16/02/2024
Kwanza nikupe hongeraa tele Kwa kuleta kiumbe kipya duniani haijalishi umejifungua Kwa Njia Gani au ulipata changamoto au hukupata lakini umefanya kazi kubwa.
Sasa usibweteke!
☑️Jitahidi uwe msafi Kwa mwili wako,mtoto na Kwa wanaokuzunguka.
☑️Ongeza Kasi ya kula mlo kamili Ili uweze kupata maziwa ya kutosha na nguvu ya kulea na kufanya majukumu mengine.
☑️Kaa ukijua mabadiliko ya mwili huenda taratibu hivyo usijisikie vibaya mwili wako unapochelewa kurudi kwenye Hali yake ya mwanzo.
☑️Usiwe mvivu kutafuta maarifa kuhusu malezi zama zinabadilika usisubiri mpaka matatizo yatokee ndipo uanze kuhangaika Bali...
...jifunze na ufanyie kazi katika kumlea huyo mtoto wako.
Ikiwa utapenda kujifunza zaidi kuhusu malezi basi wasiliana nami Kwa Whatsap namba hizi 0656112427.
Julieth Lobozi
Women Health Consultant
AFYA NI HAZINA.