Kayani Herbs Tanzania

Kayani Herbs Tanzania Tunawasaidia WANAUME kurejesha heshima ya NDOA kwa njia ya ushauri na tiba asili.

07/09/2026

Yaaahhh....

Huyu ndiye mwamba wa ugonjwa wa pumu, kifua kubana au mtu mwenye pneumonia… pia unatibu vidonda vya tumbo kabisaa
.... Si ulidanganywa kwamba pumu haiponi mpaka ukapewa na vi-inhaler vyao.

Funguka!!!

Sasa k**a wewe au ndugu yako au rafiki yako au adui yako yoyote ana pumu, kifua kinabana au madonda ya tumbo

Tafuteni huu mmea wa mziwaziwa. Kiingereza unaitwa “Asthma plant”

Ukishaupata huu mmea, chuma majani yake mabichi.

Yapondeponde na yaweke Kwenye maji ya moto, au yachemshe kwenye maji pia na unywe hicho kinywaji.

Kunywa mara 1 kila siku. K**a mmea huo ni adimu unaweza kunywa angalau mara 4 kwa wiki.

Halafu utaniambia!!!

Usiweke sukari-

K**a Unahitaji Tiba Ya Uhakika Ya Kutibu Changamoto Za Pumu Siku Ya Leo Piga Simu 0655 889 126

Au WhatsApp 0635 855 825

Mwisho:

“Take care of your health, Hosp!+als are in business”

Endelea kufuatilia page hii Mimea Tiba uli uendelee kujifunza jinsi ya kujitibu na kujikinga na magonjwa na changamoto mbalimbali za kiafya..

Jinsi Ya Kutumia....Kwanza Kabisa, Chukua Vijiko Viwili Vya Karafuu Kavu Au Vipande 10 Hadi 15, Uvisafishe Kwa Maji Safi...
05/09/2026

Jinsi Ya Kutumia....

Kwanza Kabisa, Chukua Vijiko Viwili Vya Karafuu Kavu Au Vipande 10 Hadi 15, Uvisafishe Kwa Maji Safi. Weka Kwenye Sufuria Ndogo Kisha Ongeza Glasi Mbili Za Maji. Chemsha Kwa Moto Wa Wastani Kwa Dakika 10 Hadi 15 Hadi Maji Yabaki K**a Kikombe Kimoja Na Rangi Yake Iwe Kahawia Iliyokolea. Acha Yapoe Kidogo, Chuja, Kisha Hifadhi Kwenye Chupa Safi Ya Glasi.

Kunywa Nusu Kikombe Asubuhi Kabla Ya Chakula Na Nusu Kingine Usiku Kabla Ya Kulala.

Kunywa Kila Siku Ndani Ya Mwezi Mzima Hasa Siku Zako Za Hatari..

Follow Page Hii Mimea Tiba Na KAYANI HERBS TUMBOFLUX Na NgiriMaster By Kayani Herbs Kupata Elimu Zaidi..

05/09/2026

Kwani hili tunda linaitwaje???

Avocumbanana au

Cucavonana ? Au?

NB: Usinitumie Message Inbox Kuomba Tunda Hili. Mimi Sinaa. Nimeuliza Tu Linaitwaje

Anyway....

Wasiliana Nasi K**a Unasumbuliwa Na Changamoto Za...

✓ Vidonda Vya Tumbo, Acid Reflux, Gesi Tumboni, Kiungulia Kikali..
✓ Bawasiri, Maumivu Eneo La Haja Kubwa Na Kinyama
✓ Kwa Wanaume Kuwahi Kufika Kileleni Na Mashine Legelege Na Kusinyaa.
✓ Ngiri

Piga Simu Kwa Namba 📞 0655889126

WhatsApp Namba: 0635 855 825

K**a una vidonda vya tumbo, maumivu ya tumbo, gesi, kuvimbiwa, kiungulia, kuharisha mara kwa mara, bawasiri za ndani, ki...
04/09/2026

K**a una vidonda vya tumbo, maumivu ya tumbo, gesi, kuvimbiwa, kiungulia, kuharisha mara kwa mara, bawasiri za ndani, kichefuchefu... Mbegu za Mlonge ni mkombozi kwako.

Jinsi ya kutumia.

Kula mbegu 4 kila siku kwa wiki moja hadi mbili!

Hii ni tiba yenye maajabu. Inafaa sana😁

Au Karibu katika program ya “Tumboflux” itakayokusaidia kutibu changamoto ya acid reflux na vidonda vya tumbo kabisa.

Katika program hii utapata:

- Miongozo ya lishe maalum itakayokusidia kudhibiti tatizo hili
- Dawa maalum zitakazotibu acid reflux na Vidonda vya tumbo KABISA.

Wasiliana Na Mimi Sasa Kwa:

Piga Simu 📞📲 0655889126 Au
Tuma Ujumbe WhatsApp 0762985429

Endelea kufuatilia page hii Mimea Tiba uli uendelee kujifunza jinsi ya kujitibu na kujikinga na magonjwa na changamoto mbalimbali za kiafya.

03/09/2026

Mwanaume K**a Unapata Dalili Hizi Ni Dalili Za Ngiri....

Ujumbe Huu Unakuhusu KABISA. Hakikisha Unatibu Changamoto Hii K**a Unataka Kumridhisha Mwanamke Wako Kitandani

1📎Kubana tumbo khasa chini ya kitovu wakati wa baridi au unapokula vitu vitamu.

2📎Kupiga mingurumo tumboni.

3📎Kujaa gesi tumboni.

4📎Kuhisi haja kubwa na ukifika chooni unatoa upepo tu.

5📎Kupata haja ngumu k**a ya mbuzi.

6📎Kukaa siku kadhaa bila kwenda haja kubwa.

7📎Wakati fulani unakwenda haja sana, kila mara.

8📎Unaweza kufanya jimai mara moja tu kisha hamu inakuishia hupati nguvu tena mpaka kesho.

9📎Nuru ya macho hupotea taratibu.

10📎Hutokea wakati mwingine kufanya jimai mwanzo kabisa au katikati ya tendo gari lin**imika.

11📎Huvutwa makende au upande mmoja maumivu.

12📎Hupiga mishale sehemu za haja kubwa na pembeni karibu na tupu.

13📎Maumivu makali ya mgongo au kiuno

14📎Uume kusimyaa na kunywea k**a wa mtoto

15 📎Maumivu kati ya paja na kinena na hupelekea mguu kuwaka moto /kupata ganzi

16📎 Kupata maumivu katikati ya kifua mithili ya chembe ya moyo (hiatal hernia)

17📎 Tumbo kujaa na kuonekana k**a una kitambi kumbe ni gas.

18📎 Ukila vitu vyevye sukari nying k**a soda nk tumbo huunguruma sana na kujaa gas

19📎 Kuvimba kwa korodan ama korodan kupanda juu(moja ama zote kwa pamoja)

Piga Simu Kwa Namba 📞 0655889126

WhatsApp Namba: 0635 855 825

Follow Page Hii Mimea Tiba Na Endelea kufuatilia page ili uendelee kujifunza jinsi ya kujitibu na kujikinga na magonjwa na changamoto mbalimbali za kiafya.

Matokeo utayapata, naamini utanipenda.Mada ya leo: Watu wengi sasa hivi tumekuwa tukilalamika kuwa na:1. Gesi nyingi tum...
02/09/2026

Matokeo utayapata, naamini utanipenda.

Mada ya leo: Watu wengi sasa hivi tumekuwa tukilalamika kuwa na:

1. Gesi nyingi tumboni.

2. Kuvimbiwa na kujiisi uchovu wa mara kwa mara.

3. Uchafu na sumu nyingi mwilini.

4. Kupunguza mafuta yasiyo ya lazima tumboni.

5. Kutopata choo kwa muda muafaka au kupata choo ngumu.

6. Kutoa harufu mbaya kupitia sehemu za nyuma (ushuzi) au kujamba harufu mbaya sana.

Swipe👉🏾👉🏾 kufahamu tiba yake...

Unaweza pia Kujipatia package ya “Tumboflux” itakayokusaidia kutibu changamoto ya acid reflux na vidonda vya tumbo kabisa.

Katika program hii utapata:

- Miongozo ya lishe maalum itakayokusidia kudhibiti tatizo hili
- Dawa maalum zitakazotibu acid reflux na Vidonda vya tumbo KABISA.

Gharama Ya Tiba Ni TZS 165,000 Kwa Full Dose...

Piga Simu Kwa Namba 📞 0655 889 126

WhatsApp Namba: 0635 855 825

Miezi mingi ya mateso ya tumbo inaweza kukufanya uamini kuwa hakuna suluhisho… lakini ukweli ni kwamba mara nyingi chanz...
02/09/2026

Miezi mingi ya mateso ya tumbo inaweza kukufanya uamini kuwa hakuna suluhisho… lakini ukweli ni kwamba mara nyingi chanzo cha tatizo hakijashughulikiwa ipasavyo.

Watu wengi wanaosumbuliwa na Vidonda vya Tumbo, Acid Reflux, Gastritis au H. Pylori hutumia dawa mara kwa mara lakini dalili hurudi tena baada ya muda.

Hii hutokea pale ambapo tiba inatuliza dalili tu, lakini haisafishi na kurekebisha mfumo wa tumbo kikamilifu.

Tumboflux imetengenezwa kusaidia:

• Kuondoa kabisa maumivu ya tumbo yanayoletwa na vidonda vya tumbo
• Kutibu hali ya kuwaka moto tumboni
• Kuondoa gesi tumboni na kuua mdudu H.pyroli
• Kusaidia vidonda vya tumbo kupona
• Kurekebisha mfumo wa mmeng’enyo wa chakula n.k

K**a umekuwa ukipambana na tatizo hili kwa muda mrefu, usiendelee kuteseka kimya kimya.

📞 Piga Simu Au WhatsApp:
0655 889 126
0635 855 825

KayaniHerbs — Cure From Nature.

Yaaahhh....Huyu ndiye mwamba wa ugonjwa wa pumu, kifua kubana au mtu mwenye pneumonia… pia unatibu vidonda vya tumbo kab...
01/09/2026

Yaaahhh....

Huyu ndiye mwamba wa ugonjwa wa pumu, kifua kubana au mtu mwenye pneumonia… pia unatibu vidonda vya tumbo kabisaa
.... Si ulidanganywa kwamba pumu haiponi mpaka ukapewa na vi-inhaler vyao.

Funguka!!!

Sasa k**a wewe au ndugu yako au rafiki yako au adui yako yoyote ana pumu, kifua kinabana au madonda ya tumbo

Tafuteni huu mmea wa mziwaziwa. Kiingereza unaitwa “Asthma plant”

Ukishaupata huu mmea, chuma majani yake mabichi.

Yapondeponde na yaweke Kwenye maji ya moto, au yachemshe kwenye maji pia na unywe hicho kinywaji.

Kunywa mara 1 kila siku. K**a mmea huo ni adimu unaweza kunywa angalau mara 4 kwa wiki.

Halafu utaniambia!!!

Usiweke sukari-

Mwisho:

“Take care of your health, Hosp!+als are in business”

Endelea kufuatilia page hii Mimea Tiba uli uendelee kujifunza jinsi ya kujitibu na kujikinga na magonjwa na changamoto mbalimbali za kiafya.....

Huna sababu ya kung’oa jino lako kila linapouma.Leo nakuletea dawa mujarrabu ya kutibu meno, hasa kwa jino linalouma, le...
29/08/2026

Huna sababu ya kung’oa jino lako kila linapouma.

Leo nakuletea dawa mujarrabu ya kutibu meno, hasa kwa jino linalouma, lenye tundu au lisilo na tundu.

MAHITAJI:

🖇️ Mafuta ya karafuu (Clove Oil)
🖇️ Mafuta ya n**i (Coconut Oil)
🖇️ Kitunguu maji
🖇️ Kitunguu swaumu
🖇️ Pilipili manga
🖇️ Chumvi ya mawe au unga wake

MAANDALIZI:

⚫ Ponda kitunguu maji, kitunguu swaumu, chumvi ya mawe na pilipili manga.

⚫ Kisha changanya na mafuta ya n**i pamoja na mafuta ya karafuu, kwa kiasi kidogo cha robo kijiko cha chai.

⚫ Baada ya hapo, chukua mchanganyiko huo na uuweke juani kwa muda wa dakika 15, kisha uutoe juani.

MATUMIZI:

1. Ikiwa jino lina tundu:

Chukua ujiuji wa mchanganyiko huu kisha weka ndani ya tundu la jino. Pia, paka mafuta yake pembezoni mwa jino linalouma.

2. Ikiwa jino halina tundu:

Paka mafuta ya mchanganyiko huu pembezoni, ukilizunguka jino linalouma.

JINSI YA KUTUMIA:

Tumia dawa hii mara tatu kwa siku, kwa muda wa siku tatu hadi tano.

Jino lako litakuwa limepona kabisa.

NB:

⚫ Dawa hii ina matokeo ya haraka sana. Unaweza kuitumia papo hapo na maumivu ya jino yakaanza kupoa.

Hata hivyo, hakikisha unamaliza dozi kwa muda ulioelekezwa.

⚫ Wakati wa kutumia dawa hii, jiepushe na vinywaji vya moto sana au vya baridi sana mpaka umalize dozi kwa muda uliopangwa..

Follow Mimea Tiba NgiriMaster By Kayani Herbs KAYANI HERBS TUMBOFLUX kwa Elimu zaidi..

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kayani Herbs Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share