Changamoto za uzazi kwa akina mama

Changamoto za uzazi kwa akina mama Ninawasaidia wanawake kutatua changamoto za uzazi kwa kutumia njia mbadala( Mama shupavu programme)

24/09/2023

Kutoka maziwa , wakati siyo mjamzito wala haunyonyeshi Inaweza kusababisha kutokushika ujauzito.
*Rekebisha kiwango cha hormone ya Prolactin maana ndiyo sababu ya wewe kuwa hivyo*

09/07/2023

MAUMIVU WAKATI WA TENDO LA NDOA KWA AKINA MAMA , NI ISHARA ZA BAADHI YA MAGONJWA KATIKA MFUMO WA UZAZI K**A HORMONAL IMBALANCE, PID, FUNGUS .

Suluhisho Lipo , 0719270010.

UKIWA NA DALILI HIZI MWANAMKE USIKAE KIMYA.Maumivu wakati tendo la ndoa,Uke kuwa mkavu,Kukosa hamu ya tendo la ndoa. 071...
16/06/2023

UKIWA NA DALILI HIZI MWANAMKE USIKAE KIMYA.
Maumivu wakati tendo la ndoa,
Uke kuwa mkavu,
Kukosa hamu ya tendo la ndoa. 0719270010

Tezi dume ina suluhisho lankudumu bila kutumia upasuaji wa aina yeyote. Epuka fedheha , pata suluhisho bora na sisi. 071...
29/05/2022

Tezi dume ina suluhisho lankudumu bila kutumia upasuaji wa aina yeyote.

Epuka fedheha , pata suluhisho bora na sisi. 0719270010.

Changamoto za mifupa na maungio zimekuwa Kwa kiasi kikubwa Sana Kutokana na sababu mbalimbali k**a:➡️Umri mkubwa.➡️Ukose...
16/04/2022

Changamoto za mifupa na maungio zimekuwa Kwa kiasi kikubwa Sana Kutokana na sababu mbalimbali k**a:
➡️Umri mkubwa.
➡️Ukosefu wa Virutubisho k**a madini.
➡️Uzito mkubwa.
➡️Ongezeko la ajali za barabarani.
➡️Matumizi ya nyama kupiga kiasi.

✅Asilimia kubwa ya wenye changamoto hii hukata tamaa Kutokana na kukata muda mrefu bila kupona Kutokana na aina ya matibabu wanayoyapata hayaendani na Matatizo yenyewe.

Kutokana na hali hiyo , tafiti za kina zimefanyika na kugundua njia namna bora ya kudhibiti changamoto zote za mifupa na maungio.

Tumeandaa virubisho bora vyenye madini muhimu Kwa ajili ya mifupa na misuli k**a Calcium, Zinc, Selenium na magnesium. Sambamba na Hilo tumeandaa Virutubisho Bora Kwa ajili ya Maungio yote ambavyo vina mahitaji yote ya maungio Yaani Glucosamine Hydrochloride, Pamoja na Chondritin Sulfate Sodium vilivyotokana na mchanganyiko wa Vyakula mbalimbali k**a Samaki aina ya papa. Yote haya huenda kukarabati maungio yote , Pingili/ disc .

Zote zipo kwenye offer katika siku kuu hii ya pasaka. Ni njia bora na ya uhakika ya kuondoa k**a na. Changamoto za mifupa na maungio. Tumewasaidia wengi na tuneaendelea kuwasaidia na wengine wengi Tanzania na nje ya Tanzania.

Mawasiliano 0719270010.

Sumu mwilini huingia Kwa njia tofautitofauti. Njia hizo ni K**a -Vyakula tunavyokula-Madama tunayotumia-Vipodozi  tunavy...
19/03/2022

Sumu mwilini huingia Kwa njia tofautitofauti. Njia hizo ni K**a

-Vyakula tunavyokula
-Madama tunayotumia
-Vipodozi tunavyotumia.
-Hewa tunayovuta.

Sumu mwilini hudhoofisha utendaji kazi wa mwili. Na haha ni madhara yake.
-changamoto kwenye figo.
-Changamoto kwenye Inni.
-Matatizo ya mishipa ya damu na Mayo.
-Matatizo kwenye ubongo.
-Kukosa usingizi.

Kwa kuwa sumu hatuwezi kuziepuka, tumeandaa programme maalum Kwa ajili ya kuondoa Sumu kwenye mifumoyote mwilini na kuuacha mwili Salama.

Programme hii hupatikana Kwa T-shirt.75,000 Lakini Kwa sasa ipo kwenye offer ni Tsh 49,000 tuu. Offer ni siku tatu. Wasiliana basi Kwa 0719270010.

19/03/2022

Address

Mlimani City
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 20:00
Tuesday 09:00 - 20:00
Wednesday 09:00 - 20:00
Thursday 09:00 - 20:00
Friday 08:00 - 20:00
Saturday 09:00 - 20:00
Sunday 09:00 - 20:00

Telephone

+255719270010

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Changamoto za uzazi kwa akina mama posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Changamoto za uzazi kwa akina mama:

Share