Afya plus001

Afya plus001 Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya plus001, Medical and health, Dar es Salaam.

TUNATATUA changamoto mbalimbali za KIAFYA hususani magonjwa yasiyo ambukizwa kama vile tezi dume, bawasiri,VIUNGO na mifupa,vimbe kwenye kizazi,PID,fungus sugu n.k

VIPIMO,,, USHAURI NA MATIBABU KWA BEI YA PUNGUZOShirika la Afya kutoka CHINA/ GCAT HOSPITAL, IMETOA OFA KWA WATU WATAKAO...
17/03/2026

VIPIMO,,, USHAURI NA MATIBABU KWA BEI YA PUNGUZO

Shirika la Afya kutoka CHINA/ GCAT HOSPITAL, IMETOA OFA KWA WATU WATAKAO fika katika vituo vyake vyote, KUPATA HUDUMA YA VIPIMO NA MATIBABU
Ofa hii niya👇👇
▪️ Vipimo vya mwili mzima, Kupimwa magonjwa yote mwilini ni Tshs 30,000/= tu
▪️ Punguzo la bei 20% kwa kila dawa( bidhaa zetu )

Magonjwa tunayo tibu ni;
✅ Matatizo ya Moyo na INI
✅Kansa,
✅Vidonda vya Tumbo,
✅Kisukari
✅Pumu
✅Stroku.
✅Matatizo ya uzazi kwa kina mama na kina baba
✅Matatizo ya mifupa,
✅Matatizo ya miguu
✅Ngozi,
✅Figo,
✅Fangasi sugu
✅Kupunguza unene, uzito, na matumbo
✅Kuongeza kinga mwilini(CD4)
✅U.T.I sugu,Gesi
✅Bawasiri,
✅Tenzi dume
✅Heshima ya ndoa kwa kina baba. N.k

TIBA ZETU NI TIBALISHE NA VIRUTUBISHO.
Ambavyo hufanya kazi kuu nne ( 4 ) mwili
👉 Kuosha
👉 Kulinda/ Kukinga
👉 Kujenga
👉 Kutibu

Karibu sana Upate huduma Zetu imara . Tupo Dar es salaam Majumba sita Airport na Mikoani pia tunapatikana

Wasiliana nasi kwa simu namba
0620242149
https://wa.me/message/K6OAYRP33PCDJ1

TAMBUA KWANINI UNATUMIA DAWA NYINGI BILA KUPATA MATOKEO ?     Wanaume wengi wanashindwa kutungisha mimba na wanawake Kut...
12/03/2026

TAMBUA KWANINI UNATUMIA DAWA NYINGI BILA KUPATA MATOKEO ?
Wanaume wengi wanashindwa kutungisha mimba na wanawake Kutoshika Mimba kutokana na changamoto mbalimbali. Swala la uzazi sio la upande mmoja tu wa mwanamke pia wanaume wengi hawana uwezo wa kutungisha mimba. ✍🏻✍🏻
Tumewasaidia wanaume na wanawake wengi sana kutibu tatizo la ugumba na wamepata watoto. Na wengi wao walikuwa na changamoto k**a hizi👇
✅Kuwa na mbegu chache
✅Kuwa na uvimbe kwenye kizazi au kwenye mayai
✅Mbegu kuwa na uwezo mdogo wa kuogelea.
✅ Mvurugiko wa homoni/ Homone imbalance
✅ Kutokurudia tendo la ndoa
✅ Mirija ya uzazi kuziba
✅ Upunguvu wa nguvu za kiume
✅Kukosa hamu ya tendo la ndoa
✅Dhakari kusimama kwa ulegevu.
✅ Kukosa hedhi/Period
✅ Saratani ya shingo ya kizazi
✅Kuhisi maumivu wakati wa tendo.
✅ Kukosa hisia
✅ Changamoto ya tezi dume.
#.Nanyingine nyingi

Haijalishi changamoto yako wewe imekutesa kwa mda gani,GCAT HEALTH CARE CLINIC Kutoka China ipo kwa ajili ya kutatua changamoto yako.
⚫Tunatoa huduma ya vipimo vya mfumo mzima wa Mwanaume na Mwanamke kwa Tshs 30,000/= tu .
NB: Usitumie dawa yoyote bila kupata vipimo na Ushauri wa daktar.✖️
Je ni wewe unahitaji huduma kwa ofa hii ya vipimo?
K**a ni wewe basi piga simu kwa namba 0620242149Kwa maelekezo zaidi , Tunapatikana dar es salaam Majumba sita na mkoani pia.
Wasiliana nasi kwa namba 0620242149 maana ninao mda wa kuongea na wewe ,piga simu sasa hivi.
👇
Ps.Thamani ya kipimo hiki ni tsh.130000 lakini ndani ya week hii utaipata kwa ofa ya tsh,30,000 tu!
Au bonyeza link hapo chini
https://wa.me/message/K6OAYRP33PCDJ1

ACHA KUUITA UGONJWA WAKO, ACHA KUSEMA UMESHINDIKANA, NJOO USAIDIWE...🧄Umetibiwa wapi na nani mpaka ufikie hatua ya kukat...
11/03/2026

ACHA KUUITA UGONJWA WAKO, ACHA KUSEMA UMESHINDIKANA, NJOO USAIDIWE...

🧄Umetibiwa wapi na nani mpaka ufikie hatua ya kukata tamaa?

🫚Mbona wenye shida k**a zako WAMEPONA na WAMERUDI kutimiza ndoto zao?

🥦GCAT INTERNATIONAL ni hospital za kichina zinazopatikana karibu mikoa yote Tanzania.

🥥Tumebobea Katika TAFITI NA KUTIBU magonjwa YASIYOAMBUKIZA kwa njia ya VIRUTUBISHO MAALUMU Vinavyotokana na mimea ya asili. Ni hospital pekee nchini tanzania iliyojipambanua kupambana na magonjwa yasiambukiza.

🥭Usikubali kuendelea kuhangaika njoo tukusaidie na wala hatujaribu tunaweza amini tumesaidia wengi wenye matatizo k**a yako.

🥑KARIBU uKutane na Wataalamu waliobobea kwenye Masuala ya Matibabu Kutoka China.

🥕Mfano wa magonjwa yasiyoambukiza ni k**a vile:

✓ matatizo ya Uzazi Kwa wanaume na Wanawake
√ Vidonda vya Tumbo na Typhoid sugu.
√ Mifupa, Ganzi. Na Meno
√ Stroke au kupalalaizi.
√ Magonjwa ya Moyo na Figo
√ Bawasiri na Tezidume
√ Ngiri na Uvimbe aina zote.
√ Matatizo ya Ngozi
√ KISUKARI, Presha ( BP), P I D, matatizo ya Macho N.K
Bonyeza Alama ya WhatsApp hapo Chini ili kuwasiliana na Daktar Bingwa oja kwa moja.
Au Tupigie. ......0620242149
https://wa.me/message/K6OAYRP33PCDJ1

JE UMESUMBUKA NA CHANGAMOTO YA UZAZI KWA MUDA MREFU? GCAT HEALTH itakupatia huduma kwa punguzo la Gharama kwa asilimia 4...
21/12/2025

JE UMESUMBUKA NA CHANGAMOTO YA UZAZI KWA MUDA MREFU?
GCAT HEALTH itakupatia huduma kwa punguzo la Gharama kwa asilimia 40% kwa kila huduma ikiwemo vipimo, matibabu pamoja na Dawa.

🌊 PID, UTI,hedhi
⏺️ Fangasi, Uvimbe
⏺️Ukavu ukeni
⏺️ Mimba kutoka
⏺️ Nguvu za kiume
⏺️Mirija ya uzazi
⏺️ Saratani ya uzazi
⏺️ Kutoshika mimba
⏺️ Mvurugiko wa homoni
⏺️Hamu ya watoto kula
⏺️ Madhara ya punyeto
⏺️Kushindwa kuludia tendo la ndoa

Ofa hii ni mwezi huu tu!

Tunapatikana Dar es Salaam na mikoani. Kwa mawasiliano zaidi tuma ujumbe au WhatsApp au Piga simu namba 0620242149☎️
https://wa.me/message/K6OAYRP33PCDJ1

*OFA YA CHECKUP YA MIFUPA NA MAUNGIO*🔥 OFA MAALUM: Checkup Kamili ya Mifupa na Maungio kwa 30,000/= Tu! 🔥  *Unasumbuliwa...
20/10/2025

*OFA YA CHECKUP YA MIFUPA NA MAUNGIO*

🔥 OFA MAALUM: Checkup Kamili ya Mifupa na Maungio kwa 30,000/= Tu! 🔥

*Unasumbuliwa na maumivu ya mgongo, miguu, magoti au viungo?*
Tuna suluhisho la kisayansi, salama na asilia!

---

💥 Unapata Nini kwa 30,000/= Tu?

✅ *Kipimo cha Kisasa cha Mifupa & Maungio*
- Kinaonyesha *tatizo halisi, chanzo chake*, na *eneo la mwili lililoathiriwa*.

✅ *Ushauri wa Kitaalamu kutoka Wataalamu wa China*
- Madaktari walio bobea katika *tiba lishe ya asili* na mifumo ya tiba ya mashariki.

✅ *Mpango wa Tiba Asilia wa Kurekebisha Tatizo Bila Dawa Kali*
- Unapewa muongozo wa lishe na mbinu asilia za kupunguza maumivu na kurejesha nguvu.

---

🎁 BONUS YA BURE:
🎁 *Muongozo wa Chakula Bora kwa Mifupa na Maungio*
🎁 *Mapendekezo ya tiba lishe maalum kwa mtu binafsi*

---

🛡️ *Kwa Nini Uchague Sisi?*
- Hatutumii dawa kali wala sindano
- Tiba ya asili inayolenga chanzo cha tatizo, si dalili tu
- Matokeo yanayoonekana ndani ya muda mfupi

---

⚠️ Nafasi ni CHACHE — Tunahudumia watu wachache kwa uangalizi wa karibu.

📍 *Mahali:* Kibaha NIDA. Tuna Vituo pia Mikoa yote Tanzania.

Tuma neno *OFA* WhatsApp 0620242149 Kuwahi nafasi ya Kumuona daktari.
https://wa.me/message/K6OAYRP33PCDJ1

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya plus001 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share