Health and Nutrition

Health and Nutrition Karibu katika ukurasa wetu ambapo tunajihusisha na kutoa elimu ya afya

UJUE UGONJWA WA BAWASILI, MADHARA YAKE NA TIBA Bawasiri ni mojawapo ya matatizo ambayo mara nyingi inapotokea humfanya m...
17/12/2020

UJUE UGONJWA WA BAWASILI, MADHARA YAKE NA TIBA

Bawasiri ni mojawapo ya matatizo ambayo mara nyingi inapotokea humfanya muathirika kuwa na aibu kuelezea au kwenda hospitali ili kupata tiba.Bawasiri husababishwa na kuvimba kwa mishipa ya damu aina ya vena katika eneo la mfereji wa haja kubwa.

A.KUNA AINA MBILI ZA BAWASIRI(HEMORRHOIDS)
1.Ya nje ya puru- Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa na mara nyingi huambatana na maumivu na muwasho katika sehemu hiyo.Mara nyingi mishipa hiyo ya damu(vena)hupasuka na damu huganda na kusababisha hali iitwayo THROMBOSED HEMORRHOIDS kitaalamu.
2.Ndani ya puru/tupu/duburi-Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa na haiambatani na maumivu hivyo kuwafanya wengi kutotambua kuwa wana tatizo hili.
Aina hii imegawanyika katika sehemu zifuatazo;
i.Bawasir kutotoka katika mahali pake(iliyosimama)
ii.Bawasir inayotoka wakati wa haja kubwa kurudi yenyewe baada ya kumaliza kujisaidia
iii.Bawasir inayotoka wakati wa haja kubwa na hairudi yenyewe baada ya kujisaidia mpaka mwathirika airudishe mwenyewe.
iv.Bawasir inayotoka wakati wa haja kubwa na ni vigumu mtu kuirudisha baada ya kumaliza kujisaidia.

B.NINI KINASABABISHA BAWASIR ?
Miongoni mwa visababishi vya bawasir ni;
-Tatizo sugu la kuharisha
-Kupata haja kubwa(kinyesi)kigumu
-Uzito kupita kiasi(OBERSITY)

-Umri mkubwa na mambo yanayoongeza shinikizo katika tumbo.

C.DALILI ZA BAWASIR
-Kinyesi kuchanganyika na damu wakati wa kujisaidia CHEMATOZECHEZIA
-Maumivu au usumbufu katika njia ya haja kubwa
-Kutokwa na kinyesi bila kujitambua(kuvuja kinyesi)
-Kijiuvimbe katika eneo la tundu(mlango)wa kutolea haja kubwa.
-Ngozi katika eneo la tundu la haja kubwa kuwasha.
-Bawasir kutoka wakati wa kujisaidia haja kubwa.

D.ATHARI ZA BAWASIR
-Upungufu wa damu mwilini(ANEMIA)
-STRAGULATED HEMORRHOID
-Kinyesi kutoka na kuvuja bila kujitambua na kusababisha kunuka kinyesi saa zote.
-Kukupunguzia morali ya kufanya kazi kutokana na maumivu hasa watu wanaokaa muda mrefu maofisini.
-Kuathirika kisaikolojia
-Kukosa hamu ya tendo la ndoa.
-Kupungukiwa nguvu za kiume

E.JINSI YA KUZUIA BAWASIRI
-Kula mboga za majani na matunda na nafaka zisizokobolewa kwa wingi
-Kunywa maji mengi lita sita hadi kumi na mbili kwa siku
-Punguza kukaa kwa muda mrefu chooni bila kutoa choo.

*bonyeza link hii ujipatie nakala ya kitabu ambayo inaelezea kuhusu virutubishorishe unavyoweza kutumia kuondokana na maumivu uliyonayo kwa sasa

https://wa.me/message/UW2WYRNSRSOHK1

MAMBO 4 YA KUSHANGAZA UNAYOTAKIWA KUYAFAHAMU KABLA YA KUANZA KUDHIBITI UGONJWA WA KISUKARI (NAMBA NNE ITAKUSHANGAZA)1.ni...
17/12/2020

MAMBO 4 YA KUSHANGAZA UNAYOTAKIWA KUYAFAHAMU KABLA YA KUANZA KUDHIBITI UGONJWA WA KISUKARI (NAMBA NNE ITAKUSHANGAZA)

1.nini hutokea kiwango cha sukari kinapokua juu.!?
K**a tayari ni monjwa wa kisukari unatakiwa kuhakikisha kwamba sukari kuhakikisha sukari inabaki katika kiwango sahihi ni muhimu kwa sababu unaposhindwa na ikazidi itakufanya ujisikie vibaya yaani utapatwa na homa pamoja na uchovu na dalili zinginezo lakini pia inakuhatarishia afya yako hasa viungo muhimu vya mwili k**a Figo moyo na viungo k**a macho hivyo ni vyema unapogundua sukari yako ipo juu ni vyema sana kununua kipimo kwa ajili ya kujipima mwenyewe unapokua nyumbani kitakachokusaidia katika hili
Swali:kwanini sukari inaongezeka kwenye damu?
Kiwango cha glucose kwenye damu ni kiasi cha sukarikwenye damu ,glucose ni sukariinayotokana na vyakula tunavyokula kila siku na pia hutengenezwa na kuhifadhiwa mwilini na ndiyo chanzo kikuu cha nishati katika miili yetu na damu husafirisha sukari kwendakwenye seli za miili

2.kinachotokea unaposhindwa kudhibiti kisukari katika viwango vinavyotakiwa !?

Kisukari kisipodhibitiwa husababisha matatito mbali mbali k**a hypoglycemia (ni neon la kitaalamu litumikalo kumaanisha viwango vikubwa vya sukari mwilini Hali hii hutokea pale miili yetu inaposhindwa kutengeneza insulin ya kutosha kwa ajili ya kukidhi mahitaji ama inaweza ikawa inazalishwa k**a kawaida lakini mwili hushinwa kurespond vizuri pindi insulin inapozalishwa watu husikia kuhusu kudhibiti kisukari lakini hawaelewi maana yake ni nini Daktari wako anapozungumzaia sula hili anamaanisha kuhakikisha sukari yako ipo katika levl ya kawaida mwilini yaani isizidi wala kupungua kwenye kiwango chake sahihi kwa sababu kufanya hivi kutakuweka katika hali nzuri kiafya
Mambo ya kuepuka kufanya sukari ibaki kawaida
Kutokufuata maelekezo ya namna ya kutumia dawa
Kutokufuata mpangilio wa mlo kamili na (kula chakula kingi kupita kiasi /kula kidogo kuliko kawaida)
Kutokupima sukari mara kwa mara
Kutokufanya mazoezi kabisa ama kufanya mazoez kupita kiasi n ahata kufanaya mazoezi kidogo kuliko inavyotakiwa

3.Nini hutokea kisukari kisipotibiwa!?

Kisukari husababisha shida zifuatazo usipowahi kutibia tatizo hili la kisukari , matatizo ya moyo matatizo ya figo ,kiharusi(stroke) na uharibifu wa mfumo wa neva
-homoni aina ya insulin hutumika kutoa sukari kwenye damu na kuijaza kwenye sli ambapo hutumika k**a chanzo cha nishati kwa ajili ya mifumo yote ya mwilimwili unaposhindwa kuzaisha insulin ya kutosha sukari hubaki kwenye damu na hushindwa kuingia kwenye seli hivyo mwili hukosa nishati kwa ajili ya kufanya shughuli za mwili na hali hii mara nyingi humkuta mgonjwa mwenye aina ya kwanza ya kisukari ns katika aina hii ya kisukari husababishwa na mfumo waneva kuharibu seli za kongosho Aina ya pili hutokana na mwili kushindwa kufanya kazi vizuri hata k**a kuna insulin
4.Je ugonjwa huu unatibika!?

Kwa sasa hamna tiba iliyogundulliwa kufanya hivo lakini kwa mgonjwa wa kisukari aina ya pili anaweza kurudi katikahali yake ya kawaida kwa kubadili mfumo wa maisha aliokua nao mpaka akapata tatizo hili la kisukari kwa sababu tatizo la kisukari hutokana na ubovu wa matumizi ya lishe na mtindo mbovu k**a matumizi ya vileo na mengineyo nitaishia hapa

Nimekuandalia kitabu katika mfumo wa PDF kinachoelezea kuhusu ugonjwa huu na namna ya kucontrol sukari kupitia virutubisho lishe

https://wa.me/message/7BKG3CXCWLXCN1

UJUE UGONJWA WA BAWASILI, MADHARA YAKE NA TIBA. Bawasiri ni mojawapo ya matatizo ambayo mara nyingi inapotokea humfanya ...
12/12/2020

UJUE UGONJWA WA BAWASILI, MADHARA YAKE NA TIBA.

Bawasiri ni mojawapo ya matatizo ambayo mara nyingi inapotokea humfanya muathirika kuwa na aibu kuelezea au kwenda hospitali ili kupata tiba.Bawasiri husababishwa na kuvimba kwa mishipa ya damu aina ya vena katika eneo la mfereji wa haja kubwa.

A.KUNA AINA MBILI ZA BAWASIRI(HEMORRHOIDS)
1.Ya nje ya puru- Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa na mara nyingi huambatana na maumivu na muwasho katika sehemu hiyo.Mara nyingi mishipa hiyo ya damu(vena)hupasuka na damu huganda na kusababisha hali iitwayo THROMBOSED HEMORRHOIDS kitaalamu.
2.Ndani ya puru/tupu/duburi-Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa na haiambatani na maumivu hivyo kuwafanya wengi kutotambua kuwa wana tatizo hili.
Aina hii imegawanyika katika sehemu zifuatazo;
i.Bawasir kutotoka katika mahali pake(iliyosimama)
ii.Bawasir inayotoka wakati wa haja kubwa kurudi yenyewe baada ya kumaliza kujisaidia
iii.Bawasir inayotoka wakati wa haja kubwa na hairudi yenyewe baada ya kujisaidia mpaka mwathirika airudishe mwenyewe.
iv.Bawasir inayotoka wakati wa haja kubwa na ni vigumu mtu kuirudisha baada ya kumaliza kujisaidia.

B.NINI KINASABABISHA BAWASIR ?
Miongoni mwa visababishi vya bawasir ni;
-Tatizo sugu la kuharisha
-Kupata haja kubwa(kinyesi)kigumu
-Uzito kupita kiasi(OBERSITY)
-Ngono ya njia ya haja kubwa(ANAL S*X)
-Umri mkubwa na mambo yanayoongeza shinikizo katika tumbo.

C.DALILI ZA BAWASIR
-Kinyesi kuchanganyika na damu wakati wa kujisaidia CHEMATOZECHEZIA
-Maumivu au usumbufu katika njia ya haja kubwa
-Kutokwa na kinyesi bila kujitambua(kuvuja kinyesi)
-Kijiuvimbe katika eneo la tundu(mlango)wa kutolea haja kubwa.
-Ngozi katika eneo la tundu la haja kubwa kuwasha.
-Bawasir kutoka wakati wa kujisaidia haja kubwa.

D.ATHARI ZA BAWASIR
-Upungufu wa damu mwilini(ANEMIA)
-STRAGULATED HEMORRHOID
-Kinyesi kutoka na kuvuja bila kujitambua na kusababisha kunuka kinyesi saa zote.
-Kukupunguzia morali ya kufanya kazi kutokana na maumivu hasa watu wanaokaa muda mrefu maofisini.
-Kuathirika kisaikolojia
-Kukosa hamu ya tendo la ndoa.
-Kupungukiwa nguvu za kiume

E.JINSI YA KUZUIA BAWASIR
-Kula mboga za majani na matunda na nafaka zisizokobolewa kwa wingi
-Kunywa maji mengi lita sita hadi kumi na mbili kwa siku
-Punguza kukaa kwa muda mrefu chooni bila kutoa choo.

*Kwa maelezo zaidi na suluhisho wasiliana nasi kwa PIGA/SMS/WHATSAPP +255 785 520 102

Kisukari Husababishwa Na Nini? Dalili Za Kisukari Na Je Kuna Tiba Ya Kisukari?Kisukari ni ugonjwa wa kimetabolisim (ikim...
12/12/2020

Kisukari Husababishwa Na Nini?
Dalili Za Kisukari Na Je Kuna Tiba Ya Kisukari?

Kisukari ni ugonjwa wa kimetabolisim (ikimaanisha ni matokeo ya ufanyaji kazi wa mwili) unaotokea baada ya shida kwa mwili kupangilia utolewaji wa kichocheo ama hormone ya insulin. Hivo dalili za Kisukari ni matokeo ya kupanda kwa kiwango cha sukari kwenye damu kunakotokana na kufeli kwa kichocheo hiki cha insulin kufanya kazi, mpenzi msomaje hapa napenda uelewe kwamba kiwango cha sukari kwenye damu kitaaanza kuleta athari endapo kiwango cha insulin kinachomwagwa ni kidogo yaani hakitoshelezi kutokana na seli za beta zilizopo kwenye kongosho ambazo hutengeneza kichocheo hiki kuwa na hitilafu, sababu ya pili ni pale mwili unakuwa hausikii uwepo wa insulin kwenye damu kitaalamu tunaita INSULINI RESISTENCE., yaani kongosho linamwaga insulin kwenye damu lakini kiwango cha sukari bado kipo pale pale hapa ndipo tunapata kisukari cha ukubwani. Hii ni hatua mbaya kufikia ambapo wagonjwa wengi hukosa tumaini na hukata tamaa katika kutafuta dawa ya kisukari cha kupanda. Huhitaji kufikia huko fuata lishe sahihi utaishi bila Kisukari.

Aina Za Kisukari

Kuna aina kuu 2 za Kisukari, aina ya kwanza ambayo Kisukari cha utotoni na aina ya pili ya Kisukari ambacho ni Kisukari cha ukubwani.

1. Kisukari Cha Utotoni
Aina hii ya Kisukari huanza pale mtoto anapozaliwa hadi kufkia umri wa miaka 18 au 20, husababishwa na mpambano kati ya kinga ya mwili dhidi ya seli za beta ambazo hutengeneza homoni ya insulin (homoni inayorekebisha kiwango cha sukari kwenye damu), sasa mpambano huu hupelekea kupungua kwa uzalishaji wa insulini ama kukosekana kabisa kwa insulin kwene kongosho, na kwasababu miiili yetu imeubwa kutumia insulini wagonjwa hawa huhitaji kudungwa sindano za insulin kila siku ili kurekebisha kiwango cha sukari kwenye damu.

Dalili Za Kisukar Cha Utotoni ( Type 1 Diabetes)

Wagonjwa wenye aina hii ya Kisukari huwa wamekonda na kudhoofu sana afya zao
▪Seli za kutengeneza kichocheo cha insulin zinakuwa zimeangamizwa kwa kiasi kikubwa kutokana na mpambano na kinga ya mwili.
▪Kiwango cha insulin kwenye damu huwa kipo chini sana kutokana na uwezo mdogo wa kongosho kutengeneza insulin.

Kisukari Cha Ukubwani (Type 2 Diabetes)

Aina hii ya Kisukari nafahamika sana na imekuwa janga la dunia nzima likiathiri mamia ya watu kila siku. Kinyume na Kisukari cha utotoni, aina hii ya Kisukari husababishwa na kiasi kikubwa cha insulin kwenye damu. Hivo ukiwa na Kisukari cha ukubwani ni kwamba insulin iliyo nyingi kwenye damu na mwili hauwezi kuitumia vizuri hali hii kitalamu ni insulin resistence, ama kongosho yako inatengeneza insulini nyingi lakini imezidiwa na kiwango kikubwa cha sukari kwenye damu. Kupanda kupita kiasi kwa kiwango cha insulin kwenye damu huweza kuletekeza ama kupelekea matatizo mengine ya kiafya k**a.

▪Stroke na matatizo mengine ya utendaji wa ubongo k**a Alzheimer
▪Kupanda kwa shinikizo la damu
▪Magonjwa ya viuongo k**a arthritis
▪kupungua uwezo wa kuona na hatimaye Upofu
▪Kitambi na uzito mkubwa
▪Kufeli kwa figo
▪Kurundik**a kwa Mafuta mabaya kwenye viungo muhimu k**a ini
▪Saratani
▪Upungufu wa nguvu za kiume matatizo ya uzazi kwa wanawake k**a ugumba na uvimbe na
matatzo ya upumuaji/kupumua kwa shida na alegi.

Dalili Za Ugonjwa Wa Kisukari Aina Ya Pili(Kisukari Cha Ukubwani)

▪Kupumua kwa shida, alegi
▪Vidonda kutopona mapema, maambukizi ya mara kwa mara.
▪Kuongezeka uzito kusiko kawaida pengine hata bila kubadili lishe yako.
▪Kupata kiu ya mara kwa mara na mdomo kukauka
▪Mwili kujiskia mechoka mda mwingi na kupata ganzi kila mara.
▪Kupata athari za neva na kusababisha maumivu ya viungo na kutetemeka kwa miguu na mikono
▪Kupungua kwa uwezo wa kuona
▪Kupata njaa na kujiskia kula mara kwa mara, hata k**a umekula hivi karibuni
▪Kupoteza uwezo wa kufatilia mambo na kujitambua (consciousness) .

Kumbuka kwamba siyo lazima uone dalili zote hizi ndipo unaashiria umeanza kuugua Kisukari, unaweza kujipima mwenyewe na kuchukua hatua ya kufika hospitali upate ushauri ili upunguze hatari ya kuugua Kisukari.

Hivo magonjwa haya huambatana na tatizo la Kisukari na kadri ugonjwa unavokomaa na kufkia hatua mbaya ndivyo magonjwa haya ambatanishi yanavojitokeza Zaidi, najua unaweza kuwa ni muhanga wa ugonjwa huu na umeteseka kwa miaka mingi umetumia madawa mengI bila mafanikio, napenda kukupa tumaini kuwa suluhisho lipo, ni kurekebisha lishe yako tu na kutumia virutubisho muhimu. Unachotakiwa ni kufuta imani ulopewa hapo awali kwamba kula mboga za majani kwa wingi na matunda, maana elimu hiyo haijakusaidia na bado unaumwa na kuteseka na Kisukari.

Nini Chanzo Cha Kisukari Cha Ukubwani?

Kwanza kabisa ni vyema kufahamu kwamba ugonjwa wa Kisukari siyo ugonjwa wa kuwa na sukari nyingi hapana, Kisukari ni ugonjwa wa homoni, homoni ya insulin, kumbuka kwamba mwili unahitaji kiwango kidogo tu cha glucose kukibadilisha kuwa nishati ili kuendesha shuguli zake, kiwango kingine kinachozidi huwa hakipotei bali huhifadhiwa katika seli za mwili kwenye mfumo wa mafuta, hivo kazi ya insulin ni kusukuma sukari iliyozidi kwenda kwenye seli ili ibadilishwe kuwa mafuta. Sasa inapotokea mwili hausikii uwepo wa insulin kwenye damu yaani insulin inamwagwa lakini kiwango cha sukari kwenye damu kipo pale pale hao ndipo hatari ya kuugua Kisukari cha ukubwani huanza.

Sasa ni wakati wa kutambua kwamba aina ya chakula unachokula kinachangia kwa kiasi kikubwa kupata magonjwa haya k**a Kisukari na uzito mkubwa,vyakula k**a wanga na sukari hupandisha insulin kwenye damu kwa kasi sana huku vyakula vya protini na mafuta vikithibitika kupandisha insulin kwa kiasi kidogo sana. Kula wanga na sukari nyingi na kufanya mazoezi sana haikusaidii kuepuka magonjwa haya ya Kisukari na uzito mkubwa badala yake kula vyakula vya mafuta k**a parachichi, samaki, nyama, mayai , n**i na mboga za majani kwa wingi muhimu.

Natumaini tumepata kujifunza kuhusiana na Ugonjwa wa kisukari na sisi tunadeal na ushauri wa kiafya na usambazi wa virutubisho au tiba lishe kwa ajili ya kupambana na haya magonjwa sugu tuna virutubisho kwa ajili ya kusaidia tatizo la kisukari lakini pia kwa ajili ya kujikinga dhidi ya kisukari kwa maelezo au jinsi ya kupata maelezo zaidi wasiliana nasi kwa kupiga au sms +255 785 520 102 (Ipo pia WhatsApp) au +255 785 520 102 karibuni nyote kusudi letu ni kujenga Tanzania yenye afya bora naomba ulike page yetu na ushare na wenzako wengi ili wapate hizi taarifa njema za kiafya asante sana.

Hapa chini ni shuhuda ya mgonjwa wetu tuliyemuhudimia katika tatizo la kisukari pata kumtaza kwa kubonyeza hii link hapa chini 👇👇👇
https://youtu.be/7tpi7cKOMgQ

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Health and Nutrition posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share