IJALI AFYA YAKO

IJALI AFYA YAKO Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from IJALI AFYA YAKO, Medical and health, Dar es Salaam.

Tunatibu matatizo yote yanayosababishwa na mfumo mmbovu wa mmeng'enyo wa chakula kama
�Acid Reflux
� vidonda Vya tumbo
�Bawasili
�Choo kigumu, kukosa hamu ya kula
� gesi kujaa tumboni& viungulia n.k

Bado unasumbuka na Changamoto hizi👇✓Gesi kujaa tumboni ✓Vidonda Vya tumbo ✓Tumbo kuwaka moto✓Viungulia✓Chembea moyo n.kA...
07/05/2026

Bado unasumbuka na Changamoto hizi👇
✓Gesi kujaa tumboni
✓Vidonda Vya tumbo
✓Tumbo kuwaka moto
✓Viungulia
✓Chembea moyo n.k
Amua leo kuondokana na changamoto hii ndani ya siku 5 TU kwa Kutumia NT Acid kwa bei ndogo ya sh 20000 TU!
Chupa zote 5, utapata kwa Tsh90000 tu
Tupigie sasa kwa 0684899587

02/05/2026

Furaha yetu ni kuona watu wanapona changamoto zao kiafya
Usikae na changamoto inayokusumbua, chukua hatua sasa, IJALI AFYA YAKO📌
0684899587

02/05/2026

Chupa Moja TU kati ya chupa 6 za doze ya mwezi mzima mzima
Yani siku ya nne tu tangia anze doze, changamoto yake yaanza kuisha🔥

02/05/2026

Changamoto za Viungulia, gesi tumboni, kichefu chefu, kutapika, kukosa hamu ya kula, zinatibika
Kupata Tiba hii wasiliana nasi kwa 0684899587

02/05/2026

Acid reflux isipotibiwa kwa wakati, huathiri mpaka utendejaji kazi wa mwilini mzima,
Chukua hatua mapema TIBU changamoto kwa Tiba Sahihi zenye uwezo wa kutibu changamoto Yako bila kujirudia🔥

02/05/2026

Anaendelea vizuri, baada ya kuanza Kutumia Tiba ya acid reflux.
Usikubali kuendelea kuteseka na changamoto ya Acid tumboni Wakati Tiba ipo.

BAWASIRI INATIBIKA  BILA UPASUAJIBawasiri ni hali Kupasuka kwa mishipa sehemu ya haja kubwa, damu kuganda na kujitokeza ...
02/05/2026

BAWASIRI INATIBIKA BILA UPASUAJI

Bawasiri ni hali Kupasuka kwa mishipa sehemu ya haja kubwa, damu kuganda na kujitokeza vinyama katika Maeneo hayo

AINA ZA BAWASIRI

1.Bawasiri ya ndani
2.Bawasiri ya nje.

Bawasiri ya nje hutokea mwisho wa mfereji wa haja kubwa Mishipa ya damu (vena) hupasuka na damu kuganda, ikiambatana na maumivu makali
*Bawasiri ya ndani hutokea ndan ya mfereji wa haja kubwa, hii haiambatan na maumivu. hapa wengi huwa hawajijui*

DALILI ZA UGONJWA WA BAWASIRI

1.Kuota vinyama sehemu ya haja kubwa
2.miwasho na maumivu sehemu ya haja kubwa
3.kinyesi kuvuja
4.kinyesi kutoka kuchanganyika na damu chenye harufu mbaya.

CHANZO CHA UGONJWA WA BAWASIRI

1.kukaa kitako au kusimama kwa muda mrefu
2.kufanya mazoezi magumu yanayokaza misuli ya haja kubwa
3.Uzito kupitiliza
4.Mapenz kinyume na maumbile
5.tatizo la kutokupata choo

Mara nyingi watu wenye tatizo hili tiba yake ni kufanyiwa upasuaji, hata hivyo wengi ilirudi baada ya UPASUAJI, changamoto hii ya BAWASIRI inatibika bila operation ndani ya mwezi mmoja tu

TIBA HII NI YA ASILI INAYOTIBU KUANZIA CHANZO CHA TATIZO LENYEWE

AMBAYO

-Inayeyusha kinyama bila upasuaji
-Huondoa miwasho na maumivu
-huweka sawa mfumo wa mmeng'enyo wa chakula kuanzia mdomon hadi sehemu ya haja kubwa
-huondoa Bawasiri bila upasuaji.
-kulainisha choo.

ili kuipata piga simu au tuma ujumbe kupitia namba hii 0684899587

ZITAMBUE ATHARI ZA ACID REFLUX Acid reflux ni pale asidi ya tumbo inapopanda juu hadi koo, na mara nyingi husababisha✨ k...
22/04/2026

ZITAMBUE ATHARI ZA ACID REFLUX

Acid reflux ni pale asidi ya tumbo inapopanda juu hadi koo, na mara nyingi husababisha
✨ kiungulia (heartburn)
✨ladha chungu mdomoni au kichefuchefu.

Ikiwa hali hii inatokea mara kwa mara na haijatibiwa, inaweza kupelekea baadhi ya athari za muda mrefu, k**a:

🍀Uvimbaji wa koo (esophagitis) ambao unaweza kufanya iwe vigumu kumeza.

☘️Kupungua au kufifia kwa koo (strictures) kutokana na kuharibika kwa kuta za koo.

🌸Mabadiliko madogo ya seli za koo yanayoweza kuongeza hatari ya saratani ya koo (Barrett’s esophagus) – hii ni hali nadra lakini inapaswa kufuatiliwa.

🌺Kupoteza meno au matatizo ya kinywa kutokana na asidi kurudi juu.

🪻Kichefuchefu sugu au kukohoa kwa muda mrefu.

🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼
Hii ndiyo sababu ni muhimu
📌kuzingatia lishe bora
📌kuepuka vyakula vinavyochochea reflux
📌 kutumia msaada wa suppliments husaidia tumbo kuwa tulivu na mmeng’enyo kuwa bora

Kwa Tiba, wasiliana nasi kwa 0684899587

💥Shida katika mfumo wa mmeng’enyo wa chakula (digestive system) zinaweza kuonekana kwa dalili mbalimbali, kulingana na s...
06/04/2026

💥Shida katika mfumo wa mmeng’enyo wa chakula (digestive system) zinaweza kuonekana kwa dalili mbalimbali, kulingana na sehemu iliyoathirika (tumbo, utumbo, ini, n.k). Hizi hapa ni dalili muhimu unazopaswa kuzingatia:💥

🫃 Maumivu au usumbufu tumboni
Maumivu ya mara kwa mara au makali tumboni
●Kuhisi tumbo limejaa au kubana
●Maumivu yanaweza kuwa juu (acid reflux) au chini (utumbo)

🤢 Kichefuchefu na kutapika
●Kuhisi kichefuchefu hasa baada ya kula
●Kutapika mara kwa mara
●Inaweza kuashiria maambukizi au vidonda vya tumbo

🔥 Kiungulia (Acid reflux)
●Moto kifuani (kiungulia)
●Ladha chungu mdomoni
●Huongezeka baada ya kula au kulala

🚽 Kuharisha au kufunga choo
●Kuharisha mara kwa mara
●Kufunga choo (constipation)
●Mabadiliko yasiyo ya kawaida ya haja kubwa

💨 Gesi nyingi tumboni
●Kujamba sana au gesi kubana tumboni
●Tumbo kuvimba (bloating)
●Kujisikia umejaa hata bila kula sana

⚖️ Kupungua au kuongezeka uzito bila sababu
●Kupungua uzito bila kujaribu
●Au kuongezeka uzito kutokana na mmeng’enyo mbovu

🍽️ Kukosa hamu ya kula
●Hamu ya kula inapungua
●Unajisikia kushiba haraka sana

⚠️ Dalili nyingine za tahadhari
●Damu kwenye choo
●Choo cheusi au chenye rangi isiyo ya kawaida
●Uchovu mwingi (unaweza kuashiria upungufu wa damu)
●Ngozi au macho kuwa ya njano (dalili ya shida ya ini)

🩺 Ushauri muhimu
K**a una:
Maumivu makali
Dalili zinadumu zaidi ya siku kadhaa
Au dalili za hatari (k**a damu kwenye choo)
Ni muhimu kwenda hospitali kupata vipimo zaidi

Pia zipo Tiba mbalimbali za changamoto za magonjwa ya mmeng’enyo wa chakula

Karibu nikuhudumie
0684899587

Bakteria aitwae H. PYLORI!Ndie anaeshambulia utumbo  taratibu taratibu na mwishowe kusababisha vidonda vidogo vidogo kwe...
20/03/2026

Bakteria aitwae H. PYLORI!
Ndie anaeshambulia utumbo taratibu taratibu na mwishowe kusababisha vidonda vidogo vidogo kwenye utumbo na badee huitwa "vidonda vya tumbo". Bakteria huyu anaweza kuishi kwenye mazingira ya Acid Reflux & tindikali ya kiwango Cha juu kwenye tumbo, na kusababisha uvimbe na vidonda kwenye ukuta wa tumbo.

Hata hivyo, sio watu wote wenye H. pylori mwenye kushambulia utumbo TU,.ndio watapata vidonda vya tumbo.
uvutaji sigara, matumizi ya dawa za kupunguza uchungu, na msongo wa mawazo zinaweza kuongeza pia hatari ya kupata vidonda vya tumbo 🤕.

Kwa ushauri na Tiba ya kudumu ya changamoto hii, wasiliana nasi kwa 0684899587

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255749800898

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when IJALI AFYA YAKO posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share