbali sana kusema "Shibe mwana malevya njaa mwana mageleza" Ndio kimoja wapo hapo kikizidi ni hatari kwenye kufanya tendo la ndoa.

Ngono ni shughuli pevu hivyo unapaswa uwe umekula chakula cha wastani ili uweze kumudu vizuri tendo.

NAAMINI UMEJIFUNZA KITU.!

K**a unasumbuliwa na changamoto ya kuwahi kufika kileleni au kushindwa kurudia tendo.

Wasiliana nami WhatsApp/Call 0785858669 Nikusaidie kumaliza hiyo changamoto.

JINSI BACTERIA (H.pyori) ANAVYO SABABISHA VIDONDA VYA TUMBO...Sehemu Ya Pili, Tulipo Ishia, Soma Mpaka Mwisho;Inawezekan...
16/10/2022

JINSI BACTERIA (H.pyori) ANAVYO SABABISHA VIDONDA VYA TUMBO...

Sehemu Ya Pili, Tulipo Ishia, Soma Mpaka Mwisho;

Inawezekana wewe ni mmoja wapo na unasumbuka na hili tatizo la vidonda vya tumbo kutokana na hawa Bacteria.

USIHOFU, GREEN ULCERS PACK:

Ipo na ni suluhisho kamili na la moja kwa moja kwa changamoto hii.

•Itakusaidia katika KUONDOA hawa Bacteria.
•Itakusaidia katika KUONDOA asidi mbaya katika tumbo.
•Itakusaidia katika KUONDOA tatizo lenyewe la vidonda vya tumbo.

•Itakusaidia katika KUIMARISHA mmeng'enyo wa chakula.
•Itakusaidia katika KUONDOA changamoto ya tumbo kujaa gas.

•Itakusaidia katika KUONGEZA nyuzi nyuzi (Fiber) mwilini ambazo ni muhimu katika upataji choo na mmeng'enyo wa chakula kuwa mzuri.

•Itakusaidia katika KUONGEZA & KUZALISHA Bacteria wazuri, ambao watasaidia katika kuondoa hawa Bacteria wabaya.
•Itakusaidia katika KUPATA choo kilaini.

Hizo ni baadhi tuu ya Faida chache kati ya Nyingi ambazo utazipata utakapokuwa unaitumia GREEN ULCERS PACKAGE Kwaajili ya kuondoa tatizo la VIDONDA VYA TUMBO.

JE UNA TATIZO HILI AU UNAHITAJI KUJILINDA NA HAWA BACTERIA??.

Wasiliana nami moja kwa moja Inbox au Comment hapa Chini, ili nikupe mwongozo wa Jinsi ya kuipata GREEN ULCERS PACKAGE YAKO.

Follow me 👉🏾 .fit
WhatsApp/ 0785858669


FAHAMU JINSI BACTERIA (H.pyori) ANAVYO SABABISHA VIDONDA VYA TUMBO...Ukiachana na sabababu za kuwa na mmeng'enyo mbaya w...
15/10/2022

FAHAMU JINSI BACTERIA (H.pyori) ANAVYO SABABISHA VIDONDA VYA TUMBO...

Ukiachana na sabababu za kuwa na mmeng'enyo mbaya wa chakula, Bacteria huchangia sana kupata tatizo la vidonda vya tumbo.

Bacteria, helicobacter pylori/Campilobacter pylori ni aina ya Bacteria ambao wanachangia kwa asilimia kubwa sana, watu wengi kuwa na tatizo la Vidonda vya Tumbo.

Anaweza kusafiri kutoka kwa mtu Mmoja kwenda kwa mwingine kupitia njia zifuatazo:

(a) Kupitia mate (kunyonyana midomo)
(b) Kupitia matapishi.
(c) Kupitia kinyesi
(d) Kupitia chakula ama maji yaliyokuwa na bacteria hawa.

SABABU ZINAZOWEZA KUPELEKEA MTU KUAMBUKIZWA BACTERIA HAWA (H.pylori).

⚫ Kuishi mazingira yenye mikusanyiko mikubwa ya watu bila kuchukua tahadhari.
⚫ Kunywa maji yasiyokuwa safi.
⚫ Kula vyakula visivyooshwa mfano matunda na Mboga za majani.
⚫ Kuishi karibu na mtu mwenye vidonda vya tumbo bila kuchukua tahadhari.

H.pylori anapoingia katika mwili wa binadamu huathiri uzio mwenye kulinda ukuta wa tumbo na utumbo mdogo (protective mucous) hali hii hupelekea kudhoofika kwa kuta katika tumbo na utumbo mdogo.

Ukuta huu unapodhoofika husababisha Tindikali (Asidi) inayozalishwa tumbo kuunguza na kuuchimba ukuta wa tumbo, pia Bacteria hawa huchimba ukuta wa tumbo na KUSABABISHA kutokea vidonda katika ukuta wa tumbo na vidonda hivi ndivyo tunavyoviita vidonda vya TUMBO kwasababu vipo tumboni (Gastric Ulcers).

⚫ Bacteria huyu haathiriwi na Acid ya tumboni ( Hydrochloric acid~HCL) kwasababu ana uwezo wa kuzalisha kimeng`enya (Urease enzyeme) ambayo huungana na UREA kuzalisha Ammonia ambayo huungana na Acid ya tumboni (HCL) kuzalisha Maji na Ammonium Chloride ambayo haina uwezo wa kumuathiri huyu Bacteria.

Hivyo bacteria huyu huzidi kujilinda kwa namna hii Mpaka hufikia hatua ukuta wa tumbo huchimbwa zaid na huyu Bacteria huzid kuingia ndan zaid ya tumbo ambapo acid hushindwa kumuathiri na hali hii husababisha vidonda vya TUMBO kuzidi na KUSABABISHA mgonjwa kuwa na hali mbaya zaidi.

⚫ Huyu Bacteria huathiri zaidi kwa pamoja na Acid ya tumbo na hufikia hatua mgonjwa huweza kupata Kansa ya tumbo/Kansa ya Utumbo mdogo.

Itaendelea Sehemu Ya Pili, Utapata Na Suluhisho Lake.

MWANAUME ZINGATIA HAWA WAKATI WA TENDO...Kitaalamu baada ya kumwaga mbegu round ya kwanza, mwanaume huchukua muda kadhaa...
12/10/2022

MWANAUME ZINGATIA HAWA WAKATI WA TENDO...

Kitaalamu baada ya kumwaga mbegu round ya kwanza, mwanaume huchukua muda kadhaa bila kuwa na hamu ya kufanya tendo kabla ya uume kuamka na kuendelea.

Kipindi hichi huitwa 𝗿𝗲𝗳𝗿𝗮𝗰𝘁𝗼𝗿𝘆 𝗽𝗲𝗿𝗶𝗼𝗱 ni kipindi cha mapumziko ambapo mwili hujijenga upya baada ya kumwaga mbegu.

Je ni muda gani sahihi mtu anatakiwa kupumzika kabla ya kuendelea na round ya pili?.

Kwa wanawake inachukua sekunde chache tu kurudi kwenye mchezo tena, wakati kwa wanaume kuna tofauti sana.

Kwa vijana kuanzia miaka 18 hadi miaka 34 huchukua dakika 15 hadi nusu saa kuendelea na round ya pili.

Ila kuanzia miaka 35 na kuendelea yaweza kuchukua dakika 30 hadi masaa 12 wengine huchukua hata siku nzima.

Yani inatofautiana kwa kila mtu kulingana na afya yake, umri, hamu ya tendo na lishe pia.

Ila kadri umri unavyoongezeka ndivyo utachukua masaa mengi zaidi kurudi kwenye mchezoni.

Kuimarisha msisimko baada ya tendo la kwanza fanya haya;

🚀Sitisha kupiga punyeto k**a unachukua mda mrefu sana kurudia tendo, kupiga punyeto inaweza kukuathiri zaidi.

📣Punguza siku za kufanya tendo k**a ulikuwa unafanya kila siku, jaribu kuweka kila baada ya siku nne ama week moja ndipo ukutane na mpenzi wako.

🚀Jaribu style mpya ya kufanya tendo kila mkao wa tendo unaleta msisimko wa tofauti.

📣Usikamie sana wakati wa tendo chukulia tendo k**a mchezo wa kuigiza, na wewe na mwenzi wako ndio waigizaji.

Hii itakufanya usiwe na mhemko sana na utaweza kulimudu tendo nakila mtu atafika kileleni.

NOTE; kila mwanaume ana uwezo wake tofauti wa kurudia tendo baada ya bao la kwanza.

Unaweza kusikia wengine wakikwambia wanaunganisha mabao, usipate mawazo ukafikiri wewe haupo sawa!.

Karibu tukusaidie kuimarisha mfumo wako wa uzazi kupitia Virutubisho vya asili Ili uweze kumudu vizuri tendo.

Follow me 👉🏾 .fit
WhatsApp/ 0785858669
# # # ❤️

FAIDA ZA KUTUMIA BEDROOM PARK WAKATI WA TENDO...🍎Husaidia kwa wenye tatizo la kuwahi kufika kileleni.🍎Huimarisha misuli ...
10/10/2022

FAIDA ZA KUTUMIA BEDROOM PARK WAKATI WA TENDO...
🍎Husaidia kwa wenye tatizo la kuwahi kufika kileleni.

🍎Huimarisha misuli ya dhakari legevu kutoka na kujichua (PUNYETO).

🍎Husaidia kubalance hormones kwa wenye tatizo la Hormones imbalance.

🍎Husaidia kutoa mbegu zenye afya na zenye uwezo wa kuogelea na kulifikia yai la mwanamke kiurahisi.

🍎Husaidia kurekebisha na kuweka sawa kiwango cha mzunguko wa damu BP ( Blood Pressure).

🍎Husaidia kupunguza mafuta mabaya kwenye mishipa ya damu (Cholesterol).

🍎Husaidia kuupa mwili nguvu na stamina wakati wa tendo.

🍎Husaidia kurekebisha Insulin mwilini kwa utunzaji wa sukari kwenye damu ili kuepusha au kupunguza madhara ya ugonjwa wa kisukari.

🍎Husaidia mzunguko mzuri wa damu kwenye mishipa sehemu zote za mwili, kutokana na uwepo wa Nitric oxide huzalisha oxygen ya kutosha kwenye damu, Hivyo huupa mwili nguvu na stamina wakati wote wa tendo.

Wasiliana nami ili uweze kupata package yako ili uondokane na changamoto ya afya ya uzazi wakati wa tendo.

Follow me 👉🏾 .fit
WhatsApp/ 0785858669

UKIPIGA PUNYETO MADHARA YATAKAYO KUPATA NI HAYA...1.Uume kusinyaa kila ukijaribu kubadilisha style au mtindo.2.Uume kusi...
05/10/2022

UKIPIGA PUNYETO MADHARA YATAKAYO KUPATA NI HAYA...

1.Uume kusinyaa kila ukijaribu kubadilisha style au mtindo.

2.Uume kusimama kwa ulegevu baada ya kumaliza bao la kwanza.

3.Kupata bao lenye maumivu hasa kuanzia bao la pili na kuendelea.
Kukosa hisia kabisa baada tu ya kufika kileleni safari ya kwanza

4.Kuchoka sana baada ya kufanya mapenzi.

5.Uume kutosimama ukiwepo na mwenza wako lakini akiondoka unaona unapata hamu na uume unasimama vizuri.

6.Kufika kileleni haraka sana na baada ya kufika unashindwa kurudia tena.

7.Kushindwa kumuandaa mpenzi wako, kuhofia utafika kileleni kabla ya mchezo.

8.Kutoa mbegu hafifu hadi kusababisha kushindwa kumpa mkeo ujazuzito.

K**a una kutana na changamoto hizo wakati wa tendo hizo ni dalili za upungufu wa nguvu za kiume.

Call/WhatsApp 0785858669 kupata suluhisho.

Follow me .fit
WhatsApp/Call 0785858669

K**A UMEJICHUA (KUPIGA PUNYETO) KWA MUDA MREFU, INAWEZEKANA UKAWA UNAPATA MADHARA K**A  HAYA...i. Maumivu ya kichwa mara...
29/09/2022

K**A UMEJICHUA (KUPIGA PUNYETO) KWA MUDA MREFU, INAWEZEKANA UKAWA UNAPATA MADHARA K**A HAYA...

i. Maumivu ya kichwa mara kwa mara.

ii. Maumivu ya Kiuno mara kwa mara.

iii. Maumivu ya Mgongo.

iv. Unapoteza Kumbukumbu.

v. Nywele zinanyonyoka / kuota bila mpangilio mzuri.

vi. Unapoteza hisia za tendo la ndoa.

vi. Misuli inalegea / kusinyaa wakati wa tendo au baada ya tendo.

vii. Kutoa mbegu chache na masuala ya homoni na kukosa nguvu na stamina...

K**a unapata changamoto yoyote katika hayo, basi naomba Wasiliana namimi WhatsApp/ 0785858669

LIPO SULUHISHO SAHIHI KWAKO.

Follow me MEN/KUWA-FIT]
Follow me MEN/KUWA-FIT]

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when kuwa.fit posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share