Afya ya mwanamke

Afya ya mwanamke Tunawasaidia wanawake wote wenye changamoto ya uzazi, tunatibu kwa kutumia lishe bora.

SULUHISHO NI HILIC24/7 na LIVEN ALKALINE COFFEE  Ni VIRUTUBISHO MAALUMU Kwa Waathirika Waenye Upungufu/Matatizo Ya Nguvu...
11/04/2023

SULUHISHO NI HILI

C24/7 na LIVEN ALKALINE COFFEE Ni VIRUTUBISHO MAALUMU Kwa Waathirika Waenye Upungufu/Matatizo Ya Nguvu Za Kiume. TIBA hii hufanya kazi zifuatazo:-

✅Huongeza Hamu Na Uwezo Wa Kufanya Tendo La Ndoa

✅Hufungua Mirija Midogomidogo Kwenye Uume Ambayo Hufa Kwa Ajiri Ya Umri Na Kisukari/Presha

✅Huondoa Uchovu

✅Huongeza Wingi Wa Afya Wa Mbegu Za Kiume

✅Huondoa Tatizo La Maumivu Uume Ukiwa Umesimama

✅Humfanya Mwanaume Akae Muda Mrefu Kwenye Tendo

✅Huongeza Kinga Kwenye Via Vya Uzazi

✅Humfanya Mwanaume Arudie Tendo Bila Kuchoka Na Kwenye Ubora Wa Hali Ya Juu

✅Huondoa sumu mwilini na katika mfumo wa uzazi

✅Huondoa Tatizo La Uume Kusimama Ukiwa Legelege

✅Huondoa Tatizo La Uume Kurudi Ndani Na Kuwa K**a Wa Mtoto

✅Huondoa Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za kiume Na Ugumba Kwa Wanaume

✅Ni nzuri kwa ulinzi wa maambukizi sehemu za siri

NB:
BIDHAA HIZI HAZINA MADHARA KWA MTUMIAJI, NGUVU YAKE NI ENDELEVU
Kwa mawasiliano zaidi piga sim number; 0673311306

11/04/2023

MMEO ANASHINDWA KUHIMILI TENDO LA NDOA KUTOKANA NA SABABU ZIFUATAZO??

- Umri mkubwa
- Kisukari
- Kujichua/Punyeto
- Ngono zembe
-Wasiwasi
- Hasira
- Msongo wa mawazo (Stress)
- Huzuni
- Hofu na mashaka
- Kutokujishughulisha na mazoezi
- Shinikizo la juu la damu
- Ugonjwa wa moyo
- Uvutaji sigara/tumbaku
- Utumiaji uliozidi wa kafein.
- Kudhurika kwa neva au uti wa mgongo
- Madawa ya kulevya
- Kupungua kwa homoni ya testerone
- Athari kutoka kwa baadhi ya dawa za hospitali au mitishamba
- Pombe

👇👇👇👇👇👇👇

Jaman..jipatie sululisho la kudumu k**a mwanamke....usikaate tamaa  Sisi tunatibu, Mungu anaponya    Kwa mawasiliano zai...
11/04/2023

Jaman..jipatie sululisho la kudumu k**a mwanamke....usikaate tamaa
Sisi tunatibu, Mungu anaponya
Kwa mawasiliano zaidi piga sim/ sms 0673311306
AU
Jiunge kweny watsapp group, mafunzo ni bure kabla haijaja

https://chat.whatsapp.com/DXhaYfuh0WZ3ap6LiO2GYZ
Wote mnakaribishwa ndugu zangu 😊

MADHARA YA CHANGO KWA WANAWAKE ➡️ Kuchelewa kupata mimba➡️Mwanamke anaweza kuwa tasa kabisa.➡️Kuingia na kutoka kwa mimb...
11/04/2023

MADHARA YA CHANGO KWA WANAWAKE

➡️ Kuchelewa kupata mimba

➡️Mwanamke anaweza kuwa tasa kabisa.

➡️Kuingia na kutoka kwa mimba

➡️Kukosa hamu ya tendo la ndoa na kutokufika kileleni.

➡️Kuwa na uke mkavu sana.

➡️Kupata maumivu makali wakati wa tendo la ndoa.

➡️Kupata uvimbe kwenye kizazi.

➡️Kuvurugika kwa mfumo mzunguzo wa hedhi.

➡️ Kupata Bawasiri kutokana na kupatwa na choo kigumu

TIBA YA CHANGO LA UZAZI KWA WANAWAKE

Ni vyema sana kumweleza Dr. Dalili zote ambazo mwanamke hujihisi kisha daktari mzoefu atajua tatizo lako.
Mara nyingi ugonjwa huu hautibiwi kwa dawa za hospitalini, bali ugonjwa wa chango la uzazi hutibiwa na miti shamba au virutubisho lishe.

➡️ Unashauriwa kutatua changamoto na matatizo yanayopelekea mwanamke kushindwa kupata ujauzito. Tumia tibalishe asilia "COMPLETE PHYTO-ENERGYZER" Kumaliza kabisa CHANZO Cha Tatizo

Kwa maelezo zaidi piga sim number. 0673311306

Au kwa maelezo zaidi bonanza link ili upate mafunzo zaidi

https://chat.whatsapp.com/DXhaYfuh0WZ3ap6LiO2GYZ
Kumbuka mafunzo ni bure wahi sasa kabla nafas hazijaja.

Complete husaidia changamoto zote za wanawake, Tunafanya delivery mikoa yote mbalimbali, popote pale zinawafikia😊  Tumia...
10/04/2023

Complete husaidia changamoto zote za wanawake, Tunafanya delivery mikoa yote mbalimbali, popote pale zinawafikia😊
Tumia complete kuimarisha afya yako👇😊

MADHARA YA UKOMO WA HEDHI 1️⃣ Mifupa kushuka uzito(osteoporosis 2️⃣kuwa katika hatari ya kupata magonjwa ya moyo3️⃣kupat...
08/04/2023

MADHARA YA UKOMO WA HEDHI
1️⃣ Mifupa kushuka uzito(osteoporosis
2️⃣kuwa katika hatari ya kupata magonjwa ya moyo
3️⃣kupata magonjwa ya mara kwa mara hasa UTI
4️⃣Kukosa usingizi wakati wa usiku insomnia
5️⃣Mifupa kuwa laini sana
Hizi ni badhii ya madhara (complications) anazopata mtu wakati akifika ukomo wa hedhi.

MATIBABU/USHAURI
Hakuna matibabu ya ukomo wa hedhi kwa sababu hiki ni kipindi ambacho kila mwanamke lazima kimfike na akipitie

Na ukomo wa hedhi sio ugonjwa bali ni hali ya kawaida kwa mwanamke

Mtu akiwa katika hatua hii amefikia tunashauri atumie virutubisho vya asili na vyakula vya asili k**a mboga mboga . Matunda ili awezi kutengeneza seli ambazo zitapunguza badhii ya matitizo na afanye mazoezi mepesi ya kuweka mwili sawa..

Note: Asifanye mazoezi magumu kwa sababu mifupa yake imekwisha pungua uzito na nirahisi kupata mivunjikoo hii nikutokana na mifupa kupiteza madini ya calcium mengi wakati wa hedhi.

Piga/SMS , 0673311306 au watsapp 0757111306

DALILI ZA UKOMO WA HEDHI ( MENOPAUSE)* 1️⃣ Kuhisi joto wakati wa usiku( hot flashes)2️⃣ Ukavu ukeni ( dry vaginal)3️⃣kut...
08/04/2023

DALILI ZA UKOMO WA HEDHI ( MENOPAUSE)*
1️⃣ Kuhisi joto wakati wa usiku( hot flashes)
2️⃣ Ukavu ukeni ( dry vaginal)
3️⃣kutokwa jasho usiku( Night sweating)
4️⃣ Maumivu wakati watendo la ndoa ( painful in sexual in*******se)
5️⃣ Maumivu wakati wa haja ndogo
6️⃣ Kubanwa na mkojo mara kwa mara
7️⃣ Maumivu ya mgongo
8️⃣ Mivunjiko ya mifupa mara kwa mara
9️⃣ Kupungua kwa ufanisi kazini
🔟 Kuchoka mara kwa mara
1️⃣1️⃣ Kukosa hamu ya tendo la ndoa
1️⃣2️⃣ Kukasirika mara kwa mara
1️⃣3️⃣ Kupungua kwa uwezo wa kufikiria
1️⃣4️⃣ Kuhisi tumbo kujaa

1️⃣5️⃣kuongezeka uzito
1️⃣6️⃣ Hedhi kutoka bila mpangilio sahihi

Hizi ni baadhi ya dalili za mtu ambae anaelekea ukomo wa hedhi (menopause)
Inaendelea.........

UKOMO WA HEDHI (MENOPAUSE*) Ni hali ya kufika mwisho ktengenezwa kwa kemikali ( Hormone) ambazo zinachochea  hedhi na ho...
08/04/2023

UKOMO WA HEDHI (MENOPAUSE*)

Ni hali ya kufika mwisho ktengenezwa kwa kemikali ( Hormone) ambazo zinachochea hedhi na hormone hiyo ni estrogen . Hormone hii Inasaidia sana katika mfumo mzima wa hedhi kwa mwanamke.
Ukomo wa hedhi unahesabika pale tu mwanamke kukaa miezi 12 bila kupata hedhi

Umri wa miaka 45 mpka 55 huu ni umri ambao hutarajiwa mwanamke awe tayari yupo katika hali ya ukomo wa hedhi!

Ukomo wa hedhi unaweza kuchelewa au kuwahi hii hutegemeana na sababu mbalimbali.

SABABU ZA UKOMO WA HEDHI (MENOPAUSE )
1️⃣ Kuondolewa kwa ovari( oophorectomy)
2️⃣ kupungua kwa uzalishaji wa hormone
3️⃣Ovari kutokufanya kazi ipasavyo
4️⃣umri 45- 55
5️⃣utumiaji wa mionzi na dawa za matibabu ya saratani ( chemotherapy and radiotherapy)
Inaendelea.......Bofya link👇

https://chat.whatsapp.com/DXhaYfuh0WZ3ap6LiO2GYZ
Piga sim: 0673311306

Complete kiboko ya PID.. 💪 SISI TUNATIBU MUNGU anaponya..🙏🏼🙏🏼 kuwa miongoni mwa wanawake wengi tuliowahudumia na kupona ...
07/04/2023

Complete kiboko ya PID.. 💪 SISI TUNATIBU MUNGU anaponya..🙏🏼🙏🏼 kuwa miongoni mwa wanawake wengi tuliowahudumia na kupona kabisa chanzo Cha Tatizo la PID ✍🏾 "na popote pale ulipo Huduma zetu zitakufikia

PELVIC INFLAMMATORY DISEASE(PID)🥦PID ni hali ya kututumka au kucharuka kwa sehemu ya njia ya uzazi kwa mwanamke kunakosa...
07/04/2023

PELVIC INFLAMMATORY DISEASE(PID)

🥦PID ni hali ya kututumka au kucharuka kwa sehemu ya njia ya uzazi kwa mwanamke kunakosababishwa na athari ya bakteria, fungus au hata virusi kwenye kizazi.

✨Sehemu hizi zinazoathiriwa ni k**a mirija ya uzazi na mifuko ya mayai yani o***y.

🍂Maambukizi kwenye njia ya uzazi (PID) yana tabia ya kusambaa kutoka sehemu moja kwenda nyingine. Ndio maana kuna umuhimu wa kutibu tatizo hili mapema.

📌Maambukizi haya yanaweza kusambaa kutoka kwenye uke mpaka sehemu zingine za uzazi wa mwanamke k**a mirija ya uzazi, mifuko ya mayai(ovari) na kwenye shingo ya kizazi(cervix).

☘️Maambukuzi haya yanaweza kusababisha makovu kwenye mirija ya uzazi na kupelekea kupata ectopic pregnancy .

🕸️ Ectopic ni mimba iliyotungwa na kushindwa kusafiri kuelekea kwenye mfuko wa mimba(uterus) kutokana na majeraha kwenye mirija.

___________________
📧 https://chat.whatsapp.com/DXhaYfuh0WZ3ap6LiO2GYZ
Piga namba: 0673311306

Je wew unasumbuliwa na PID. PID ni nini kwani?       PID ni maambukizi ya bakteria kwenye shingo ya uzazi, mirija ya fal...
08/03/2023

Je wew unasumbuliwa na PID. PID ni nini kwani?
PID ni maambukizi ya bakteria kwenye shingo ya uzazi, mirija ya fallopio, ovari na tumbo la uzazi (uterasi). Kuna Dalila mbali mbali ya mtu kusumbuliwa na PID ambayo itamletea athari baadae k**a hatopata matibabu kwa harak zaidi.
_ Maumivu wakati ya tendo
- Uchafu wenye harufu mbaya Ukeni
- Kukosa hamu ya tendo
- Maumivu makali chini ya tumbo wakati wa hedhi
- Maumivu sehemu ya kibofu
- Uchovu na maamivu mgongoni
- Uke kuwa mkavu mda wote
- Kuwashwa sehemu z ukeni n.k

Nipo hapa kuwasaidia na kuwafunza juu ya ugonjwa huu inaowasibu sanaa wadada, wamama wajauzito n.k

Bofya link hapa chini kuingia moja kwa moja katika jukwa LA whatsApp

https://chat.whatsapp.com/DXhaYfuh0WZ3ap6LiO2GYZ

Mafunzo ni bure kabisa
Wahi kabla group halijajaa.

Kwa mawasiliano zaidi piga/sms/whatsApp +255757111306

Address

Mikocheni
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya ya mwanamke posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Afya ya mwanamke:

Share