yumi_trends

yumi_trends �GENUINE COSMETICS �
�PRODUCTS FROM USA,UK AND SA��
�ORIGINAL TU�

30/03/2026

Umaogoaje??

Maana unaweza lalamika lotion haijakupendeza kumbe namna ya uogaji wako.

Tumia.filipino soap.na hutotuti

25/03/2026

Multi Collagen Powder ni siri ya ngozi laini, yenye elasticity na mwanga wa asili. Inasaidia kupunguza fine lines, kuimarisha ngozi, na kukuacha na ule muonekano wa youthful unaovutia kila mtu 💫 Pia inaboresha afya ya nywele na kucha — beauty ya kweli kutoka ndani kwenda nje 🤍

Usisubiri kuona dalili za aging ndipo uanze kujali ngozi yako ❌

Anza sasa, jenga foundation ya skin yako mapema ✔️

Tumia kila siku na uone tofauti taratibu lakini za kudumu. Glow yako iko kwenye mikono yako ✨
DM kuorder 📩

25/03/2026

Kumaliza melasma kwa njia rahisi inawezekana, lakini ukweli ni huu
Haitoki overnight—unahitaji consistency.

Hizi ndio njia rahisi lakini zenye matokeo 👇

1. Sunscreen ni lazima (hii ndiyo #1)
Tumia kila siku hata ukiwa ndani
Chagua SPF 50 na kuendelea...
Bila hii, hata product kali haitafanya kazi

2. Tumia bidhaa sahihi za kupunguza madoa
Angalia ingredients hizi:

Kojic acid – hupunguza uzalishaji wa rangi nyeusi

Niacinamide – hu-balance ngozi na ku-lighten

Ceramide-- hurepea ngozi yako taratibu

Alpha Arbutin – hupunguza dark patches taratibu

3. Tumia Divine glow Night routine (usiku ndio ngozi inajirepair zaidi) Hii inafuta kabisa madoa ya melasma na kutreat ngozi wakati umelala.

4. Epuka vitu vinavyoichochea
Jua kali ☀️
Heat (joto la jikoni, sauna)
Cream zenye steroids, zinaharibu zaidi baadaye

5. Kuwa na uvumilivu
Results huanza kuonekana ndani ya wiki 2–6
Ukiacha katikati, melasma hurudi haraka

Epuka kuchanganya products nyingi kwa wakati mmoja
Ukweli muhimu

Melasma inaisha 100% kwa watu wengi, ukiwa consistent.

Set ya melasma 85000

24/03/2026

K**a una shida ya weusi chini ya macho tumia hii,

25000 ru.

Hili ni bonge la eye botox,

MELASMA INATIBIKAWEKUNDU MASHAVUNI UNAISHAUFANYE NINI BASI??FATA USHAURI TUNAOKUPA NA UTAPATA THAMANI YA PESA YAKO🤌TUNAP...
17/07/2025

MELASMA INATIBIKA

WEKUNDU MASHAVUNI UNAISHA

UFANYE NINI BASI??

FATA USHAURI TUNAOKUPA NA UTAPATA THAMANI YA PESA YAKO🤌

TUNAPATIKANA KARIAKOO MTAA WA LIKOMA NA MAFIA

K**a uko maeneo yana baridi sana sana na kila.lotion unayopaka unahisi, na kuona haikai vizuri basi hii oil ni ya kwako!...
15/07/2025

K**a uko maeneo yana baridi sana sana na kila.lotion unayopaka unahisi, na kuona haikai vizuri basi hii oil ni ya kwako!!

Ni glycerine so inaicha ngozi yako na unyevu wakati wote,

Inangarisha jamani, paka hii no need of lotion

Inaondoa madoa

Inapunguza na kufififsha michirizi

Haileti sugu kabisa

Unaglow kitajiri

35000tu

Vitu Nafanya kupata a very GLOWING AND GLASS SKIN1. Nanawa uso vzur asbh na jioni. Nanawa  na face wash kisha nina toner...
14/07/2025

Vitu Nafanya kupata a very GLOWING AND GLASS SKIN

1. Nanawa uso vzur asbh na jioni. Nanawa na face wash kisha nina toner asbh na jion.
2. Nina paka serum ya hydration ili kukeep moisture kwa ngozi, kisha moisturizer asbh alafu sunscreen hata k**a sitoki. Mpaka lips nazipaka sunscreen
3. Narudia kupaka sunscreen kila baada ya masaa mawili au matatu
4. Usiku baada ya kunawa uso vizur na kukausha na kitambaa safi napakaa retionds (serum ama tube) hii husaidia ngozi kukaza na ninapaka mara 3 tu kwa week.
5. Huwa k**a napaka retinol serum sipaki kitu kingine
6. Siku sipaki retinoids napaka glutathione na kojic+ vutamin c
7. Natumia supplements za vitamin C, na za kubalancisha hormone maana mara nyingi homorne zikicheza na ngozi inaumia...
8. Suppliments za collagen ni kitu siwezi skip (hata ukinyonyesha unatumia. Ambao natumia sasaiv while breastfeeding)
9. Mara moja kwa nafanya face mask
10. Sipendi kuushika uso,
11. Shuka siku 2 napadilisha
12. Nafuta kioo cha cm na cm mara kwa mara, almost every day na tissue

KWA USHAURI ZAIDI, PLEASE SAVE AND FOLLOW US.

Glutathione ni nini??Glutathione ni product/kiwanja cha asili kinachopatikana mwilini ambacho hufanya kazi k**a antioxid...
06/07/2025

Glutathione ni nini??

Glutathione ni product/kiwanja cha asili kinachopatikana mwilini ambacho hufanya kazi k**a antioxidant, yaani husaidia kupambana na sumu na kemikali hatari zinazoingia mwilini,

Kazi kuu za glutathione mwilini:

1. Kupambana na sumu (detoxification): Husafisha ini na kusaidia kuondoa sumu na kemikali mbaya kutoka mwilini.

2. Kulinda seli dhidi ya uharibifu wa oxidative stress – hali inayosababisha kuzeeka haraka na magonjwa k**a kansa na kisukari.

3. Kuimarisha kinga ya mwili. Hasa kuimarisha ngozi kutokulegea kwa haraka..

4. Kusaidia ngozi kung’aa – ndicho kilichofanya ianze kutumika sana kwenye bidhaa za ngozi k**a sabuni, vidonge na drip, lotion, face cream na serums...

Ni muhimu sana kwa kila mtu kutumia glutathione!

Serum 25000
Face cream 35000

Set nzur sana kwa uso uliofubaa na harara...
28/06/2025

Set nzur sana kwa uso uliofubaa na harara...

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255758405820

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when yumi_trends posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to yumi_trends:

Share